Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Wanaosema muarabu hakua na maarifa kwsbb yeye na shule ni vitu viwili tofaut, Umeshawah kujiuliza ubora wa majengo ya kale yaliyojengwa na muarabu kwa karne nying sana kias yapo yanayotumika had leo, Je hili linawezekana pasi kuwa na maarifa kichwani???
 
Kwa hyo kupitia kiarabu watu hawawezi kusoma hayo masomo mbona mi nimesoma level ya msingi kabla kuanza darasa la kwanza hisabati na mambo ya biology kwa kiarabu kupitia madrasa?

Mbona tumesoma Sana hayo mambo madrasa hata baadhi ya Aya zinaeleza mifumo ya uzazi na baadhi ya tiba kama "kupiga chuku" ili kuondoa damu mbaya.

Kwa akili yako katika utawala wa mwarabu kwamba shule ziitwe "school'" na wafundishwe kingereza 🤔🤔

We wakuja nn? Mbona hauna ufahamu kabisa wa mambo je waarabu wanasoma kingereza huko shule kwao?

Lugha ya kufundishia sio ishu. Hata kama walikuwa wanafundisha kwa kiarabu ruksa kutaja hizo shule za sekondari

Taja majina ya shule za sekondari ambazo mwarabu alizijenga kisha serikali ikazitaifisha.

Nakupa mfano wa zanzibar muingereza alivyotawala alijenga shule ya Lumumba
Baada ya uhuru serikali ya zanzibar ikaitafisha na kuifanya iwe shule ya serikali. Lumumba secondary school
( mama samia, shein, na viongozi kibao zanzibar walisoma lumumba school) .

Je huko zanzibar shule gani mwarabu alijenga serikali ikaitaifisha ,

Tukija Tanganyika shule kama ilboru,.pugu, mazengo, minaki zilijengwa na wazungu serikali ikazitaifisha.


Naomba unitajie majina shule za sekondari zilizojengwa na mwarabu
 
Lugha ya kufundishia sio ishu. Hata kama walikuwa wanafundisha kwa kiarabu ruksa kutaja hizo sekondari

Taja majina ya shule za sekondari ambazo mwarabu alizijenga kisha serikali ikazitaifisha.

Nakupa mfano wa zanzibar muingereza alivyotawala alijenga shule ya Lumumba
Baada ya uhuru serikali ya zanzibar ikaitafisha na kuifanya iwe shule ya serikali. Lumumba secondary school .

Je huko zanzibar shule gani mwarabu alijenga serikali ikaitaifisha ,

Tukija Tanganyika shule kama ilboru,.pugu, mazengo, minaki zilijengwa na wazungu serikali ikazitaifisha.


Naomba unitajie majina shule za sekondari zilizojengwa na mwarabu
😂😂😂Naona Unalazimisha kwamba wawe na mfumo wa kizungu ndo akili yako ..
Waraabu walikuwa na mifumo yao kabisa so haiwezi kuendana kabisa..Nenda Zanzibar kaulize walikuwa wanasoma nn?
 
Iliongoza Tanzania nzima? Je kilwa ni nchi au mkoa?
😂😂😂Naona Unalazimisha kwamba wawe na mfumo wa kizungu ndo akili yako ..
Waraabu walikuwa na mifumo yao kabisa so haiwezi kuendana kabisa..Nenda Zanzibar kaulize walikuwa wanasoma nn?

Mbona kutaja majina ya hizo shule alizojenga mwarabu hutaki..

Mzungu zanzibar alijenga lumumba sekondari na alumni maarufu waliosoma hiyo shule list yao nakuwekea. Mfano karume, dr ghalib, shein, balozi Amina Ali, na wengine kibao tazama screen shot

Wewe nitajie shule ya sekondari iliyojengwa na mwarabu na majina ya alumni waliosoma hiyo shule niwekee pia.

Ama hizo shule za sekondari alizojenga mwarabu zilikuwa hazina wanafunzi ?
 

Attachments

  • Screenshot_20230114-104805_Firefox.jpg
    Screenshot_20230114-104805_Firefox.jpg
    160.3 KB · Views: 8
Mbona kutaja majina ya hizo shule alizojenga mwarabu hutaki..

