mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Mbona hujui maana ya hiari, serikali imesema unakubali kuchanjwa ama la, Polepole kachagua 'LA', tarizo liko wapi? Hiyo si ndo demokrasia?HUJUMA YA WAZI... WOTE HAO NI MASALIA YA MWENDAZAKE
Polepole hana njaa ya kujipendekeza kwa Miss Utalii, akivuliwa Ubunge ana mishe zake nyingi tu siyo kilaza kama weweHuyu alipewa viti maalum,bado ana demka!
Ngoja avuliwe huo ubunge,kama atafungua mdomo
Yeah, kwa hiyo wananchi wasiotaka kuchanjwa wanamuhujumu Rais? Hujuma ni nini?HUJUMA YA WAZI... WOTE HAO NI MASALIA YA MWENDAZAKE
Hawezi kuwaweka mbali naye kwa sababu ana akili mno kuliko wewe.Rais Samia awashughulikie hao kenge haraka ni wahujumu wa wazi kwa jitihada zake,awaweke pembeni kabisa na utawala wake na wala haiwezi kuwa nongwa maana hata Magufuli alifanya hivyo kwa baadhi ya wana CCM wenzake mfano ni Membe.
Chanjo ni hiyari sawa wewe? Elewa statement!Mkuu sukuma gang woote na mataga woote hawako pamoja na Mama na wanamuonesha dharau waziwazi kabisa...
Lakini subiri...dawa yao ishaiva.
Kipindi cha dictator hakuna Taga lolote lilikuwa na uwezo wa kunyanyua pua yake..hata kwa matukio ya aibu yalokuwa yakifanywa nae..
Subiri.
Acha upimbi wewe chanjo ni hiyari nenda kachanje wabongo mnakua na kaupumbavu ka kujipendekeza kinafki sasa unakosoa maoni ya mtu we nani? Nenda kachanje mmeo we unataka tukachanje wote ili iweje.Tumeona Viongozi mbalimbali wakitumia hiari yao kuhamasisha watu wakachanjwe na wengine wamekua sehemu ya kuchanjwa kama kuonesha mfano.
Polepole Naye yupo na msimamo wake wa kutochanjwa na ameenda mbali akihimiza watu wazingatie vyakula na vilevile kahoji kwanini hii chanjo haioneshi muda sahihi wa kufanya kazi tofauti na chanjo zingine.
Polepole yupo sahihi, ikionesha tayari wakubwa zake ambao ni Rais na mwenyekit wake wanaipigia chapuo chanjo?View attachment 1883817
View attachment 1883818
Wanapiga kelele kwa sababu wanasababishwa kupiga kelele na watu wanaowahoji hoji kuhusiana na misimamo yao ya chanjo.Wafumbe midomo yao basi... Kwani tumewaomba waongee... Nonsense.
Huchanji piga kimya. Kelele za nini!??
Hujui kaaa kmyaYeah, kwa hiyo wananchi wasiotaka kuchanjwa wanamuhujumu Rais? Hujuma ni nini?
Tatizo ni DEFAMATIONMbona hujui maana ya hiari, serikali imesema unakubali kuchanjwa ama la, Polepole kachagua 'LA', tarizo liko wapi? Hiyo si ndo demokrasia?
Ni hakika kabisa usemacho Kuna vitu huwa kama conspiracy theories lakini baadaye vina kuwa kweli naiona vita ya kati ya waliochanjwa na wasiochanjwa kuja kuwa wazi maana sioni kwanini iwe hivyo ikiwa chanjo ni hiari ni wazi tunapenda kuwa taifa la wanafiki na wazandiki tunapoona watu wasiokuwa pamoja nasi ki maono au kiimani ni maadui basi tutajikuta ni watu tusiokuwa na misimamo bali watu wa kupelekwa pelekwa pasipo kuhoji kwa nini, hata umeme ili uwake una chanya na hasi ndivyo ilivyo kwenye maisha pia.Nashindwa kuelewa hata mimi.Kundi linaloamini katika chanjo limejipa mamlaka ya kuongea chochote kuhusu chanjo. Hili ni swala la uhai, sasa mtu anaposema nachanjwa maana yake anaona ni muhimu kwa uhai wake.Yule anayesema sichanjwi pia kaona ni muhimu kwa uhai wake.Sasa kwanini iwe vita?
