Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Nimeongelea elimu yake sijaongelea hulka yake binafsi. Hata Samia amekuwa wazi kwamba maoni ni haki ya raia, muda wote yanawekwa wazi ili jamii iweze kuyasikia.

Tatizo ni kutumia huo uhuru vibaya kwa kujisahau kuwa uhuru unakwenda sambamba na wajibu binafsi wa huyo anayekuwa nao. Samia baada ya kuwapa uhuru mwingi kina Mdude na wengine akakumbusha juu ya wajibu wao kwenye jamii.

Uhuru unapozidi sana kwenye jamii unazaa ujinga, unazaa tabia ya kutowajibika kwani kila anachoambiwa mtu anaona furaha kukihoji na kuja na hoja hasi juu yake.
 
Bado unazunguka tu.Unajichosha.Umeeleza kuhusu yeye kujiendeleza kielimu,sawa.Na ni hapo palipo leta shida.Angeonesha uhalali wa alichoulizwa halafu muulizaji (umma)aridhike kulikuwa na shida gani?Hofu na makasiriko ya nini?Alilewa mamlaka,akasahau maadili ya dini yake kuhusu kusamehe 7×70,uvumilivu,upole na kiasi kisicho na kipimo?Angeosha mikono yake na kujiweka kando tu.
 
PhD Thesis yake inapatikana wapi??
 
Kwamba anajua na ana uhakika,wale wauaji wa serikali wana shabaha nzuri sana?Huua kabisa?🤔🤔🤔🤔🤔
 
Nami pia ndio maana ule moto ni wa makaa ya mawe uliochanganywa na LGP,yaani kila mara nikifikiria kuhusu family yake, hasira zinanichemka mno,ila ukweli utakuja kujulikana hadi kama itachukua miaka 100,Akwilina eti ameuawa na risasi iliyotoka juu na mashetani haya bado yanakwenda kwenye nyumba za ibada, ipo siku familia zao zitajibia haya,familia ya Akwilina haijapata closure kuhusu kuuliwa kwa mpendwa wao
 
Huko kutaka kunyoosha tu watu hata kwa minor issues hakutofautiani na akili za cave-men!Akili za medieval times ziachwe.Mujarabu wa swali ni jibu.Siyo kununa na kutumia bunduki au mabavu.Dunia yote ikiwa hivyo itakuwaje mustakabali wake?
Aisee duniani huko kunatisha sana Bora yetu sisi hapa.
Angalia tu assassinations Kwa majirani zetu ndi utajua sisi bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…