Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Jiwe
 
Duh!
Yaani lile lilikuwa ni shetani halisi
 
Nikivuta bange za chunya hua napata hisia kua huyu mwamba hajafa Kuna namna imefanyika tu

Kitendo Cha sisi kusema amekufa ndio lengo kuu la mpango........

Sema hizi bangi sio nzurii wazeee
 
Inawezekana ikawa sawa,kosa ni kwenye utawala wake kuwepo kwa kundi la watu wasiojulikana na yeye kutokuzungumzia chochote kuhusu watu hao.
 
Kwa Tanzania fanya jambo lolote ila sio linalohatarisha usalama wa nchi.
 
Wewe jamaa utakuwa shoga MZOEFU wewe

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ni kutokujali tu kama ilivyo kwa wafrika wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…