inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Aliyofanya biashara ya utumwa ni mzungu,alipogundua mashine akapiga marufuku biashara ya utumwa na ikafa,afrika mashariki ni Kama haikuwepo ukilinganisha na kule Africa magharibi,huko magharibi hakufanya mwarabu hiyo biasharNi kweli lkn alikonipeleka huko alihakikisha anajenga shule, hospitali na kanisa. Sasa kuna yule aliyeniuza kama nyanya sokoni, anitesa na kuua kabisa