DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Kibongo bongo mtu akisema hivi Mara nyingi kuna sababu na hiyo sababu mara nyingi anakua hana uwezo wa kubeba/kutungisha mimba.Binafsi sina watoto na sitaki.
Huko kwa kina Jay z na Beyonce sawa, ila bongo wengi hawamaanishi wanachosema.