Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Kuna watu wanakuja kujiaibisha hapa.
Eti mtu anashangaa mtu ku-stake 250,000 kwa timu moja anasema ni chai! Si ushamba huu!

Mi mwenyewe hapa kapuku, kuna kipindi mwaka 2018 nilikuwa napiga deiwaka sehemu kwa mshahara wa 300,000, wakati huo huo nilikuwa na mishe sehemu nyingine kwa 180,000 kwa mwezi. Lakini kwa kipato hicho cha kikapuku nishawahi kustake 950,000 ambayn kwangu ilikuwa nyingi sana. Sasa mtu anatokea anashangaa 250,000!

Kuna mwamba hapa JF Going Concern alikuwa anastake 4,000,000. wakatokea watu wakawa kama wanafurahi hivi akiliwa, mwamba akapotea moja kwa moja, nadhani atakuwa anabeti kimya kimya anatuona sisi wengine tuna mawazo ya kimasikini. Ila mimi alikuwa ananiinspire sana na mastake yake mlima.
Kuna watu wengine wanachukulia betting kama mzaha na kuna watu wapo serious wanaoichukulia kama ni kazi mimi kuna rafiki yangu kajenga nyumba nzuri ya kisasa na kanunua gari la kutembelea pamoja na biashara kwa kazi hii ya kubeti hapo Kariakoo ndio usiseme kuna wadau kibao wanavimba hapa mjini kwa ajili ya hii kazi
 
Usnikumbushe maumivu ya uefa mwaka Jana,Madrid na mancity pale bernabeu[emoji22]

Nilibet Live in play,
dkk ya 80 man city anaongoza Moja bila nikampa man city to qualify odds 1.06 -NIKATIA MZIGO pamoja na man city to win 1.14 - NIKATIA MZIGO

Dakk 9 tu zilizofata niliambulia maumivu makali sana[emoji22] View attachment 2392387
Hii game ilituumiza wengi

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Coaches are hired to be fired.....

MIKEKA INAWEKWA ILI ICHANIKE
 
Kuna watu wengine wanachukulia betting kama mzaha na kuna watu wapo serious wanaoichukulia kama ni kazi mimi kuna rafiki yangu kajenga nyumba nzuri ya kisasa na kanunua gari la kutembelea pamoja na biashara kwa kazi hii ya kubeti apo kariakoo ndio usiseme kuna wadau kibao wanavimba apa mjini kwa ajili ya hii kazi
Ni kweli kuna wana wanafanya maisha kwa beting hilo mbona lipo wazi, ukiwa na mtaji ukatuliza kichwa tamaa ukatuweka nyuma una make, nina akaunti kabisa bank navuna kidogo naweka bank kwenye tozo kule.
 
Points 6 kwenye basketball zimenikosesha million 1 na laki zake
Screenshot_20221023-060044.jpg
 
Kuna Royal Antwerp, galatasaray, club blugge, Rb leizpig na Paimeras ndo naishi nao hao jamaa, stake kubwa..
Galatasaray kaka mtoe ni mpumbavu mmoja hivi. Jana kakalia chumba dakika ya 91.

First half yote kaongoza
Screenshot_20221024-180319.jpg
 
Nchi nyingi zenye biashara kubwa za sportsbet
Kwa asilimia kubwa zina high rate of unemployment
Eg Nigeria, Ghana, Kenya etc
Nimewaza kwa sauti
 
Nchi nyingi zenye biashara kubwa za sportsbet
Kwa asilimia kubwa zina high rate of unemployment
Eg Nigeria, Ghana, Kenya etc
Nimewaza kwa sauti
Ni kweli lakini naona hata hapa Tanzania sportbet companies ni nyingi mno
 
Yeah vijana wanajaribu kukomaa na sportbert kama chanzo cha kipato

Japo ni wachache sana wenye uwezo wa kupata pesa kutoka kwenye michezo hio

Wengi hupoteza fedha nyingi kidogo kidogo
 
Leo nmeamua kufanya maamuzi ya kuachana na betting [emoji1487]labda ni stake ntapojisikia Wins zimekua chache kuliko loss [emoji23]acha nijiepushe na heart attack wakuu
 
Usnikumbushe maumivu ya uefa mwaka Jana,Madrid na mancity pale bernabeu[emoji22]

Nilibet Live in play,
dkk ya 80 man city anaongoza Moja bila nikampa man city to qualify odds 1.06 -NIKATIA MZIGO pamoja na man city to win 1.14 - NIKATIA MZIGO

Dakk 9 tu zilizofata niliambulia maumivu makali sana[emoji22] View attachment 2392387
Duuuh walirudishaje yote hayo
 
Kuna watu wengine wanachukulia betting kama mzaha na kuna watu wapo serious wanaoichukulia kama ni kazi mimi kuna rafiki yangu kajenga nyumba nzuri ya kisasa na kanunua gari la kutembelea pamoja na biashara kwa kazi hii ya kubeti hapo Kariakoo ndio usiseme kuna wadau kibao wanavimba hapa mjini kwa ajili ya hii kazi
Yaani unataka tuamini kuwa makampuni ya betting yanapata hasara kwa kutumia pesa nyingi kuliko wanazovuna kutoka kwa bettors? Kwenye hiyo kamari wanaopoteza ni wanaocheza, wanaoshinda ni wachache sana kuliko wanaoliwa.

Ukitembekea wavuti ya TGB utagundua jinsi ambavyo makampuni ya betting yanavyovuna faida kubwa. Kwa kuthibitisha hilo makampuni y betting kibao ya kibongo yameanzishwa, kwa mwaka huu tu kampuni mpya zisizopungua tatu za betting zimeingia sokoni.

Vv
 
Back
Top Bottom