Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kuna mioto hainaga mfano🤦🤣🤣🤣🤣Malejendari mnajua zaidi 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mioto hainaga mfano🤦🤣🤣🤣🤣Malejendari mnajua zaidi 🤣🤣🤣
Eeeeeh,maneno mbofu kabisaaa🤣🤣🤣Sasa ulimkuta alishadukuliwa, ulijua kaliwa na MALAIKA?🤣🤣😆😆
UKWELI wabongo tupo nyuma sana.
Ukinunua gari used ujue lilisha kazwa kazwa mara nyingi na fundi😂😂😂
Ukweli ndio huo, siku hizi binti akifika 22yrs ashaliwa sana yani.Eeeeeh,maneno mbofu kabisaaa🤣🤣🤣
Shukrani za mechi zilizopita na akitaka mechi mpya😁Anakuletea zawadi Kwa sababu zipi
Sahihi kabisa mkuu,Ukweli ndio huo, siku hizi binti akifika 22yrs ashaliwa sana yani.
Kwa taarifa ya wanaume wote humu.
Ukiona binti singo au hajaolewa anaposti msosi mkali ujue baada ya kula kaliwa🤣🤣🤣🤣
Akiposti location kali ujue mwamba ndio kamfotoa.
Yaani kibongo bongo binti hadi aolewa katumika sana tena katumiwa na wazee rika la babako.
5% angalau wao walijitunza😁😁😁
Mkichujia niueni
Ushimen ERoni National Anthem
Ndio maana mimi nilisha sema kataa ndoa...🤨Ukweli ndio huo, siku hizi binti akifika 22yrs ashaliwa sana yani.
Kwa taarifa ya wanaume wote humu.
Ukiona binti singo au hajaolewa anaposti msosi mkali ujue baada ya kula kaliwa🤣🤣🤣🤣
Akiposti location kali ujue mwamba ndio kamfotoa.
Yaani kibongo bongo binti hadi aolewa katumika sana tena katumiwa na wazee rika la babako.
5% angalau wao walijitunza😁😁😁
Mkichujia niueni
Ushimen ERoni National Anthem
Ujinga tu ex wangu naona wanajuta kunifahamu sio Kwa dharau hizi 😀😀Shukrani za mechi zilizopita na akitaka mechi mpya😁
😂😂😂Ukweli ndio huo, siku hizi binti akifika 22yrs ashaliwa sana yani.
Kwa taarifa ya wanaume wote humu.
Ukiona binti singo au hajaolewa anaposti msosi mkali ujue baada ya kula kaliwa🤣🤣🤣🤣
Akiposti location kali ujue mwamba ndio kamfotoa.
Yaani kibongo bongo binti hadi aolewa katumika sana tena katumiwa na wazee rika la babako.
5% angalau wao walijitunza😁😁😁
Mkichujia niueni
Ushimen ERoni National Anthem
Chapa chapa mkuu kwani ukiremba bado unasingiziwa🤣🤣🤣Sahihi kabisa mkuu,
Ukiona locations ujue kuna kidume pembeni, hili nimeliobserve sana tu.
Acha wachapwe, tupo humo humo tunanunua indirect.
Suala la muda yaani utalainika tu.Ujinga tu ex wangu naona wanajuta kunifahamu sio Kwa dharau hizi 😀😀
Nimejikuta nimekutukana mara 3 kama Petro alivyomkana Masihi mfululizo🤣🤣🤣Ndio maana mimi nilisha sema kataa ndoa...🤨
Ndoa ni uhujumu...☹️
Shemeji hii lini tena? nawe upo timu ya mabazazi tena?Ndio maana mimi nilisha sema kataa ndoa...🤨
Ndoa ni uhujumu...☹️
Kwa hiyo walioolewa wakipost ndio wanakuwa wamejinunulia au wamenunuliwa na waume zao?😅😅😅😅Ukweli ndio huo, siku hizi binti akifika 22yrs ashaliwa sana yani.
Kwa taarifa ya wanaume wote humu.
Ukiona binti singo au hajaolewa anaposti msosi mkali ujue baada ya kula kaliwa🤣🤣🤣🤣
Akiposti location kali ujue mwamba ndio kamfotoa.
Yaani kibongo bongo binti hadi aolewa katumika sana tena katumiwa na wazee rika la babako.
5% angalau wao walijitunza😁😁😁
Mkichukia niueni
Ushimen ERoni National Anthem
😀😀😀Wala siishi kitawa ila kumrudia mtu Tumeachana naonaga kupoteza mda wanaume wapo wengi matoleo mapya😂😂😂😂Suala la muda yaani utalainika tu.
Wengine tuliishi maisha ya kitawa lkn wapi...dunia ni zaidi ya Havard🤣🤣🤣