Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Uislam umeanzishwa na katoliki ili kuwadhibiti wayahudi na wa protestant mkuu,hivyo uuheshimu tuu mkuu
🙁 kivipi mkuu,kwani Uislam umeanzishwa lini na Ukatoliki umeanzishwa lini? Na nani hasa kaanzisha "Roman Catholic"

Katika tafiti zangu nimeona kuwa Utawala wa Kirumi "Roman Empire" ndio umeanzisha kanisa la "RC",historia inasema mwaka mmoja baada ya familia ya Yesu kurudi Nazareth kutoka Egypt,Galilee ilitawalina na utawala Kirumi mwaka wa 6ce,..

Biblia inasema waisrael na askari wa kirumi ndio waliosulubu Yesu msalabani,sioni mantiki ya warumi kuanzisha Uislam ili wawathibiti wayahudi, wakati warumi na mayahudi walikuwa waliungana pamoja,walikuwa marafiki.

Wayahudi ndio waliowalazimisha Pilato lazima Yesu asulibiwe soma Yohana 19:5-14
 
Hoja yangu ni kuwa hakuna maisha yenye kumpa mtu uhuru wa kufanya vyovyote atakavyo,iwe utafuata sheria za dini au za nchi hakuna tofauti.

Hayo ya vitabu vya dini kuandikwa na wanadamu ni hoja nyengine.
 
Hoja yangu ni kuwa hakuna maisha yenye kumpa mtu uhuru wa kufanya vyovyote atakavyo,iwe utafuata sheria za dini au za nchi hakuna tofauti.

Hayo ya vitabu vya dini kuandikwa na wanadamu ni hoja nyengine.

Kwahiyo hoja yako ina halalisha watu kufungwa na dini?

Ni sahihi dini kuwafunga watu na kuwaelekeza yupi wa kupenda,yupi wa kuchukia,yupi wa kuzaa nae yupi wa kuacha?

Ni sahihi mwanadamu mwingine to think and kuamua on your behalf?

Hii case ya huyu dada kwenye huu uzi ni pure evil.Huwezi pangia wanadamu watu wazima yupi wa kumpenda na kuoa!

Why cant you use your own survival brain you was born with?
 
ISHIA HAPO HAPO MINAOMBA USHAURI KAMA NYIE MMEIFANYA HUU UZI KUPASHANA UKIUMIA DO NOT JUDGE ME.
 
Mkuu hata dini ya Kiislam wanaamini kuwa Abraham(Ibrahim) ndio mtume wa mwanzo,ile nyumba(Alkkaba) iliyojengwa katika mji wa Makka ambayo waislam wa dunia nzima wanageukia upande iliyoko ile nyuma wakati wanasali imejengwa na Abraham..

Warabu na wayahudi ni watu wamoja wote wametokea katika ukoo wa Ibrahim(Abraham),Historia inasema Nabii Ibrahim alikuwa na wake wawili Sarah na Hajar,..Hajar alikuwa anatoka Egypt.

Kuna vitabu vinasema Hajar alikuwa mtumwa,alikuwa nyumba ndogo ya nabii Ibrahim,waislam wanaamini Hajar alikuwa mke wa halali wa Ibrahim,na alikuwa malkia kutoka Egypt..

watoto ambao Nabii Ibrahim alipata na mke wake Hajar ndio chimbuko na Warabu,..,watoto aliozaa na Sarah ndio chimbuko la Wayahudi

Wayahudi wanawadharau warabu kwa sababu wanasema ni watoto wa mtumwa na dini ya kiislam wanaiita "Hagarisim"..

Kwa kifupi Wayahudi na Warabu wote wametoka kwa Nabii Ibrahim,kwa maana hiyo dini zote za Kiislam,kiyahudi zimetoka kwa Ibrahim,sema Ukiristo umetoka kwa Paulo
 
Mkuu nimerudia kusema kuwa hakuna mtu ambaye anaishi kwa jinsi atakavyo,na hata hapa Tz tunaishi kwa kufuata sheria na taratibu. Lakini ajabu haugusii huko ila umeshikilia dini tu kana kwamba nje ya dini mtu anaweza kuishi atakavyo.
 

umewahi penda?
 
Hayo ndo majaribu katika imani… hiyo sauti unayoisikia kwamba mwanamke hana dini imeandikwa wapi?…. Hiyo sauti ni ya shetani , ikimbie. Mwanamke ndiye aliyekua wa kwanza kutoa na kushuhudia kaburi la Bwana Yesu likiwa wazi, wewe acha kuisikiliza hiyo sauti, inakupoteza, linda imani yako na Mungu atakuzidishia hitaji la imani yako kwa kadri ya imani yako,… (atakayenikana mbele za watu nami nitamkana mbele ya Baba yangu)…. Hizo tamaa ndio huzaa shamba, kisha dhambi huzaa mauti. Pia andiko lasema, "nimeumaliza mwendo, nimevipiga vita vilivyo vizuri, imani nimeilinda"
 
HAKUNA KITU KAMA HICHO KATIKA UISLAM. KUNA MAMBO MAWILI TU HAPO (1) WEWE MUONGO HUJAPATA HUYO MCHUMBA UMEAMUA KUDANGANYA WATU ILI UONE MITAZAMO YAO (2) HUYO MWANAUME NI MUISLAM ILA SI MUUMINI. KWA USHAURI WANGU USIBADILI DINI KABLA HUJAUJUA UISLAM.
 
umewahi penda?
Nampenda Mungu klko tu kwaio dini ndio muongozo wangu wa maisha na haitotokea kupelkeshwa na mtu kuhusu pili si sahihi kutoka RC kwenda uislam km wewe mwenyew haupo radhi na hilo kwasabbu kwenye imani mtu halazmishiwi ni hiar tu
 
Acha upuuziiiiii baki na dini yako utakuja kujutaa mbeleni waislamu sisi ni wepesi kutoa talaka sijui wanafanyaga kwa misifa au ??

Tunasababisha masingle mothers kitaa.
wepesi kutoa taraka kwasababu hawana ilmu ya dini. Wengi hukurupuka.
 
Nampenda Mungu klko tu kwaio dini ndio muongozo wangu wa maisha na haitotokea kupelkeshwa na mtu kuhusu pili si sahihi kutoka RC kwenda uislam km wewe mwenyew haupo radhi na hilo kwasabbu kwenye imani mtu halazmishiwi ni hiar tu
YES, INAONESHA HAYUKO RADHI ILA ANACHOFUATA NI MUME. ITAKUJA KUMGHARIMU BADAE. UISLAM NI MWEPESI UKIWA UNAUJUA IPASAVYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…