Wewe hebujaribu kumuona dactari naona kama unamsongo wa mawazo.Kama anaheshimu hiyari asingekuwa sehemu ya ule uchaguzi wa kishenzi chini ya dhalimu, maana watu kuchagua mgombea wa chama fulani ilikuwa ni hiyari yao.
Pumbavu Sana wewe mwendawazimu,, elewa kamati ilipendekeza kuwa 'mtu anayo haki ya kuchagua kuchanja au kutokuchanja (la)' Kwahiyo mtu akisema hazarani kuwa nimechanja mbona hamwone nongwa? Je kwanin mtu akitangaza kuwa stachanjwa mnamwonea nongwa? Acheni Mambo kila mtu anayo haki ya kutoa maoniMkuu sukuma gang woote na mataga woote hawako pamoja na Mama na wanamuonesha dharau waziwazi kabisa...
Lakini subiri...dawa yao ishaiva.
Kipindi cha dictator hakuna Taga lolote lilikuwa na uwezo wa kunyanyua pua yake..hata kwa matukio ya aibu yalokuwa yakifanywa nae..
Subiri.
Kwangu mimi, anayetangaza msimamo wake hadharani hana tatizo, IWE ANACHANJA AU HACHANJI..!! KUCHANJA NI HIARI KAMA ILIVYO KUTANGAZA HADHARANI..Tumeona Viongozi mbalimbali wakitumia hiari yao kuhamasisha watu wakachanjwe na wengine wamekua sehemu ya kuchanjwa kama kuonesha mfano.
Polepole Naye yupo na msimamo wake wa kutochanjwa na ameenda mbali akihimiza watu wazingatie vyakula na vilevile kahoji kwanini hii chanjo haioneshi muda sahihi wa kufanya kazi tofauti na chanjo zingine.
Polepole yupo sahihi, ikionesha tayari wakubwa zake ambao ni Rais na mwenyekit wake wanaipigia chapuo chanjo?View attachment 1883817
View attachment 1883818
Yupo sahihi si ndio demokrasia yenyewe ama hujui maana ya demokrasia......Tumeona Viongozi mbalimbali wakitumia hiari yao kuhamasisha watu wakachanjwe na wengine wamekua sehemu ya kuchanjwa kama kuonesha mfano.
Polepole Naye yupo na msimamo wake wa kutochanjwa na ameenda mbali akihimiza watu wazingatie vyakula na vilevile kahoji kwanini hii chanjo haioneshi muda sahihi wa kufanya kazi tofauti na chanjo zingine.
Polepole yupo sahihi, ikionesha tayari wakubwa zake ambao ni Rais na mwenyekit wake wanaipigia chapuo chanjo?View attachment 1883817
View attachment 1883818
kisa cha kumvua ubunge niniHuyu alipewa viti maalum, bado ana demka!
Ngoja avuliwe huo ubunge, kama atafungua mdomo
Demokrasia...?!!?!!Hii ni demokrasia mkuu
Chanjo ni hiari. Au mmeisha badili gia angani sasa chanjo ni lazima?Kipindi Chao aliyenyenyua mdomo alizinwa kwa silaha sasa awe makini msimamo wake aweza baki nao kimya bila kunyanyua mdomo.
Uhiari wa chanjo unakuja vipi na yeye kutoa matamshi ya kushawishi wengine wasichanje tena kwa kupotosha?Chanjo ni hiari. Au mmeisha badili gia angani sasa chanjo ni lazima?