Ni sahihi kumtaarifu mpenzi wako kuwa una zawadi kutoka kwa ex?

Ni sahihi kumtaarifu mpenzi wako kuwa una zawadi kutoka kwa ex?

Wakati mwingine wanawake hua mnajitakia kupigwa vibuti wenyewe.
Yaani hakuna mwanaume anaeweza kukubali hata kuona au kusikia kwamba bado unawasiliana na X wako "ukiacha zawadi".
Na ikitokea mwanaume amegundua ama amejua kwamba unawasiliana na X, ama umepewa zawadi na X, kisha ukamuona amenyamaza bila kuchukua hatua yeyote basi tambua kwamba anakuvumilia tu, ila anakulia timing
hiyo ni kweli. ilishanikuta
 
Wakati mwingine wanawake hua mnajitakia kupigwa vibuti wenyewe.
Yaani hakuna mwanaume anaeweza kukubali hata kuona au kusikia kwamba bado unawasiliana na X wako "ukiacha zawadi".
Na ikitokea mwanaume amegundua ama amejua kwamba unawasiliana na X, ama umepewa zawadi na X, kisha ukamuona amenyamaza bila kuchukua hatua yeyote basi tambua kwamba anakuvumilia tu, ila anakulia timing
Umeelewa muda aliopewa zawadi mzee baba?
Unajua kutokuelewa swali tayari umefeli mtihani bablai?

Mleta hoja anaweza kuwa na hoja asikilizwe....acheni mvuke inaonyesha yamewakuta sana😂😂😂
ERoni hadi amewaza kuua kabisa🤣
 
Ila watu mnaujasiri, bado mnapeana zawadi na maex means mnawasiliana🤔🤔...anyways me nikishaachana na mtu hua sirudi nyuma hata iweje
Hiyo ni dalili ya kutomove on,yaani moyo kauacha Kwa Ex huyu mpenzi wa Sasa yupo kimwili
 
Sijui kama ameeleweka, kama mimi nimemuelewa, hizo zawadi ni za kitambo sio wakati huu akiwa na huyo mkoloni mpya
Sasa mkuu, kama zawadi walipeana kipindi wapo katika penzi, kuna sababu yoyote ya yeye kumwambia mpenzi mpya kweli? Mbona it's obvious kuwa zawadi kapewa na ex wake wakati yupo kwa penzi jipya.
 
Sasa mkuu, kama zawadi walipeana kipindi wapo katika penzi, kuna sababu yoyote ya yeye kumwambia mpenzi mpya kweli? Mbona it's obvious kuwa zawadi kapewa na ex wake wakati yupo kwa penzi jipya.
Binti hajui Kuna taarifa ndogo sana zinaweza haribu kichwa Cha patner 🙂
 
Umeelewa muda aliopewa zawadi mzee baba?
Unajua kutokuelewa swali tayari umefeli mtihani bablai?

Mleta hoja anaweza kuwa na hoja asikilizwe....acheni mvuke inaonyesha yamewakuta sana😂😂😂
ERoni hadi amewaza kuua kabisa🤣
Kuna mmoja aliwahi kujichanganya akaniambia zile chup alinunuliwa na marehem X wake, basi mie sikutaka maelezo zaidi.... nilimwambia akazichome moto, na huyo X wake angelikua hai ndio ilikua ticket ya kumnawa...☹️
 
Sasa mkuu, kama zawadi walipeana kipindi wapo katika penzi, kuna sababu yoyote ya yeye kumwambia mpenzi mpya kweli? Mbona it's obvious kuwa zawadi kapewa na ex wake wakati yupo kwa penzi jipya.
Hii zawadi ni mpya hii,,ngoja aseme aone moto utaowaka sijui hata atauzimaje.
 
Wadau wa jamii naomba kujua hili,

Je, ni sahihi kumwambia partner wako kwamba una zawadi ambayo alikupatia ex wako?

Hii taarifa ni sahihi kushare na partner wako au ni bora kukaa kimya au kutupa/kugawa zawadi uliyopewa na ex?
Watoto mna akili chini ya utoto.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kuna mmoja aliwahi kujichanganya akaniambia zile chup alinunuliwa na marehem X wake, basi mie sikutaka maelezo zaidi.... nilimwambia akazichome moto, na huyo X wake angelikua hai ndio ilikua ticket ya kumnawa...☹️
Sasa ulimkuta alishadukuliwa, ulijua kaliwa na MALAIKA?🤣🤣😆😆

UKWELI wabongo tupo nyuma sana.

Ukinunua gari used ujue lilisha kazwa kazwa mara nyingi na fundi😂😂😂
 
Sasa ulimkuta alishadukuliwa, ulijua kaliwa na MALAIKA?🤣🤣😆😆

UKWELI wabongo tupo nyuma sana.

Ukinunua gari used ujue lilisha kazwa kazwa mara nyingi na fundi😂😂😂
Na skuizi hua najiuliza sana, nini kilinipata hadi nikajikuta nakua na wivu hadi kwa marehem...😝
 
Back
Top Bottom