Mzungu zanzibar alijenga lumumba sekondari na alumni maarufu waliosoma hiyo shule list yao nakuwekea. Mfano karume, dr ghalib, shein, balozi Amina Ali, na wengine kibao tazama screen shot

Wewe nitajie shule ya sekondari iliyojengwa na mwarabu na majina ya alumni waliosoma hiyo shule niwekee pia.
Unajua ukitajiwa mitaa na nyumba ambazo watu walisoma elimu ya waarabu si utabisha kwa nn nikulamishe wakati walikuwa wanafundishwa kiarabu na wwe unataka shule lazima iwe ya kizungu..

Hayo ni matabaka mawili tofauti.Tambua hata wazungu walijenga majengo dhumuni la kwanza kusambaza ustaarabu wao na kupata vibaraka na hao mpaka leo wapo..Kuna nin cha ajabu wakati watu wakifundushwa ufundi zaidi..na baadhi ndo walienda shule maalamu huko wakifundushwa kuwa wakristo na kuja kutawala chini ya ustaarabu wa wazungu.
 
Unajua ukitajiwa mitaa na nyumba ambazo watu walisoma elimu ya waarabu si utabisha kwa nn nikulamishe wakati walikuwa wanafundishwa kiarabu na wwe unataka shule lazima iwe ya kizungu..

Hayo ni matabaka mawili tofauti.Tambua hata wazungu walijenga majengo dhumuni la kwanza kusambaza ustaarabu wao na kupata vibaraka na hao mpaka leo wapo..Kuna nin cha ajabu wakati watu wakifundushwa ufundi zaidi..na baadhi ndo walienda shule maalamu huko wakifundushwa kuwa wakristo na kuja kutawala chini ya ustaarabu wa wazungu.

Mitaa na nyumba ndiyo shule za sekondari ?

Haya taja hizo shule za sekondari zilizojengwa na mwarabu huko mitaani na kisha serikali ikazitaifisha baada ya uhuru na kuzifanya shule za serikali kama ilivyo Lumumba sekondary school zanzibar
 
Nakuuliza mwarabu alijenga shule gani ya sekondari zanzibar.

Mambo ya kujifanya mzungu, mkristo, mpumbavu yanaingiaje ?

Hoja ya hii topic ni majina ya shule za sekondari ambazo mwarabu alizijenga zanzibar ama tanganyika enzi za utawala wake.

Acha matusi shiriki topic kwa kutaja majina ya shule ambazo mwarabu alizijenga zanzibar

Kutaja majina ya shule tu ni jambo la kukufanya ukasirike?
Kumbe wewe FRESHMAN ni mjinga hivi?
 
Mitaa na nyumba ndiyo shule za sekondari ?

Haya taja hizo shule za sekondari zilizojengwa na mwarabu huko mitaani na kisha serikali ikazitaifisha baada ya uhuru na kuzifanya shule za serikali kama ilivyo Lumumba sekondary school zanzibar
😂😂😂 Watu wakifundushwa kweny nyumba za watu hawakuwa officially kama sehemu za majengo ila watu walisoma elimu za mazingira pamoja na dini.

Tambua kwamba shule ya kwanza ilijengwa 1886 baada ya mkutano wa Berlin ambao uingereza rasmi alipewa koloni hili na kuwa mtawala na kujulikana kimaitaifa kma mtawala aki yuko fully on administering the entire state...Swali wka nn wareno walipokuja kabla wasijenga shule au wajerumani ?

Huwezi kujenga majengo ya kutoa huduma za kijamii katika ardhi ya watu ukiwa mpira njia..Wewe binafsi unaweza kujenga kweny kiwanja cha mtu?

Wakifundishwa elimu zao za dini na ustaarabu thus why pwani ndo ina watu walijitambua mapema na walianza kuwa viongozi katika mashamba kipind cha migrant labors wao ndo walikuwa viongozi wengine mkiwa mnatumikishwa coz they were smartest from the begin.
 
Jengo linaloitwa leo hii Ikulu ni chuo cha Kiislaam.


Waarabu watakupaje shule ya "sekondari" wakati hilo ni neno la Kingereza? Fikiri.

