Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ujinga wa hawa wenzetu wanadhani wasomi, ila wakosa udadisi, ndiyo maana leo kanisa lilikengwa kutumia neno la Mungu hutumika kuibia na kutapeli ndani ya makanisa.

Ukifuatilia wale watawala walikuja kwa mission tofauti tofauti wapo walikuja kuvuna asimali za Taifa, hivyo walikuja Tanganyika kusudi maalumu.

Shule zilijengwa na Wamisional, siyo kwa sababu walitupenda sana, wale walikuja kueneza Dini, Shule na hata huduma Afya na hata mavazi vilitumika kuwavuta watu, kwenye imani yao.

Kama leo anavyofanya mchungaji Mwamposa, watu kutoa shuhuda ili kuwavuta wengine kwe juduma anayoitoa.

Sema tofauti iliyopo na wamisionali wanzeke walitoa vitu vya kudumu, mwamposa vitu vinavyomsaidia mtu mda mfupi.
Hivyo dini ni kama biashara walipokua wanaitangaza huku kwetu, wapo walietumia maneno madogo wengine vivutio maalumu.

Ila sababu watu hatusomi hostoria ya nchi na uingiaji wa dini hizi, unajikuta unajitapia ujinga.

Bora wazungu walitupa elimu ambayo hata wewe mleta mada imekufanya leo hii unaendesha maisha yako na unaenda sawia na ulimwengu wa leo. Huyo mwarabu amefanya nini cha maaana zaidi ya kuwakaririsha kiarabu dini na tamaduni zake
 
Sijasema Wakristu ndio wasomi zaidi Tanzania hapana, dini zote Zina wasomi wabobezi kwenye nyinja mbalimbali. Lakini asilimia kubwa ya wasomi wote Tanzania, wamenufaika au kutumia kwa njia Moja au nyingine miundombinu ya elimu iliyotengenezwa na kanisa. Hivyo hata wakati tunawarushia madongo tukumbuke ukweli huo, tuwatambe na angalau tuwaheshimu kwa hilo.

Wamisionari wa Kikristu walikuwa wanajenga vitu mapacha vitatu. Kanisa, shule na hospitali. Ila waarabu wao walijua na mpaka Sasa hivi wanajenga kitu kimoja tuu

Wavaakobazi watapinga
 
Kuna sehemu moja huwa inaitwa "Maskati" sijui kama kuna shule kule ila hao jamaa wamekaa kule kinachonishangaza kule ni bushi kichizi ilikuaje miamba wakakaa huko
Utafutaji
 
Kikwete ni muislamu ila amesoma shule za kanisa.

Mzee Makamba ni muislamu ila amesoma shule za kanisa
Kila kitu mnataka mfanyiwe matokeo yake wazungu walijenga mashule kwa pesa yetu kisha walisoma shule hizo mpaka sasa ndio vibalaka wanao tutesa
 
Waarabu na wafuasi wake ni moja kati ya wanadamu wapumbafu sana. Huyo mwarabu asingepewa mafuta angekua ndio bogaz kabisa
Ukizoea matusi utaishia kujitukana mwenyewe na wazazi eako!

Kama aliyepewa mafuta tu halafu AKATOBOA maisha unamuona bogasi...

Sasa hebu jiulize wewe uliepewa mafuta, gesi, madini, misitu na wanyama asilia... mito, bahari na maziwa na ardhi yenye rutuba na bado ukawa OMBAOMBA NJAA KALI... wenye akili wanakuonaje?

Kama wazungu na watu wengine watawaona waarabu na wafuasi wao hawana akili ni sawa... ila wewe na 'wamatumbi' wenzio ni heri tu 'mngefunga mabakuli yenu!'
 
Kule. Kwao kulikuwa Hakuna hizo shule. Ndio waje wajenge huku.
Elimu iliyopo duniani ni ya mfumo WA Ulaya. So ndio maana walipokuja wali jenga shule ili kuuleta huku.
Watu WA MO wao alikuwa wanajua kitabu kimoja tu maisha Yao yote. Mambo ya law of motion hayakuwa muhimu Kwao hata Sasa maeneo ambayo wamejaa waislam shule sio muhimu Kwao sababu wamebeba mfumo/tamaduni ule WA kiarabu.
 
