Mimi niko vizuri sana kwenye kupika. Ila hua napika siku nikijisikia, siku hiyo nawaambia wote kaeni pembeni leo napika mimi! Nafyatua kitu cha uhakka mtaa mzima wanaulizana.Kupika ni kipaji. Mywife hata kama anaumwa haniruhusu kupika.
tena nikijipitish jikoni kwake ananiuliza umekuja kufanya nini huku?
😆😆😆Haka Kamsemo, acha kabisa..!The Happiness kamsemo ketu..!
SafiMimi niko vizuri sana kwenye kupika. Ila hua napika siku nikijisikia, siku hiyo nawaambia wote kaeni pembeni leo napika mimi! Nafyatua kitu cha uhakka mtaa mzima wanaulizana.
Pili kuna aina ya vyakula, mfano kama nimenunua BEBERU langu nataka nile na washkaji siwezi kamwe kumpa wife anichomee!
Safi [emoji23][emoji23]Mkuu, mimi hua napika na wakati waifu anaangalia tamthilia sebleni kisha nampakulia kabisa na kabla hajaanza kula nahakikisha nimemnawisha kwa maji safi tena yalio chemshwa.
Na saizi ndio nimemaliza kuosha vyombo, nikimaliza ku comment hapa nataka nika deki nyumba...[emoji4]
Usimwamini huyo kwa fix anaongozaSafi [emoji23][emoji23]
Kama ni fix hiyo ni shda yake yeyeUsimwamini huyo kwa fix anaongoza
Hongera kwako.Mimi napenda sana kupika,hata kufua Mara moja moja hata wife anajua hili Ila nipende mwenyewe
Kupika ni jadi yangu na hilo haliwezi badilika, alafu sisi tunao pika ndoa zetu unakuta ziko strong hakuzalau wala nini lakini nyie mnao jifanya et siwez mpikia mwanamke sasa ndio mnaendeshwa balaa. Ninavyo ingia jikoni naingia kwa mapenzi yangu nasiendeshwi.Anavyokusifia Mume wangu unajua kupika na wewe unachekelea??
Jiangalie sana
Hongera sana. Nomba kujua na Chapati na kacholi unapika pia? Na nazi una kuna?Kupika ni jadi yangu na hilo haliwezi badilika, alafu sisi tunao pika ndoa zetu unakuta ziko strong hakuzalau wala nini lakini nyie mnao jifanya et siwez mpikia mwanamke sasa ndio mnaendeshwa balaa. Ninavyo ingia jikoni naingia kwa mapenzi yangu nasiendeshwi.
Wakati wa uchaguzi wabunge huwa wanafanya hivi🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu hivyo hua sipiki aiseeHongera sana. Nomba kujua na Chapati na kacholi unapika pia? Na nazi una kuna?
Hongera aiseeMimi napenda sana kupika,hata kufua Mara moja moja hata wife anajua hili Ila nipende mwenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu hivyo hua sipiki aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenichekesha sana eti kachori na kukuna nazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Diamond hana ujinga huo Ndege John.Kwa mfano TU wewe ungekuwa diamond ungeaacha kumkaangia zuchu makuku ndani ya kitchen room ya WCB
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app