Waarabu wamekupa unayoyajua leo kuwa ni madarasa (madrassa), yoyote yawayo. Tumia akili.
 
Ikuru ya kwanza Tanganyika ilijengwa na Mjerumani pale Bagamoyo.
Na hadi leo ikulu ingekuwa Bagamoyo.

Tatizo lililo mkuta Mjerumani pale Bagamoyo ni kuwa, Bagamoyo ulishakuwa mji wa Mwarabu na watu wake walikuwa Waislamu.

Na Uislamu pale Bagamoyo kabla ya Mwarabu uliletwa na Washirazi wa Ghuba ya Uajemi.

Ndio maana ukienda pale mji wa Kaole Bagamoyo au Bwagamoyo unayakuta Magofu ya Waislamu Washirazi, hadi leo hii.

Kilicho wakimbiza Wajerumani Bagamoyo au Bwagamoyo ni kutokubaliwa na watu wa mji huo ambao wengi wao walikuwa Waislamu.

Wakajenga chuo Cha Mantep hawakupata wanafunzi.

Wakajenga Kanisa halikupata waumini.

Wakajenga Ikuru haikupata wafuasi.

Wajerumani wakashindwa kuwashawishi wananchi Waislamu wa Bagamoyo kuwakubali.

Wakawa hawana jinsi zaidi ya kuukimbia mji wa Bagamoyo.

Ndio wakaja Darusalaam, mji wa salama. Na kuijenga Ikuru nyingine pale Feri.

Ndio hadi sasa ni Ikuru Ya Serikali.
Na ilijengwa na Wajerumani baada ya kuikimbia Bwagamoyo.
 
Mitaa na nyumba ndiyo shule za sekondari ?

Haya taja hizo shule za sekondari zilizojengwa na mwarabu huko mitaani na kisha serikali ikazitaifisha baada ya uhuru na kuzifanya shule za serikali kama ilivyo Lumumba sekondary school zanzibar
Unadhani mfumo wa elimu duniani kote ulikuwa ni ule ule kama wa ulaya, kwamba lazima ziwepo shule ambazo wewe unaziita za sekondari?
Kama Ulaya walikuwa na sekondari, basi waarabu walikuwa na mfumo wao tofauti wa elimu
 
Habari wadau.

Nasikia baada ya kupata uhuru mwaka 1961 Serikali ilitaifisha shule zilizojengwa na wakoloni. Mfano shule zilizojengwa na wakoloni wazungu kama Minaki, Ilboru, Pugu, Mazengo, forodhani, etc

Je, ni shule zipi zilitaifishwa ambazo zilijengwa na wakoloni Waarabu?

Maana waarabu walitangulia kuja Tanganyika na Zanzibar kwa kwa miaka zaidi ya 500 kabla wakoloni wazungu hawajaja.

Zanzibar pia waarabu walifika mapema sana maana msikiti wa Kazimkazi ulijengwa mwaka 1006 AD, waarabu walitawala kwa miaka mingi Zanzibar na walifika mapema sana, naomba mnitajie ni shule gani ya sekondari waarabu walijenga Zanzibar, na ilijengwa mwaka gani?
Sijui ulitaka KUMAnisha nini ila kwajinsi nilivyokuelewa kwambaali ipo hivi:-

Walijenga chuo kikuu cha kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini

Chuo hicho ndio ilipo Ikulu ya magogoni leo hii,

Walijenga kituo cha utafiti cha kwanza Africa mashariki, kati na Kusini

Kituo hicho ndio Hospitali ya Ocean road leo hii

Wakati huohuo kumbuka mawasiliano ya kimaandishi yalifanywa kwa lugha ya kiswahili kwa kutumia herufi za Kiarabu

Ukitaka kuthibitisha hilo, kaangalie sanamu ya askari pale posta kuna sehemu imeandikwa kwa kiswahili kutumia herufi za Kiarabu

Hii inaonyesha hata wakati wa koloni la ujerumani bado mawasilano ya kimaandishi miongoni mwa jamii katika kupashana habari za maendeleo yalikua yanafanywa kwa kutumia maandishi ya kiarabu

Kwa muktadha huo wasomi wa kwanza kabisa wa nchi hii ambao walikua wamebobea katika elimu mbalimbali hasa tiba, sheria na ujenzi kabla ya kuja mkolini wa ulaya walikua waislamu na waarabu