Haya wataje hizo shule au madrasa walizojenga huko Zanzibar walipotawala
Waarabu wakujenga suhule walio jenga shule ni wazungu kwa mtazamo wa misaada kumbe waizi wakubwa walijenga kwa kutumia mali zetu kisha wakaleta ubaguzi wa dini zaidi walio soma kwenye shule hizo waliandaliwa kama vibalaka wao mpaka sasa ndio wanao tutesa kwa ufisadi zao la kanisa
 
Wale watakuwa wanajua kupakua mitaro na kufuga majini hawana lolotebzaidi ya hayo ndio maana wanapigana daily
 
Mkoloni muarabu aliacha magofu ya misikiti yake tu ambako huko nako kulikuwa na madrasa za kukaririsha watoto wa kiafrika lugha yake ambako athari yake ipo mpaka leo. Bora mkoloni mzungu aliyeacha makanisa na shule ambazo ni faida kwa waafrika hadi sasa.
Faidi ya waarabu nihizi zifuatazo

1 magofu yao ya kaole kilwa mjimkongwe magofu haya shirikali inachukua pesa nyingi kutoka kwa watalii kila mwaka hata izo shule ulizo soma zina mchango wa hiyo pesa

2 jiji la dar walio lianzisha wao na bandali yake na bandali ya bagamoyo

3 kishwahili tunacho tumia kama rugha ya taifa kina maneno mengi ya kiarabu

Yote haya waarabu hawanufaiki na chochote bali sisi ndio tunao nufaika


Alie Jenga shule ni mzungu baada ya kuujumu uchumi wetu na kupandikiza vibalaka wake wanao tutesa mpaka kesho chunguza mafisadi wote wamesoma kwenye hizo shule
 
kwa hiyo ndio shule mliyojenga
Chiz,
Ikiwa unakusudia kuuliza kama Al Jamiatul Islamiyya Muslim School ndiyo shule tuliyojenga naam hiyo ndiyo shule tuliyojenga.

Zipo pia shule nyingine zilizojengwa majimboni na East African Musliam Welfare Society sehemu nyingi za Tanganyika.

Kitu cha kuzingatia tia ni kuwa ukiwaondoa Wahindi ambao walikuwa wanajenga shule zao shule nyingine zote zilkikuwa zikijengwa na serikali na Wamishionari.

Shule hizi za Wamishionari ndiyo zilizosomesha Wakristo wengi Tanganyika.

291973394_1211223336291709_447540521016047474_n.jpg
292381009_1211224229624953_2297858735534458784_n.jpg

Picha ya Jamhuri Primary School Dodoma na maelezo kutoka Maktaba ya Tewa Said Tewa aliyekuwa President wa EAMWS Tanganyika
 
Chiz,
Ikiwa unakusudia kuuliza kama Al Jamiatul Islamiyya Muslim School ndiyo shule tuliyojenga naam hiyo ndiyo shule tuliyojenga.

Zipo pia shule nyingine zilizojengwa majimboni na East African Musliam Welfare Society sehemo nyingi za Tanganyika.

Kitu cha kuzingatia tia ni kuwa ukiwaondoa Wahindi ambao walikuwa wanajenga shule zao shule nyingine zote zilkikuwa zikijengwa na serikali na Wamishionari.

Shule hizi za Wamishionari ndiyo zilizosomesha Wakristo wengi Tanganyika.

291973394_1211223336291709_447540521016047474_n.jpg
292381009_1211224229624953_2297858735534458784_n.jpg

Picha na maelezo kutoka Maktaba ya Tewa Said Tewa aliyekuwa President wa EAMWS Tanganyika
Inaonekana kama EAMWS ilikuwa taasisi ya Wahindi na hata Wabantu hamkutakiwa huko. Ni kama Agha Khan vile
 
Waislam hawakusoma hizo shule Sheikh Said? Kwa nini Waislam hawakujenga shule?
Waisilam wangejenga vipi nawao hawa kuwa watala wa nchi hii wazungu ndio waliokuwa watala kwa mgogo wa kanisa
 
Inaonekana kama EAMWS ilikuwa taasisi ya Wahindi na hata Wabantu hamkutakiwa huko. Ni kama Agha Khan vile
Kinyungu,
Hapana si kweli.

Aga Khan alikuwa Patron wake na alisaidia sana jamii ya Kiislam.
Katika Uislam ubaguzi ni haram.

Hayo maneno unayosema ni propaganda zilizotungwa miaka hii ya karibuni na sababu yake ni kuwa Waislam wanaamshutumu Nyerere kwa kuivunja EAMWS na kuunda BAKWATA wakati ilikuwa inajenga Chuo Kikuu.

Waislam wanadai kuwa Nyerere alifanya hivyo kuwazuia Waislam wasielimike na inaaminika Kanisa lilikuwa nyuma ya uamuzi huo.

Hili jambo ni nyeti sana na ndiyo sababu ya propaganda hizi kuwa EAMWS ilivunjwa na Waislam wenyewe kwa kuwa hawakuwa wanamtaka Aga Khan kuwa kiongozi wao.

Nimefanya utafiti wa EAMWS na nimeandika paper, ''Islam and Politics in Tanzania,'' (1989) najua mengi.

Ikiwa unataka ukweli fungua uzi mwingine mimi nitakuja kutoa darsa In Shaa Allah.

 
Back
Top Bottom