Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Akikuoa na dini yako ipo siku atakwambia anataka kuoa wa dini yake la badilisha
 
hapo suluhisho wote muokoke muachane na dini muufuate uwokovu katika YESU KRISTO ndio mtaiona amani ya ndoa yenu. watu wa dini hawataweza kunielewa hapa zaidi watakejeli na kutukana.
Umemaliza [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
mbinu ya kuwavuta wengi kwenda kwao na binti akitoka upande wao kwenda kwingine watamtumia mapepo na majini hadi akome
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hata huyu tayari ameshatupiwa majini na hajitambui,asipopata mtu wa karibu wa kumsaidia,mtamkuta sasa hivi anasema ala la la la na maneno asiyoyajua badala ya kufanyia Mungu wa kweli ibada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MKUU umeharibu hali ya hewa sana daah,..aisee

haya nikuulize naomba uniambie NINI MAANA YA UISLAMU KISHERIA SIO KILUGHA....

NAtaka UKniambie maana ya uislamu kisheria sitaki kilugha kwa sababu kilugha hatuwezi kuhukumu mambo,tunaposema kisheria eidha utoe maana kutoka katika quran na hadith
 
Zamani kidogo,pale Manzese Madizini kuna bi Mdada mmoja toka uchagani alielelewa katika Ukatoliki,alipataga Bwana kama wewe na Akasilimu...baada ya ndoa akuweza pata mtoto,hivyo akalimwa Talaka tatu!...
Taraka mpaka ya jirani yake ampelekee
 
Umemaliza mkuu
 
Sasa Mkuu, hapo umesema mwenyewe kua YESU HAKUJA KUTANGUA SHERIA ZA manabii. Je mbona Mohammad hakua nabii?
Unamuaminije sheria zake, angali sio Nabii kama manabii wengine waliokuwepo zamani?.

Na pia kwanini Hamumpendi Yesu ambaye ni Mkuu zaidi?
 
Unaweza kusoma sana na usielewe vilevile, kuitafsiri Biblia sio kama usomavyo gazeti la udaku mkuu ndiyo maana tuna ambiwa tuenende katika roho si kupayuka payuka tu
 
Heeee hiyo namba 4 vip[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] mie ndiyo nasikia wajameni
 
Acha upuuziiiiii baki na dini yako utakuja kujutaa mbeleni waislamu sisi ni wepesi kutoa talaka sijui wanafanyaga kwa misifa au ??

Tunasababisha masingle mothers kitaa.
Sema hata wewe mkuu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] na ndiyo kampa kwa haraka na mwenzie atakuja hivyo hivyo
 
Na hiyo ndio nchi ambayo mafuta hayakauki,.na ni nchi ambayo Mungu kaahidi kuwa hatakuwa maskini mpaka mwisho wa dunia...
Mungu alimwapia Ibrahim kuwa ahadi ya mtoto Isaka anampa baraka zake na kubariki pia huyo pia huyo mtoto wa kijakazi naye nitampa baraka zake kwahiyo hayo mafuta ni sehemu ya baraka alizo pewa mtoto wa hajiri
 
Dini ni Kama mashati tu unaweza vaa hili ukavua na ukavaa jingine maisha yakaendelea, ila sisi watu wa IMANI kwa MUNGU katika KRISTO Yesu huwa hatuna alternative eyote! Maana hatumilikiwi na dini hivyo wewe ni ruksa tu maana upo chini ya dini
 
Kama hujui kitu ni kazi kubwa sana
Naomba ufatilie na uelewe zaidi dini kabla hujafikia maamuzi.
Kuna jamaa yangu alipata rafiki wa kitaliano na akataka kumuoa baada ya msichana kuwajulisha wazazi wake ambao walikuwa Italy kuwa wanatarajia kufunga ndoa.
Jambo la kwanza mama yake aliuliza
Je una vidole vyako salama? Maana huwa wanakata vidole ukiwakosea waislam.
Sasa niambie na wewe upo katika mkumbo kama wa huyo mtaliano au?

Ondokana na fikra potovu na unaweza kuendelea na mwanaume mwingine na kuishi nae kama partners na ndoa watoto watakapokuwa wakubwa
The choice is yours my dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…