Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

sitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Chai, yaan huo upumbavu wa kiwango kikubwa mno. GAME 11 uweke 250k??? A very very very very big MISTAKE...
 
Betting sio poa, mi nachezaga magoli iwe over au under

Game ya yanga na waarabu nikaipa over 1.5ft bwana ee goli la mapeema nikaagiza na bia zangu tatu za fasta, kilichofuata full time 1-0 nilitamani kulia 50k ikatafunwa

Jana game ya Chelsea, Liverpool, Everton wote wametoa under 1.5 wakati niliweka over

Ila SIACHI KUBET
 
sitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Dah
 
Juzi Udinese vs Atalanta, nimebet live, halftime Atalanta anaongoza 2-0, nikawaamini wazee wa kipindi cha pili, nikamuwekea Udi ashinde...hadi 90' ni 2-2 na game ikaisha hivyo. 250k ikapotea hivyo, ila wangeshinda ilikuwa nichukue 1.5m coz Udi baada ya kupigwa mbili odds zilishoot hatari. Ila siachi ng'o!
D😀😀,,kuna watu wanamatukio kwakweli[emoji23]
 
Hu
sitosahau mwaka 2017 mkamalia mwenzangu alivyoaga dunia tukiwa kwenye gari tunampeleka hospital..story ilikuwa ni ivi jamaa alibeti timu 11 premier betting akatia 250k ikawa inatoka 110m mechi 6 zilikuwa zinacheza jumamosi, 4 jumapili na moja jumatatu ..zikatoa zote ikawa imebaki moja inacheza jumatatu LIlle vs PSG ..jamaa alishajipa uhakika mazima kuwa PSG anashinda akaenda mpaka kutafuta kiwanja cha kuanza kuje ga ..siku ya mechi PSG kafa 4-2 tukamuona mtu anaishiwa nguvu mara pumzi inatoka kwa shida kumuaisha hospital akafia njian.
Huyo jamaa yako ni mpuuzi tu hata Kama kafa
 
Nilisuka mkeka nikausibiria karibu mwezi na nusu niliweka 20K, ilibaki game moja tuu nipige kama 24M, huu mkeka nilikuwa nimeupotezea kabisa sikuwa nafuatilia a hiyo siku nacheck history naona bado haujawa settled zimebaki mechi mbili na ya mwisho ni hiyo ya west Bromwich vs Man U, 14th February, nimempa man u ashinde....dk ya 2 kaipigwa, game imesha draw...ile siku nilipata msong wa mawazo nikaenda kulala
 
ndio sawa nimekuelewa.
mkuu hapa tumapeana mbinu angalau mtu unusuru mtaji wako,kama double chance akuna odds nzuri kuliko kuzamisha mtaji wako piga chini iyo mechi.
Ndio hivyo mhindi nae kuna mechi akiona zinatoa kwenye DC hua anamiinya vibaya yaan anakulazimisha uende direct na ukienda direct ni very risk lolote linaweza kutokea
 
Ndio hivyo mhindi nae kuna mechi akiona zinatoa kwenye DC hua anamiinya vibaya yaan anakulazimisha uende direct na ukienda direct ni very risk lolote linaweza kutokea
shida ndo iyo sasa,muhindi muhuni sana.
lakini pia nakumbusha double chance pia unaweza kupasuka tena vibaya sana, ndo maana unatakiwa kuzingatia kucheza kistaarabu,wazee beting haina mjanja asikudanganye mtu.
 
Odds zinaendana na probability kwahio yote hayo wameyahesabia kwenye outcomes hata Ukipewa Odds za 1.09 inamaanisha katika probability wameshafanyia hesabu kwamba kila ukiweka tshs 100 unapata tshs 9..., ila utona kwamba ukibet hivyo mara 100 uwezekano wa kupoteza moja ni mkubwa sana kama vile kuzama jioni..., hence in the long run zile, tisa ulizopata zote mwisho wa siku utawarudishia

The House Always Wins..... Why?!!! Because Mathematics is in their Side...

Kwahio Odds zozote zile uwezekano umewekwa mle ndani mathematically..., unless otherwise enzi zile za kubalance the books yaani sababu wengi wameipa Timu A, basi odds zinashuka ili kubalance kwenye Timu B
 
shida ndo iyo sasa,muhindi muhuni sana.
lakini pia nakumbusha double chance pia unaweza kupasuka tena vibaya sana, ndo maana unatakiwa kuzingatia kucheza kistaarabu,wazee beting haina mjanja asikudanganye mtu.
Acha tu

Jana Udinese - Monza

Nikaweka DC 1× kilichotokea

Screenshot_20221020-112113.png
 
Acha tu

Jana Udinese - Monza

Nikaweka DC 1× kilichotokea

View attachment 2392590
Umeona sasa hapo,mechi iliyopita Udinese 2-1 Monza,Udinese alipata ushindi ugenini,jana akaja kupigwa home.
ods mechi ya jana ilikua zinalingana kwa timu zote izo zilikua ods 2 na points kila timu.kwa maana walikua wanatoshana nguvu apakua na mnyonge.
 
Umeona sasa hapo,mechi iliyopita Udinese 2-1 Monza,Udinese alipata ushindi ugenini,jana akaja kupigwa home.
ods mechi ya jana ilikua zinalingana kwa timu zote izo zilikua ods 2 na points kila timu.kwa maana walikua wanatoshana nguvu apakua na mnyonge.
Acha tu huyo Udinese kanipotezea pesa Jana
 
[emoji23]
Hivi umewahi kuliwa hadi unaogopa kubet yaan unaweka mkeka timu 10 tu inabakia timu 1 tu alafu dakika ya 90+2 ngoma inalala draw alafu ulishaanza kupanga bajeti ya mpunga utakao ingia kuangalia matokeo hauamini unachokiona
ndio mkuu kote huko nishapitia,mpaka hapa nilipo nipo makini kiasi chake kwenye kubeti kwasababu nishapigwa na muhindi mpaka nikasahau njia ya kwenda home,macho hayaoni,nguo ulizovaa unaziona nzito mwilini,unakosa hamu ya kula n,k.
 
Back
Top Bottom