Miongoni mwa wanazuoni hao wapo waliobobea katika falsafa za fani mbalimbali kwenye sayansi mbalimbali za jamii, uchumi na siasa, na katika wao wamerithishana elemu kwa vizazi kadhaa jambo linalo thibitisha kuwa elimu hiyo ilikuwepo kwa muda mrefu tu

Lakini pia miongoni mwao wapo walio shiriki kikamilifu katika ulezi wa juhududi na muongozo wa harakati za kupigiania Uhuru wa inchi hii. Mwl. Nyerere amewataja miongoni mwao kwa majina na wasifu wao pia. Kumbuka hawakua mbumbu walikua wanataaluma zao walizozipata katika madarasa yao kwa mfumo wa elimu zao wakiti huo.

Unachopaswa kuelewa wazungu walipokuja walikuja na mfumo wa elimu tofauti kabisa na elimu iliyo kuwepo, kibaya zaidi elimu zote hizi zilikua na msingi wa imani kwanza ndio uelimike jambo ambalo wazee wengi waliokua na elimu ya mfumo uliowajenga kiimani walikataa kupokea elimu mpya Kwa sababu ilikua ni vigumu sana kwa wao kubadilisha imani zao
 
Ikuru ya kwanza Tanganyika ilijengwa na Mjerumani pale Bagamoyo.
Na hadi leo ikulu ingekuwa Bagamoyo.

Tatizo lililo mkuta Mjerumani pale Bagamoyo ni kuwa, Bagamoyo ulishakuwa mji wa Mwarabu na watu wake walikuwa Waislamu.

Na Uislamu pale Bagamoyo kabla ya Mwarabu uliletwa na Washirazi wa Ghuba ya Uajemi.

Ndio maana ukienda pale mji wa Kaole Bagamoyo au Bwagamoyo unayakuta Magofu ya Waislamu Washirazi, hadi leo hii.

Kilicho wakimbiza Wajerumani Bagamoyo au Bwagamoyo ni kutokubaliwa na watu wa mji huo ambao wengi wao walikuwa Waislamu.

Wakajenga chuo Cha Mantep hawakupata wanafunzi.

Wakajenga Kanisa halikupata waumini.

Wakajenga Ikuru haikupata wafuasi.

Wajerumani wakashindwa kuwashawishi wananchi Waislamu wa Bagamoyo kuwakubali.

Wakawa hawana jinsi zaidi ya kuukimbia mji wa Bagamoyo.

Ndio wakaja Darusalaam, mji wa salama. Na kuijenga Ikuru nyingine pale Feri.

Ndio hadi sasa ni Ikuru Ya Serikali.
Na ilijengwa na Wajerumani baada ya kuikimbia Bwagamoyo.
Ikuru ndiyo nini!?..hapo daarus salaam haukua mji wa waislam!?..hiyo ikulu imejengwa kwenye shule ya mwarabu...
 
Hapa Mohamed Said hawezi kanyaga hapa. Anaona aibu... Mwarabu hajawahi msaidia mtu yoyote. Mi huwa nashangaa, mabilionea kama wale wa kiarabu mpaka leo huwezi kusikia wanajenga shule, hospital nk kama wazungu. Utaona wanachimba visima hivi vya milioni 3, sijui wanadhania tupo jangwani tuna shida ya maji? Na tena visima vyenyewe wanajenga misikitini! Mwarabu hamna kitu 🚮
Last...
Sikuingia hapa kwa sababu mleta mada hajui historia.

Nasema hajui historia kwa kusoma kichwa cha habari: ''Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?''

Waarabu hawakupata kuwa wakoloni Tanganyika.

Waarabu ndiyo walioleta elimu Pwani ya Afrika Mashariki kuwafanya Waislam kuwa watu wa kwanza kuwa na zile 3Rs yaani Reading Writing na Arithmetic.
Elimu yote hii ikisomeshwa kupitia madrasa.

Wakiandika kwa hati za Kiarabu kwa zaidi ya miaka 1000.
Wakoloni na Wamishionari walipoingia wakapiga marufuku matumizi ya hati za Kiarabu.

