ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Yani sijaelewa kabisa kwenye mwendokasi watu wanafanyaje, ila kwa binadamu hakuna linalowashinda🤣🤣🤣Ujinga unazidi kuwa mwingi Nchi hii🤣
Hivi Maki....🤣🤣🤣au basi!!🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani sijaelewa kabisa kwenye mwendokasi watu wanafanyaje, ila kwa binadamu hakuna linalowashinda🤣🤣🤣Ujinga unazidi kuwa mwingi Nchi hii🤣
🤣🤣🤣🤣Wanafanya...Yani sijaelewa kabisa kwenye mwendokasi watu wanafanyaje, ila kwa binadamu hakuna linalowashinda🤣🤣🤣
Hivi Maki....🤣🤣🤣au basi!!🤣🤣
Hivi wanaanzaj🤣🤣🤣 kweli binadamu duh!🤣🤣🤣🤣Wanafanya...
Hivi Maki.....Nini? Acha iwe hiyo Basi....Nakujua wewe utachoma🤣
Acha uendelee kuzeeka Busara ziongezeke😅Hivi wanaanzaj🤣🤣🤣 kweli binadamu duh!
Kuna kitu nikawa najiuliza hapa, akili imezeeka hainipi ushirikiano🤣🤣🤣
Tatizo mnawaza ngono kila wakati mtu kapaki Gari anaongea na Mama yake nyie mnahisi anamdinya.Wanajamvi
Siku hizi limekuwa kama jambo la kawaida kukuta watu wamepaki gari wanafanya mapenzi humo ndani.
Hii imekaaje?Ni sahihi kweli?
Pia soma: Sio ustaarabu, heshima wala uungwana kufanya mapenzi ofisini au ndani ya gari
Kwanini mkuu. Mbona kwenye treni sio mkosi?Mkosi mmoja wa hatari sana
Sahihi.....matajiri hawana hizo Tabiaza ZinaaDHAMBI YA ZINAA NI MAUTI.
YESU NI MFANO BORA ALIEFANIKIWA KWA KUTUFUNDISHA KWAMBA MWILI NI HEKALU LA ROHO MTAKATIFU.
ZINAA HULETA GUNDU NA UMASIKINI MKALI
Kahamishia mashetani kwenye gariKama ni gari ya familia soon jiandae na ajali ya ajabuajabu.
naUko wapi kwani.....
Kwani ulishaambiwa Mbongo anajielewa?Ujinga unazidi kuwa mwingi Nchi hii🤣
Ile ni public ina zindiko lake ila gari ni private nikama nyumba yako mwenyewe na guesthouse au lodge .Kwanini mkuu. Mbona kwenye treni sio mkosi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Acha uendelee kuzeeka Busara ziongezeke😅
KashikweGari lake, mafuta yake, barabara ya umma
Wewe inakuuma nini?
Kajambe mbeleKashikwe
Kama kweli tuzioneHukuwapiga picha???