Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Ni sahihi kulea mtoto wa Kambo?

Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Sioni kama kuna shida,vitu vingi, wanaume ambsvyo wanaona ni matatizo, husababishwa na ukosefu wa pesa, ukiwa na fedha, hata kusomesha watoto kumi wa kambo sio tatizo, laiti ungeuliza je ni sawa kugawanya mkate wa watoto wangu wa damu na kumpa wa kambo? Au nitoe mtoto wangu English medium, nimpeleke kayumba, ili nibaki na mkwanja nisomeshe mtoto wa kambo, hiyo sio sawa kabisa,
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Mtoto wa kambo nimtoto wako kwasababu nimtoto wa mkeo

Na iwapo utashindwa kumlea Kama mwanao Basi mlee Kama mtanzania mwenzio au mwafrica mwenzio
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Unapenda boga pekeeua unamuachia nani
 
Heshimu makubaliano yenu ya mwanzo. Ukilegeza hapo utat.o.m.b.e.w.a na baba mtoto hapo hapo kwako. Kwakua atakuja kumuona mwanae na kumjulia khali hapo nyumbani.mwisho w cku utalea mtoto kiuoga oga kuogopa kukosea kisa mtoto wa kambo. Hv jiulize uko na uwezo wa kusomesha watoto wa MTU mwingine private school na wako kayumba. Ukigeuza upande watasema una mnyanyapaa tu.
All the best
Uzi umeishia hapa
 
Atamkuta akiwa na watoto wengine wa3, kuna ubaya gani na mitoto mibichi imejaa kibao? Kung'ang'ania mwanamke ni tatizo la saikolojia.
Lakini tayari ushapoteza muda na pesa kulea mtoto asiye wako
 
1. Huyo mkeo athibitishe kwamba mtoto anatesekaje. Anashinda njaa? Anatembea uchi au na manguo yasiyo ya kibinadamu? anapigwa bila sababu?
Maana mama obviously atakuwa tu emotional kwenye mambo yanayomuhusu mwanaye na uwezekano wa exaggeration ni mkubwa.

2. Kama mtoto anateseka, nani anamtesa? Baba yake au mama yake wa kambo? Je, mkeo na mzazi mwenza wake wamejaribu hata kutafuta suluhisho au mkeo anataka tu kukaa na mwanaye so anatafuta visababu. Kwanini mtoto kuhamia kwako iwe the first option?

3. Makubaliano yenu ya mwanzo ni mtoto akae na baba yake. Lazima makubaliano yaheshimiwe. Otherwise, ukikubali haraka, Kuna mengi yatafuata.

4. Baba mtoto atakubali mtoto wake kuchukuliwa? Ugomvi na baby daddy drama zitakustress sana.

5. Huyo mtoto akija tu, familia yako inaingia rasmi kwenye mgogoro. Mama yake hatakuplease, wewe, mwanaye na mtoto wenu. Kuna siku itakuwa ni yeye against wewe na mwanao.
Mkuu umeeleza kwa ufasaha sana, na akimesap hapo familia itaparanganyika, na alifanya kosa sana mwamba kuuoa singo mama
 
Kwani ni mwanao
Kama uwezo upo, na nina ufahamu sio kwamba nimebambikiwa, nikimlea asiyetoka kwenye viuno vyangu kuna tatizo gani?
mabinti wabichi wamejaa wewe unahangaika
Kila nikiwasoma hoja zenu zinaangukia sehemu moja tu, hofu ya kugongewa ambayo kwangu mm haina mashiko. Malaya atagongwa tu hata kama ulimchukua bikira. Asiye malaya atatunza heshima yake hata kama alishaichafua kabla.
 
Kuna mazingira ukimtazama baba mzazi unaona kabisa hana madhara.

Mfano Mtu anashinda kwenye baa za pombe kali za kienyeji kalewa chaka chaka 24/7 kachoka mara aokotwe mitaroni una hofu nae wa nini na mzazi mwenzie umempa watoto na maisha mazuri?
Nimemis madini kama haya kwenye ule Uzi wetu.., respect 🙌🙌🙌
 
Habar Wana JF!

Kuna Binti mmoja nimemuoa zaidi ya mwaka sasa, nimezaa naye mtoto mmoja. Lakini kabla ya hapo alikuwa na mtoto mwingine mwenye umri wa miaka mitano, na makubaliano yetu ilikuwa mtoto huyo aende akaishi na baba yake tutakapo oana, na yeye akaafiki na kweli baba mtoto alimchukua akawa anaishi naye, na baba wa huyo mtoto kaoa ana mke ana watoto wengine.

Sasa siku zimekatika majuzi huyu mke wangu kaenda kumsalimia mtoto wake Kwa baba yake , karudi ananiambia huyo mtoto wake anateseka sana huko, kakonda, hasomi nk, Kwa hyo anataka amchukue Kwa baba yake tuwe tunakaa naye sisi.

Naomba ushauri wenu wadau, itakuwa ni SAHIHI mimi kumlea mtoto wa KAMBO na baba yake yupo?.

Na kama mnavyojua changamoto za mtoto wa KAMBO sitakuwa na uhuru wakutosha kumlea ninavyotaka coz sio damu yangu. Hii imekaaje wadau?
Jadiliana na mkeo! Soon atakuzalia mwingine na huyo ex wake!
 
1. Kama NI Mtoto WA Kike mchukue umlee hata Leo hii. Hapa Hakuna masharti

2. Kama NI Mtoto WA kiume Hapo wekeni makubaliano kadiri utakavyoona.

3. Kama Mkeo anakazi ya kuzalisha kipato Lea.

4. Kama Mkeo anakutii Lea.

Lakini napata shida kuhusu kuvunjwa Kwa makubaliano Yenu tangu mwanzo.

Kama Mtoto anasema anateseka, ustawi WA jamii upo
 
Mpaka uwe na roho nzuri au ni Mchamungu! Kama wewe una roho nzuri au ni Mchamungu unaweza kumlea ili mradi baba yake awe analeta matunzo!
Lakini kama una roho mbaya,toa pesa ya matunzo ya mtoto tu lakini usioe!

Mungu mwenyewe mwenye Roho nzuri atawachoma Watoto wa Kambo(Watoto WA Shetani)

Mnapenda kumpa Sifa Ambazo Hana.

Mungu NI nature.
 
Back
Top Bottom