Ni sahihi kumuacha Mkeo aparangane na biashara za masafa ya Mbali?

Mimi Niko huru kwa mjadala wa wazi bila kujali hzo nyingine sijui kuolewa and wereva let's attack ideas and not personal issues.
Nilikuuliza kuhusu kuolewa, ili nikurudishe kwenye asili na nikukumbushe ya kuwa majukumu au haki si kwa kufanana bali haki ni kwa stahiki. Hapa ulitakiwa uelewe uzuri.
 
All the best madam
 

Waambie hao! Yaani una watoto khs eti uanze kuhangaika na mapenzi? Kwanza mwanamke broke ni rahisi Sana kuhadaika ...yaan yule mwanamke akiiona 30 chupi inaloa...mke akiwa Ana utuliv financially ni rahis Sana kumanage family yake...! Sasa hata mchango wa harus uombe kwa mume .sijui vimichango vya jumuiya usubiri upewe!! Ndo maana tunadharaurikaga!
 
Reactions: amu
Nafikiria nje ya mada while tuna discuss mada iliyopo mezani kwa sasa

Sasa kwanini ufikirie nje ya mada wakati ili ukidhi haja ya mada hutakiwi utoke nje ya mada, au huoni mara kadhaa huwa tunahimizana tujikite kwenye mada na tusitoke nje ya mada ? Au hili hujawahi kuliona ?
 
Sasa kwanini ufikirie nje ya mada wakati ili ukidhi haja ya mada hutakiwi utoke nje ya mada, au huoni mara kadhaa huwa tunahimizana tujikite kwenye mada na tusitoke nje ya mada ? Au hili hujawahi kuliona ?
Nilikwambia ujiongeze kwa mada husika na sio kutoka kwa mada Sasa hyo nikuanza kufikiria nadharia zisizo na mashiko
 
Kwa mwanaume anaejielewa hawezi kufanya upuuzi huo hata kama anamuhisi mke wake ni kama Malaika kwamba hafanyi dhambi
 
Nilikuuliza kuhusu kuolewa, ili nikurudishe kwenye asili na nikukumbushe ya kuwa majukumu au haki si kwa kufanana bali haki ni kwa stahiki. Hapa ulitakiwa uelewe uzuri.
Unirudishe kwenye asili ipi mfano maana ndoa ni uamuzi wa mtu na sio lazima useme mtu akikosa anakufa hapo ungesema ni asili kwa vile kitu kipo ni necessary but not important kwanini kiwe asili. Maana nature huji shape yenyewe lakini sio kitu ukikosa ka chakula unakufa.
 
Hyo mipaka ya kutafta Mali kwa mwanamke iliandikwa na Nani na ni Sheria gani mfano za Tanzania zimemuwekea mipaka mwanamke juu ya utaftaji?
 
Nilikwambia ujiongeze kwa mada husika na sio kutoka kwa mada Sasa hyo nikuanza kufikiria nadharia zisizo na mashiko
Si kweli, nimeandika kwa mujibu wa kile ulichokiandika, kama unakusudia hiki ulichokiandika sasa, basi vyema sana, rudi katika katika ile kazi niliyo kupa ya kufikiri nje ya box kulingana na hii mada, tuone unafikiria vipi nje ya box.
 
I like ur spirit
 
Wanawake wa huko wanapiga kazi na wanaume walishazoea ni kawaida Sana hata kuchepuka sidhani maana wako busy Sana plus kuchoka.
Na hamna kitu mbaya ka mtu kukaa sehemu moja lazima awaze mengi
Sana aiseeee.
Wanapiga kazi mno. Yaani wanapiga kazi mno.
 
Si kweli, nimeandika kwa mujibu wa kile ulichokiandika, kama unakusudia hiki ulichokiandika sasa, basi vyema sana, rudi katika katika ile kazi niliyo kupa ya kufikiri nje ya box kulingana na hii mada, tuone unafikiria vipi nje ya box.
Maana yake umecremisha Mambo ya kale ambayo sio applicable kwa dunia ya leo, mfano utembee kwa miguu instead of using car, au ndege.
 
Nikurudishe katika asili ya kuwa mwanaume na mwanamke hawako sawa kimaumbile mpaka katika haki. Na asili ni wewe kuletewa na si kuleta, mpaka ipatikane dharura ya wewe kuleta, ila ikiondoka hiyo dharura hutakiwi kuleta.

Kisha tuje kuangalia athari zinazo tokana na wewe kutaka kuwa sawa na sisi.
 
Hyo mipaka ya kutafta Mali kwa mwanamke iliandikwa na Nani na ni Sheria gani mfano za Tanzania zimemuwekea mipaka mwanamke juu ya utaftaji?
Kabla sijakujibu swali lako ambalo ni zuri sana,naomba unijibu swali hili,serikali ya tanzia ipo katika misingi gani ? Je inatumia vigezo gani kutambua haki ya mtu au haki ya jinsi fulani ni ipi ?

Kisha kwa upole kabisa nitakuja kukuelezea au kujibi swali lako, lengo ni kuweza kuelewana kwa wepesi.
 
mkuu hayo mawazo yako yamepitwa na wakati sio wanaume tu wenye jukumu la kutafuta,hata wanawake siku hizi wana hustle sana tu na wanamafanikio kuliko hata wanaume..na nimegundua siku hizi mwanaume ukitaka ufanikiwe kwenye biashara jenga ukaribu wa wanawake wenye connection na biashara wanaweza kukupa mawazo mazuri na wanazijua vizuri biashara mbalimbali hata usizowazania...mwanamke akishakuwa hustler mwogope sana huwa wanakuwa hustlers kwelikweli hawatanii...nimeona hata humu jf skuhz wanawake ndo wanafunguka vizuri zaidi kuhusu details za biashara mbalimbali kuliko hata wanaume..tembelea jukwaa la ujasiriamali na biashara usome kila comment ndo utaelewa vizuri hichi nachozungumza
 
Hyo ya kutokuwa sawa ni bilogical make-up tu and has nothing to do nakufanya kazi ili kujipatia maendeleo, na pia mwanamke kusoma na kujipatia maendeleo hashindani na mwanaume hizo ni perception zetu tu hamtaki kukubali kuwa Mambo yame change na kusingizia tunashindana.
Wanawake tunapambana na umaskini na kujikwamua kiuchumi nyie Bakini na nafasi na nyimbo za uanaume wenu sie twasonga mbele.
 
Hivi shoga yangu zile kazi zinavyochosha hata Nyege zinatokea wapi?

kwanza unapauka hata nuru hakuna unawaza costs Hasara
hela itarudije bado upate nafasi ya kuwaza kulana...
Risks nyingi sana kichwa hakitulii unapanga na kupangua hewani.
Halafu lijitu linawaza eti utaliwa.
Mambo ya ajabu mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…