Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
meta hii ya ccm wazazi na harion hii ya uwata? acha uwongoMeta sekondari na harison sec
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
meta hii ya ccm wazazi na harion hii ya uwata? acha uwongoMeta sekondari na harison sec
Ulienda shule kufanya nini kama haina faida? Hao hao wa Oman wamejaa kwenue vyuo vya UK na America wanaenda kuitafuta hiyo elimu ambayo wew mvaa kobaz wa Msanga unasema haina faidaHiyo elimu uliyo/ mliyonayo haina faida kwa taifa
Nenda Oman,dubai,Qatar kuwait jibu utalipata
Kwa hili nakubaliana na weweJaribu kuwa na exposure acha kula ugali unadumaza akili
shule ni neno la kijerumaniShule ni neno la kiarabu lenye maana ya mahali pa kujifunza,Sasa Kama mwarabu hakujenga mahali pa kujifunza huku Tanganyika na Zanzibar sawa
Zanzibar ilikuwa ndiyo Dola kuu hadi ndani ya Afrika ya Mashariki.Zanzibar ikawa chini y waarabu qa Oman kuanzia 1698 hadi anachukua madaraka Seyyid Bin Said Al sultan Bhusaid mwaka 1804.Hapo kabla 1741 familia ya Mazalia au Mazrui pale Mombasa ilijitangazia uhuru lakini baadaye ilipigwa na kurejeshwa chini ya Oman.1840 sultan anahamia Zanzibar,maeneo karibu yote ya yalitawaliwa na watawala watiifu kwa sultan wa Zanzibar.Waarabu walitawala mwaka gani? wale ni wafanyabiashara walikuwa na trade routes zao walipopita ndo waliacha tamaduni zao...
Mwarabu na shule wapi na wapi?
Yeye anakitabu chake kimoja ukishakikariri tayari kimekamilika na itakuwa umeeleea hesabu zote kuanzia hisabati, mathematics, additional mathematics, basic applied mathematics,pure mathematics, physic,chemistry, biology , finance, law , engineering nk. Hawahitaji madrasa ya kawaida Wala viti vya kukaa
Kolola...Mohamed Said jibu hili ili tuone kama Sykes wako alijenga shule au la!
Matango Pori yako na Sykes wako yanazidi mipaka. Unadhani hatumjui sieKolola...
Ikiwa ndugu yangu nia yako ni kufanya ugomvi na kuwakejeli wazee wangu mimi nitaacha mjadala na wewe.
Mimi naeleza historia ya wazee wangu vipi walivyoanza harakati mwaka wa 1929 hadi kufikia Tanganyika kupata uhuru wake mwaka wa 1961.
Kitabu kipo na kinasomwa sasa mwaka wa 25.
Sasa hii fedhuli ya nini ndugu yangu?
Naam Kleist Sykes na wenzake kama Mzee bin Sudi, Ali Jumbe Kiro na wengineo akiwemo babu yangu Salum Abdallah wakiwa ndani ya Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) walijenga shule mwaka wa 1933.
Majengo ya shule hii yapo Mtaa wa Max Mbwana na Lumumba Avenue.
Baba yangu alisoma shule hii Al Jamiatul Islamiyya Muslim School darasa moja na Abdul Sykes.
View attachment 2470488
Umecheka nini bro?😅😅😀😁😜
Mbona historia hiyo haijasema ilikua owned na African chief daughters? Nilivyoelewa mimi hiyo shule ilijengwa kwaajili ya kusoma watoto wa kike wa machief na baadae watoto wote wakike wakawa wanaruhusiwa kusoma.Shule ijengwe na colonial rulers halafu iwe owned na African chief daughters!!?..inaingia akilini,boys imeanza 1922,miaka minne baada ya world war 1 chapu mwingereza ajenge shule ndani magharibi mwa east Africa asijenge pwani!?
AsanteZanzibar ilikuwa ndiyo Dola kuu hadi ndani ya Afrika ya Mashariki.Zanzibar ikawa chini y waarabu qa Oman kuanzia 1698 hadi anachukua madaraka Seyyid Bin Said Al sultan Bhusaid mwaka 1804.Hapo kabla 1741 familia ya Mazalia au Mazrui pale Mombasa ilijitangazia uhuru lakini baadaye ilipigwa na kurejeshwa chini ya Oman.1840 sultan anahamia Zanzibar,maeneo karibu yote ya yalitawaliwa na watawala watiifu kwa sultan wa Zanzibar.
Sijajua ila tambua hao mpaka sasa ni wafanyabiashara wakubwaHizo trade routes walikuwa wanafanya biashara gani hasahasa??
historia, historia......Waarabu walitawala mwaka gani? wale ni wafanyabiashara walikuwa na trade routes zao walipopita ndo waliacha tamaduni zao...
MK254,Mwarabu na elimu wapi na wapi, ukikariri kile kitabu chao umeelimika tosha.
Zanzibar ilikuwa ndiyo Dola kuu hadi ndani ya Afrika ya Mashariki.Zanzibar ikawa chini y waarabu qa Oman kuanzia 1698 hadi anachukua madaraka Seyyid Bin Said Al sultan Bhusaid mwaka 1804.Hapo kabla 1741 familia ya Mazalia au Mazrui pale Mombasa ilijitangazia uhuru lakini baadaye ilipigwa na kurejeshwa chini ya Oman.1840 sultan anahamia Zanzibar,maeneo karibu yote ya yalitawaliwa na watawala watiifu kwa sultan wa Zanzibar.
NilipotokeaMkuu lusungo ni jina lako au ni sehemu ulipotokea, samahani lakini nje ya mada
Watakwambia waliacha ustaarabu ukiuliza ni ustaarabu gani huo walioacha eti kutawaza yani kunawa matako baada ya kujisaidia ni kitu wanajivunia sana toka kwa waarabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nachekaga sana hawa ndg zetu
Sasa imejuaje walikuwa wanafanya biashara kama hata biashara yenyewe huijui??Sijajua ila tambua hao mpaka sasa ni wafanyabiashara wakubwa