Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna option za magoli hasa over 0.5 ni mara chache sana kutotoa japo sio timu zote, kwa sasahivi naona timu nyingi hazitoi draw ya 0-0 yani kagoli kamoja lazima kapatikane hasa ligi ya japan na blazil ila hizo direct win ni hatari kwa afyaTatizo wengi tunabeti mpira wa miguu na direct win cha msingi ni kubadili michezo au kucheza throw in ,foul ,shots au corner
hakika[emoji28][emoji23]Huu mchezo hauhitaji hasira [emoji23][emoji23][emoji1787]
Garatasaray mkuu,mbona namuonaga anapasuliwa mara kwa mara?Kuna Royal Antwerp, galatasaray, club blugge, Rb leizpig na Paimeras ndo naishi nao hao jamaa, stake kubwa..
MawazoKuna jamaa kubeti imewatoa kabisa kimaisha... mimi sijui nakoseaga wapi.....
Tusipangiane maishaKubeti ni upumbavu ..
Unaambiwaje direct optns ni hatari kwa afya yako,hapo A.Madrid alikua yupo kwake.A.Madrid ni timu yenye nguvu zaidi ya mpinzani wake,ungetupia 1×.Game ya Juzi
Atletico Madrid - Rayo Vallecano
Nilimpa Atletico Madrid nikawa nasubiria mpira uishe nile pesa yangu sasa angalia kilichotokea
View attachment 2392517
Mtoe huyo Galatasaray atakuja kukulaza na viatu 🤔Kuna Royal Antwerp, galatasaray, club blugge, Rb leizpig na Paimeras ndo naishi nao hao jamaa, stake kubwa..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Juzi nimempa Intermilan anamfunga Barca...lewandoski kafunga goli dakika ya 95 ikawa 3-3...sirudii tena
Hio direct ilikua na odds 1.52 na 1× ilikua na odds 1.02 sasa ningeweka 1× hakuna ningepata maana lengo ni kupata faidaUnaambiwaje direct optns ni hatari kwa afya yako,hapo A.Madrid alikua yupo kwake.A.Madrid ni timu yenye nguvu zaidi ya mpinzani wake,ungetupia 1×.
japo kua hata timu yenye nguvu inaweza kubamizwa na timu dhaifu.