Waislam waliokuwa wanajua kusoma na kuandika kwa sheria hiyo wakawa ni umma wa watu ''wajinga'' wasiojua kusoma wala kuandika.

Wakoloni kwa kushirikiana na Wamishionari wakawa ndiyo wajenzi wa shule na wakitoa elimu kwa ubaguzi.

Muislam akitaka kusoma sharti abatizwe.

Hii ndiyo sababu unaona Waislam tulikuwa mstari wa mbele kupambana na ukoloni hadi uhuru ukapatikana mwaka wa 1961.

Baada hya uhuru Waislam wakaitisha Muslim Congress mwaka wa 1962 agenda ikiwa ni elimu.

Waislam wakaanza kupitia East African Muslim Welfare Society (EAMWS) kujenga shule na jiwe la msingi kwa ajili ya Chuo Kikuu likawekwa na Julius Nyerere mwaka wa 1968.

Chuo hakikujengwa kwa sababu Nyerere aliipiga marufuku EAMWS na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir akakamatwa na kufukuzwa Tanganyika asirudi kwamwe.

BAKWATA ikaundwa na kukabidhiwa mali zote za EAMWS.


Katika miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Serikali ikakataa kutoa kibali.
Chuo hicho kikaenda kujengwa Mbale, Uganda.

Katika miaka ya 1990 Darul Iman ya Saud Arabia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha...

Malizia mwenyewe nini kilitokea.

Sasa unasema, ''Hapa Mohamed Said hawezi kanyaga hapa. Anaona aibu... Mwarabu hajawahi msaidia mtu yoyote.''

Nasoma nacheka peke yangu kama mwehu.

Nacheka kwa sababu nakujua ni mjinga (sikusudii tusi nakusudia mtu asiyejua kitu) unajisema mambo ambayo huna ujuzi nayo.


1675357845911.jpeg
 
Last...
Sikuingia hapa kwa sababu mleta mada hajui historia.

Nasema hajui historia kwa kusoma kichwa cha habari: ''Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?''

Waarabu hawakupata kuwa wakoloni Tanganyika.

Waarabu ndiyo walioleta elimu Pwani ya Afrika Mashariki kuwafanya Waislam kuwa watu wa kwanza kuwa na zile 3Rs yaani Reading Writing na Arithmetic.
Elimu yote hii ikisomeshwa kupitia madrasa.

Wakiandika kwa hati za Kiarabu kwa zaidi ya miaka 1000.
Wakoloni na Wamishionari walipoingia wakapiga marufuku matumizi ya hati za Kiarabu.

Waislam waliokuwa wanajua kusoma na kuandika kwa sheria hiyo wakawa ni umma wa watu ''wajinga'' wasiojua kusoma wala kuandika.

Wakoloni kwa kushirikiana na Wamishionari wakawa ndiyo wajenzi wa shule na wakitoa elimu kwa ubaguzi.

Muislam akitaka kusoma sharti abatizwe.

Hii ndiyo sababu unaona Waislam tulikuwa mstari wa mbele kupambana na ukoloni hadi uhuru ukapatikana mwaka wa 1961.

Baada hya uhuru Waislam wakaitisha Muslim Congress mwaka wa 1962 agenda ikiwa ni elimu.

Waislam wakaanza kupitia East African Muslim Welfare Society (EAMWS) kujenga shule na jiwe la msingi kwa ajili ya Chuo Kikuu likawekwa na Julius Nyerere mwaka wa 1968.

Chuo hakikujengwa kwa sababu Nyerere aliipiga marufuku EAMWS na Mufti Sheikh Hassan bin Ameir akakamatwa na kufukuzwa Tanganyika asirudi kwamwe.

BAKWATA ikaundwa na kukabidhiwa mali zote za EAMWS.

Katika miaka ya 1970 Organisation of Islamic Conference (OIC) ilitaka kujenga Chuo Kikuu Tanzania.

Serikali ikakataa kutoa kibali.
Chuo hicho kikaenda kujengwa Mbale, Uganda.

Katika miaka ya 1990 Darul Iman ya Saud Arabia ilitaka kujenga Shule ya Ufundi Kibaha...

Malizia mwenyewe nini kilitokea.

