Mkeka ulishanchanikiwa huyo mwamba.Kuna jamaa mmoja ni teacher. Utaratibu wake ni kufua nguo zote na kupika chakula cha wote kwa siku za jmosi na jpili. Kimsingi siku hizo mbili huwa ni za mke wake kwenda bar kupata bia tamu.
Mwamba mwenyewe huwa hanywi.
Hii kwenye betting sijui ndio NGUMU KUMEZA
Muonee huruma basi mwenzioHela tafuta na chakula pika
Nakusalimia mtani wangu Coco nimekumisi Mama mzuri weyeeeNDIO, NI SAHIHI.
Ok goodMambo mengne ni maelewana ya wanandoa au familia sizan km ni vibaya kwa wanaume kufanya ivyo km ajalazimishwa ila kafanya kwa mapenz yake
Hakuna namna apambane na hali yake tuMuonee huruma basi mwenzio
Vipi hapo si fresh au.Aisee [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wewe unapenda sana chini.... . Jokes MakaveliAjabu nini sasa, nikijisikia naingia jikoni namkarangizia mke wangu, vingine napatia vingine natoa boko tunachekana siku inaenda.
Hizi kazi nyingine ni wanatusaidia tu, ila kazi yake haswa ni ile tu, mguu bara mguu pwani [emoji23]
Alete hela, kupika iwe kwa kupenda kwakeVipi hapo si fresh au.
Napenda chini kuliko kuka [emoji23]Yaani wewe unapenda sana chini.... . Jokes Makaveli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ajabu nini sasa, nikijisikia naingia jikoni namkarangizia mke wangu, vingine napatia vingine natoa boko tunachekana siku inaenda.
Hizi kazi nyingine ni wanatusaidia tu, ila kazi yake haswa ni ile tu, mguu bara mguu pwani [emoji23]
Huo ndio uhalisia mzee mwenzangu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Khaaa!
Acha kuwadanganya wenzio bwana. Mbona mnataka kufanya maisha yawe magumu!!!Mwanamke anakuwa ana test dawa zake kama zimeanza kufanya kazi kama bado arudi tena kwa babu yaani mwanamke ukimsaidia kazi siku moja tu basi anaona dezo kila siku atakutest ukiingia king tu umeisha.
Kabisa kabisa mzee mwenzangu. Pika boko lako mle mshibe mkapige kazi[emoji1787][emoji1787]Huo ndio uhalisia mzee mwenzangu[emoji23][emoji1787]
Ni sahihi kwa mwanaume anayetaka kuoa kuuliza maswali ya kipumbavu kama hili kwenye thread hii ?Jamani tuacheni masihara. Kama kuitwa mshamba bora mimi niwe hivyo.
Hivi inakuwaje mwanaume unamkuta yuko jikoni anahangaika kupika au kufua au hata kupiga deki?
Si tulikubaliana Kazi ya Mwanaume ni kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto na kutoa ulinzi kwa familia na jamii??
Tulikubaliana kazi ya mwanaume ni kuhakikisha unawaza kununua ndege, treni, kumiliki makampuni makubwa ya biashara, Kuiangusha Urusi.
Na mwisho kabisa kazi muhimu baada ya hayo ni kutoa kichapo kitakatifu kwa mama watoto mpaka anasema kweli hapa nina mwanaume.
Yangu ni hayo tu.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]Kabisa kabisa mzee mwenzangu. Pika boko lako mle mshibe mkapige kazi[emoji1787][emoji1787]
Bora mjaze tumbo tu maana hapo hakuna Chakula tena.[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Hivi mfano mimi nimerudi home mapema kuliko mwenzangu, au sijaingia mishe mishe na ni mzima wa afya, mwenzangu kaenda mzigoni kwanini nisipike sasa!! Mapenzi ni kuhurumiana, haya mengine tunaendekeza tu, mie nikijisikia kupika naingia jikoni naharibu haribu akija tunajaza tumbo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti naharibu![emoji23][emoji1787][emoji1787]
Hivi mfano mimi nimerudi home mapema kuliko mwenzangu, au sijaingia mishe mishe na ni mzima wa afya, mwenzangu kaenda mzigoni kwanini nisipike sasa!! Mapenzi ni kuhurumiana, haya mengine tunaendekeza tu, mie nikijisikia kupika naingia jikoni naharibu haribu akija tunajaza tumbo.
Shida kinywani tu, kikikaa tumboni hakina tabu, uzuri wazungu wamerahisisha mambo, ubwabwa unapikia rice cooker, kuunga mboga hakunipwelepweti, nishajua formula nishakuwa fundi wakutoa masolotojo.Bora mjaze tumbo tu maana hapo hakuna Chakula tena.
Eehh.. Naharibu haribu mwenzangu wee, maana siwezi kukarangiza kama anavyokarangizaga mwenyewe mwenye jiko lake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti naharibu!
Hayo ndio mapenzi sasa. Hatupaswi kuyafanya mapenzi kuwa mzigo jamani. Tunapaswa kuyafurahia na kutendeana mema.