Ni sahihi kumtaarifu mpenzi wako kuwa una zawadi kutoka kwa ex?

kama ni zawadi amezikuta sitoi explanation ya kitu chochote nilicho nacho maana najua na yeye ana boxer alizonunuliwa na x wake na anazivaa
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Wala siishi kitawa ila kumrudia mtu Tumeachana naonaga kupoteza mda wanaume wapo wengi matoleo mapyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hiyo ukiachwa unasaka dudu jipyaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Nisamehe akili yangu leo haiko poa nina ukameπŸ˜‚
 
kama ni zawadi amezikuta sitoi explanation ya kitu chochote nilicho nacho maana najua na yeye ana boxer alizonunuliwa na x wake na anazivaa
We phalla una akili sana🀣
 
Kwa hiyo walioolewa wakipost ndio wanakuwa wamejinunulia au wamenunuliwa na waume zao?πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Dah ndio maana sipostigi dinner nikiwa Karambezi😁😁
Unakula pesa za wanaume kimya kimya mjinga sana wewe😁😁
 
Kwa hiyo ukiachwa unasaka dudu jipyaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Nisamehe akili yangu leo haiko poa nina ukameπŸ˜‚
Sasa ushasema nimeachwa nimlazimishe???🀣🀣
 
Chapa chapa mkuu kwani ukiremba bado unasingiziwa🀣🀣🀣
Eeenh mkuu, tumalizie kula vinono mda hautoshi🀣🀣🀣
 
Shemeji mimi ni kataa ndoa kindaki ndaki...🀣
Kwani watu wanaoa ili wagundue nini..πŸ™„
🀣🀣🀣🀣🀣Dah,,,Kwa hiyo ndoa ni uchawi shemeji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…