Hiyo bond niliyonayo kwa mtoto ndio inanivuruga sana kwa sasaDuh mpaka two years bond ni kali/kubwa sana kati yako wewe na mtoto..... Kuna wanawake wanajua kuvuruga Raha na stability ya familia balaaa.
Kama Biological father hana taarifa ya kuwa ana mtoto hapo kwako basi Baki tu na mwanao ulee.
Lkn kama baba aliyemwaga mbegu anajua kuwa ana mtoto hapo- kuepusha migogoro mwachie tu huyo mke na huyo mtoto. Utapata tu mwingine huko mbeleni.
Pole sana Mkuu.
Mimi hawa wa kwangu naogopa hata kuchunguza maana Bond tuliyonayo ni very strong kiasi kwamba najua itatuvuruga kihisia na Kila kitu
Wakati we unachanganyikiwa mwenzio anawaza achepuke tena aongeze mtoto wa 2 umlee,Nawaza hivyo ila nikifkr maisha ya mtoto yatakuaje nachanganyikiwa kabisa
Wife n mama wa nyumbani tu
Hana hatia.
Tuliachana sikutaka kufanya madhara.Na ukasamehe
Njemba iliyotoa mbegu inajua kama inambegu yake huko kwako?Hiyo bond niliyonayo kwa mtoto ndio inanivuruga sana kwa sasa
Duh duh duh hii balaaa ,hlf Kuna mama wakwe wanaozaa wake na Kuna mwanamke aliyekuzali mwanamke hapa Duniani. Huyo wako alikuwa ni mwanamke aliyekuzalia mwanamke uliyemuoa na siyo mama mkwe aliyekuzalia mke,baada ya week mbili nikajua mpaka jamaa anaongea na kuhusu mtoto wake na mpaka mama mkwe alishaambiwa.
Bora wewe uliefanya maamuzi ya kiume, na sio huyu anaelia lia hovyo hajielewi, anatia watu hasira tu.We are sailing in the same boat...
mimi wangu nilifukuza kabisa akarudi kwao ili wazazi wake nao wayasikie maumivu
....
na aliempa mimba nae akaikataa qmmake[emoji3062][emoji3062][emoji3062]
View attachment 2504730
Bila shaka huyo mwanamke sio mkeo.Pole Mkuu
Hata mm pia ndio yananikuta, lakini yangu other way around, Damu yangu amepewa baba mwengine, na mwanamke amechachamaa kumbambikia huyo jamaa kisa jamaa yupo vzr kifedha na isitoshe jamaa tayari ana mke kwahiyo Kawa kimada.
Mtoto yupo copyright na mm, Mungu hamfichi Mnafki
Spendi kuona kid yangu imeenda ukoo mwengine, but what can you do once the byche made up her mind, na mtoto still bado mdogo, mwaka na miez miwili, mama mtu bado anahaki nae
Basi endelea kumtunza mkeo na mtoto maana bond sio vizuri kuivunjaHiyo bond niliyonayo kwa mtoto ndio inanivuruga sana kwa sasa
We ndo mwanaume sasa sio huyu anajiliza Liza kama demu eti bond na damu siyo yakoTuliachana sikutaka kufanya madhara.
hyo kitu haiwezekani,huwez ishi na mtoto co wako,labda mkeo awe nae kabla ya kumuoa sio aje akuzalie ndan mwako ni ujinga wa reli ya kisasa.We ndo mwanaume sasa sio huyu anajiliza Liza kama demu eti bond na damu siyo yako
Yaani achukue mtoto wa watu?Bro mwanamke achana nae lakini kama mtoto unampenda na mna connection, siku zote mchukulie kama mwanao wa kumzaa..hutoumia...watoto hawana kosa na hawapaswi kulipia dhambi za wazazi wao, kama unaitwa baba mwamvita sijui John, ibaki hivyo hivyo...Love is Love bro
Hayo mawazo ya uginjwa kwa nini asimshirikishe baba wa mtoto au asimpeleke kituo cha afya?We are sailing in the same boat...
mimi wangu nilifukuza kabisa akarudi kwao ili wazazi wake nao wayasikie maumivu
....
na aliempa mimba nae akaikataa qmmake🥵🥵🥵
View attachment 2504730
Wake sio wa watuYaani achukue mtoto wa watu?
broo peleka huyo mtoto kwa baba yake utanishukuli baadae,Nimegundua wife alichepuka akabeba mimba na kujifungua mtoto hafanani na mimi baba yake wala mama yake
Hapa nimekaa na mtoto hadi miaka miwili imefika
Nipo njia panda nimuache wife na mtoto au niendelee kuishi nao!?