MINESOPOTAMIA
Senior Member
- Feb 19, 2013
- 166
- 1,006
Daàh.... hii balaaaSio mbali leo tu nimempa Freiburg aongoze first half lakn akapigwa na st paul.ipo daraja la pili
Nilistake pesa ya biscuit ya mwanangu sjui kesho ntamweleza nn?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
pole [emoji23]Sio mbali leo tu nimempa Freiburg aongoze first half lakn akapigwa na st paul.ipo daraja la pili
Nilistake pesa ya biscuit ya mwanangu sjui kesho ntamweleza nn?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Rudi kubeti mkuu chagua timu maalum ambazo utatembea nazo na double chance alafu usibeti kilasiku.Nimeacha kubet mazima baada ya kujiona sina bahati na hayo mambo.
Kuna kipindi ilikuwa ya moto sana tena ya akina Konde boy basi wakaenda kucheza mechi ya ligi mkoani aisee nili stake laki tatu nikacheza over 1.5 aisee sikuamini kilichotokea aisee Simba walipata goli moja tena kwa mbinde sana. Laki tatu ikaenda iliniuma sana siku hiyo ikawa ndio mwisho wangu wa kubet. Japo kabla ya hilo tukio niliwahi kulizwa na mechi live. Nikawa nasubiri mechi za dakika za jioni halafu naweka mpunga mrefu kufuatana na matokeo yalivyo. Aisee niliona maajabu timu imefungwa goli mbili bila halafu zimebaki dakika tano tu. Halafu nakuja ku lost wanarudisha goli zote mbili. Nilistake elfu 80.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Kuna Royal Antwerp, galatasaray, club blugge, Rb leizpig na Paimeras ndo naishi nao hao jamaa, stake kubwa..rudi kubeti mkuu chagua timu maalum ambazo utatembea nazo na double chance alafu usibeti kilasiku.
sahivi minatembea na hawa wahuni[emoji117] Union Berlin,Napoli,Arsenal na Madrid hao jamaa awajawai kunifelisha kwenye double chance sema steck iwe nono sasa.
Kuna jamaa mechi ilikuwa imebakiza dakika 20 ilikuwa 3-0 akaagiza bia round kwa wote pamoja na meza yetu mimi bila huruma nikachukua safari 5.Kuna jamaa mmoja alikuta timu ipo dakika ya 67 na inaongoza goli tatu kwaiyo akaipa ishinde na akatia ada yake pale.
mchezo uliisha 3 - 3!
Kuna maumivu makubwa sana kwenye kubeti, wewe kilikukuta nini mpaka ukaona roho itaacha mwili?
Tuambie mechi ganikuna jamaa mechi ilikuwa imebakiza dakika 20 ilikuwa 3-0 akaagiza bia round kwa wote pamoja na meza yetu mimi bila huruma nika chukua safari 5. Dakika ya 80 akarudisha 3-1 jamaa akajua uhakika aka agiza nyama kilo 7 mi nikaa agiza na ugali kabisa. Nyama inafika mezani mpira una isha 3-3 na ugali ndo una timba bila hiyana mi nika finya kiroho safi, jamaa hata finyango 6 hakumaliza. Maana ule mkeka alikuwa ana kulaa M16 na ilikuwa mechi moja tu.