Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Siku ambayo CSKA MOSCOW alikuwa anacheza na URAL, MOSCOW alikuwa home kwa point 1.30,nilistake 150000/-nipate 2,700,000/- zilikuwa timu 7 sita zote fresh yeye tu alibaki,mpira ulianza saa 7 mchana,dk ht 0-0,huku Moscow akiwa anamashoot yaliyolenga goli hayakupungua matano,nikajipa Imani atashida,kipindi Cha pili Hadi dk 90 ubao unasomeka 0-0,wakaongeza dk 3,dk 93 Moscow alipata penalty, wakakosa na mpira ukaisha,nilitamani Ni afadhili niwe MAREHEMU kuliko kuendelea kumsikia huyo Moscow,baada ya siku nyingi kupita nakasahau maumivu,nilichokiamua nikutoitambua CSKA MOSCOW Kama club ya mpira,mpaka leo ninavyoandika meseji hii nishaifuta kwenye hesabu zangu kabisa,sitkuja kuibetia Tena Katika maisha yangu.
 
Siku ambayo CSKA MOSCOW alikuwa anacheza na URAL, MOSCOW alikuwa home kwa point 1.30,nilistake 150000/-nipate 2,700,000/- zilikuwa timu 7 sita zote fresh yeye tu alibaki,mpira ulianza saa 7 mchana,dk ht 0-0,huku Moscow akiwa anamashoot yaliyolenga goli hayakupungua matano,nikajipa Imani atashida,kipindi Cha pili Hadi dk 90 ubao unasomeka 0-0,wakaongeza dk 3,dk 93 Moscow alipata penalty, wakakosa na mpira ukaisha,nilitamani Ni afadhili niwe MAREHEMU kuliko kuendelea kumsikia huyo Moscow,baada ya siku nyingi kupita nakasahau maumivu,nilichokiamua nikutoitambua CSKA MOSCOW Kama club ya mpira,mpaka leo ninavyoandika meseji hii nishaifuta kwenye hesabu zangu kabisa,sitkuja kuibetia Tena Katika maisha yangu.
Nimecheka kwa nguvu kama mazuri
 
Rudi kubeti mkuu chagua timu maalum ambazo utatembea nazo na double chance alafu usibeti kilasiku.
sahivi minatembea na hawa wahuni[emoji117] Union Berlin,Napoli,Arsenal na Madrid hao jamaa awajawai kunifelisha kwenye double chance sema steck iwe nono sasa.
Hiii point jomba
 
Saudi Arabia, ranked 53rd in the world, are on the verge of beating Argentina, ranked third. Mhindi kashavuna huko
 
20221129_185822.jpg
itoshe kusema nimeparurwa.
 
Mimi siwezi kuacha kubet ila mwaka huu 2023 inter kanikosesha milion 21 kiukweli nilikosa raha wiki nzima.

Mechi ya mwisho inter vs empoli aisee inter akafa moja bila dah.

Empoli alipewa odd 6+ kuna mshkaji wangu yeye alibetia hiyo game moja tu akampa empoli double chance akaamka na hela ya supu, yaani inter mpka leo nimemtoa kwenye team ninazo zibetia ni takataka kabsa
 
Mimi siwezi kuacha kubet ila mwaka huu 2023 inter kanikosesha milion 21 kiukweli nilikosa raha wiki nzima.

Mechi ya mwisho inter vs empoli aisee inter akafa moja bila dah.

Empoli alipewa odd 6+ kuna mshkaji wangu yeye alibetia hiyo game moja tu akampa empoli double chance akaamka na hela ya supu, yaani inter mpka leo nimemtoa kwenye team ninazo zibetia ni takataka kabsa
Mkuu hiyo game imenikosesha milioni 6..Namlaani mpk leo yule beki wa Inter MILAN SKRNIAR aliyekula umeme dakika 45 mapema tu..na CASH OUT ikawa LOCKED..nmeamini fixed matches zipo maana beki aliruka teke la van damme ili ale umeme mwishowe wapigwe tu..

Fu.C.k
 
Kuna jamaa mmoja alikuta timu ipo dakika ya 67 na inaongoza goli tatu kwahiyo akaipa ishinde na akatia ada yake pale.

Mchezo uliisha 3 - 3!

Kuna maumivu makubwa sana kwenye kubeti, wewe kilikukuta nini mpaka ukaona roho itaacha mwili?
Pumbavu
 
Japo
kuna mechi mwaka jana walicheza Barca na na timu flani ya Japan mechi ya kirafiki, nikampa Barca mzima mzima, nikaweka stack 300k.

Barca akapigwa kimoja tu, yaani kimoja tu cha nguruwe. Tokea hapo sasa nikapata akili ya kubeti kistaarabu[emoji23][emoji3]
Beti Haina namna nyingine...mechi za kirafiki usimwamini sana hao giant...maana wanatest mitambo
 
Kuna jamaa mmoja alikuta timu ipo dakika ya 67 na inaongoza goli tatu kwahiyo akaipa ishinde na akatia ada yake pale.

Mchezo uliisha 3 - 3!

Kuna maumivu makubwa sana kwenye kubeti, wewe kilikukuta nini mpaka ukaona roho itaacha mwili?
Jana Spain kanifanya ni Cashout kwa presha baada ya dakika mbili anapata penati
 
Back
Top Bottom