Sasa unasema, ''Hapa Mohamed Said hawezi kanyaga hapa. Anaona aibu... Mwarabu hajawahi msaidia mtu yoyote.''

Nasoma nacheka peke yangu kama mwehu.

Nacheka kwa sababu nakujua ni mjinga (sikusudii tusi nakusudia mtu asiyejua kitu) unajisema mambo ambayo huna ujuzi nayo.


Marais waislam toka wameshika madaraka mpaka wanastaafu wamewajengea vyuo vingapi?

ndo maana JK kwenye swala ya iddy Dodoma msikiti wa Ghadafi aliwaambia acheni kulia lia pelekeni watoto shule,mbona wenzenu shule zao zilitaafishwa na wakapambana kujenga tena?

semeni mntaka nini?ohh sisi mkuu tende,majamvi,miswala ya kuswalia inatutosha tu!

Nyerere kashafariki kitambo wewe Mudi umeshindwa hata kushawishi matajari unaojinasibu nao mjini kariakoo kujenga shule na vyuo vya kutosha?

umebaki kulia lia jukwaani maisha yako yote...Nyerere...Nyerere...Nyerere!

Haya Samia huyo hapo peleka 'miswada' ya ujenzi wa vyuo na shule mbona hulalamiki now kisa mvaa ushungi....Ubaguzi utakua kihoro Mudi wa Saigon.
 
Marais waislam toka wameshika madaraka mpaka wanastaafu wamewajengea vyuo vingapi?

ndo maana JK kwenye swala ya iddy Dodoma msikiti wa Ghadafi aliwaambia acheni kulia lia pelekeni watoto shule,mbona wenzenu shule zao zilitaafishwa na wakapambana kujenga tena?

semeni mntaka nini?ohh sisi mkuu tende,majamvi,miswala ya kuswalia inatutosha tu!

Nyerere kashafariki kitambo wewe Mudi umeshindwa hata kushawishi matajari unaojinasibu nao mjini kariakoo kujenga shule na vyuo vya kutosha?

umebaki kulia lia jukwaani maisha yako yote...Nyerere...Nyerere...Nyerere!

Haya Samia huyo hapo peleka 'miswada' ya ujenzi wa vyuo na shule mbona hulalamiki now kisa mvaa ushungi....Ubaguzi utakua kihoro Mudi wa Saigon.
Luku...
Nakusihi tufanye mjadala wa heshima na adabu.
Unatoa hoja najibu natoa hoja unajibu.

Lugha za kihuni zinaharibu staha na mwelekeo wa mjadala wote.

Maneno kama ''Mudi'' na mfano wa hayo hayana nafasi katika mjadala wetu.

Wala Saigon haina uhusiano wowote na haya tunayojadili hapa.
 
Marais waislam toka wameshika madaraka mpaka wanastaafu wamewajengea vyuo vingapi?

ndo maana JK kwenye swala ya iddy Dodoma msikiti wa Ghadafi aliwaambia acheni kulia lia pelekeni watoto shule,mbona wenzenu shule zao zilitaafishwa na wakapambana kujenga tena?

semeni mntaka nini?ohh sisi mkuu tende,majamvi,miswala ya kuswalia inatutosha tu!

Nyerere kashafariki kitambo wewe Mudi umeshindwa hata kushawishi matajari unaojinasibu nao mjini kariakoo kujenga shule na vyuo vya kutosha?

umebaki kulia lia jukwaani maisha yako yote...Nyerere...Nyerere...Nyerere!

Haya Samia huyo hapo peleka 'miswada' ya ujenzi wa vyuo na shule mbona hulalamiki now kisa mvaa ushungi....Ubaguzi utakua kihoro Mudi wa Saigon.
Hapa napata picha kuwa Rais akiwa mkristo kumbe kuna wakristo wanatumia mwanya huo kupenyeza ajenda zao kwa manufaa ya wakristo tu na sio watanzania kwa ujumla.

Na ndio maana unadhani kuwa Rais akiwa muislam basi na wao waislam wanapaswa kumtumia ili kupenyeza ajenda zao.

Hii haijakaa sawa kabisa. Watu mna fikra za ovyo kiwango hiki!
 
Back
Top Bottom