Na mimi nataka niijaribu mkuu ila nchi 43 smartNilipoanza kununua flat TV nilianza na LG ya LED 43" ila aliporudi mbabe wa kioo bwana Hitachi kwa jina la TCL sikujishauri kuvuta smart TV ya 55" kwao, kutokana na durability ya product zao. Nna imani hiki kioo kitapiga kazi kwa hadi miaka 15 mbele bila tatizo (kuna tv ya Hitachi ya 21" ilinunuliwa na dingi 1998 na mpaka sasa inapiga kazi, imekuwa inahama vyumba tu pale home na kwa sasa iko ghetto la msaidizi wa kazi wa home ikiwa haijachora hata mstari mmoja)
Nipe link ya samsung tanzania tuone inakaajePia watu wafanyabiashara hawakupeleki Samsung sababu ya Margin ni ndogo hasa maneno yenye competition.
Mfano tv ya kichina ni 250,000 wanaweza wakauza 450,000 margin kubwa, ila Samsung wanapata 550,000 wanauza 600,000.
Samsung wapo official kabisa Tanzania, sidhani kama kutoa mstari ni issue, ukiwa na warranty na unajielewa wataitengeneza bure.
Store zinazotambulika ni hiziNipe link ya samsung tanzania tuone inakaaje
Una uhakika au unacomment ili nawe uonekane umecomment?Hitachi na TCL Mbona hamna uhusiano wowote?
Asee kumbe eh? Wabongo kwa ujuaji wa msichokijua mko vizuri sana. Sasa kwa taarifa yako hata remote ya TCL na Hitachi kwa toleo linalofanana tofauti ni nembo tu; hata remote ya hii TV battery zake zilikuwa zina nembo ya Hitachi.Ameshadanganywa na wauza tv
Sasa mkuu mbona hapo juu umeisema ni takakata?Sijakataa lakini kwa laki sita hadi saba Hisense hana mpinzani[emoji38][emoji38]
Message Sent
Nina Samsung 5 series 32"Hii TV niliyonayo ni Samsung HD inch 32, nilinunua laki saba wakati ndio zinatoka, imeshawahi kupigwa chini kwenye domestic violence lakini iko vilevile na Ina miaka zaidi ya 10, je Samsung bado watakuwa na bidhaa imara kiasi hiki kwa miaka hii?
Hapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda.
Software ya hisense ni ya kiboya sana kusema kweli. Ninayo Hisense moja hapa, mpaka uconect na Desktop ucalibrate na Nvidia Gpu ndio unapata Quality nzuri.Hiyo Hisense unayoipigia debe kwana
1. Haina “Play Store”
2. HDMI port moja ndio ina support kifaa cha 4K kama PS5 zingine zote ni hdmi za kawaida
3. Ukiweka flash yenye movie ya 4k yenye file la MKV au MP4 haichezi
Kwa kifupi Hisense ina support 4k kwenye Youtube tu.
Sony
Sumsang
LG
Zilikuwepo na zitabaki kuwepo ni sawa na useme mwenye iphone na infinix zote ni sawa unapiga na kupokea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] uchumi wa chini ndo upoje mkuu yani kwa mwaka anaweza akaingiza shilingi ngapi?Star X kwa matumizi ya watu wa uchumi wachinj ni nzuri kwa matumizi yaki familia
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu samahani natoka nje ya mada kidogo.Software ya hisense ni ya kiboya sana kusema kweli. Ninayo Hisense moja hapa, mpaka uconect na Desktop ucalibrate na Nvidia Gpu ndio unapata Quality nzuri.
Ila Vidaa unapata Quality mbovu na kama Kama huna ujuzi utaangalia picha mchele mchele maisha yako yote.
Wapi nimesema Hisense ni takataka. Hebu nitajie ni post namba ngapi hiyo nimesema hivyoSasa mkuu mbona hapo juu umeisema ni takakata?
Sasa hii kwa akili yako wewe ndio inakuonyesha kuwa Hitachi ndio wanatengeneza TCL? Hii inaonyesha kuwa anayetoa warranty anatoa kwa TCL na Hitachi. Maana yake ndio anayeimpont hizi bidhaa kwa Tanzania. TCL ni kampuni ya china while Hitachi ni ya JAPAN.Asee kumbe eh? Wabongo kwa ujuaji wa msichokijua mko vizuri sana. Sasa kwa taarifa yako hata remote ya TCL na Hitachi kwa toleo linalofanana tofauti ni nembo tu; hata remote ya hii TV battery zake zilikuwa zina nembo ya Hitachi.View attachment 2493093
Kwa hiyo kwa laki saba TV gani wewe unashauri ambayo Ina hizo sifa [emoji848][emoji848] Ni vizuri useme kwa faida ya wengi.Hiyo Hisense unayoipigia debe kwana
1. Haina “Play Store”
2. HDMI port moja ndio ina support kifaa cha 4K kama PS5 zingine zote ni hdmi za kawaida
3. Ukiweka flash yenye movie ya 4k yenye file la MKV au MP4 haichezi
Kwa kifupi Hisense ina support 4k kwenye Youtube tu.
Sony
Sumsang
LG
Zilikuwepo na zitabaki kuwepo ni sawa na useme mwenye iphone na infinix zote ni sawa unapiga na kupokea.
Kama priority ni charge tafuta 5A,Mkuu samahani natoka nje ya mada kidogo.
.nataka kuchukua simu ya g.pixel mojawapo kati ya 3a xl au 4a 5g kwakua zina betri kubwa.kwakua 4a 5g ina camera mbili za nyuma je inaweza kuizidi 3a xl kwa camera?
Maana naona 3a xl bei ipo chini sana kuliko 4a 5g.
PS5 ili upate features zote inabidi TV yako iwe na hdmi 2.1. Matoleo mapya ya tv sana sana zile midrange to high end ndio yana HDMI 2.1 na si tv zote. PS5 pia inaconnect kwa HDMI 2.0 ila features zote hutozipata. Kama tv yako ilishindwa kuconnect na ps5 inawezekana kuna shida mahali, sababu hata cable unayotumia huwa inachangia.Hiyo Hisense unayoipigia debe kwana
1. Haina “Play Store”
2. HDMI port moja ndio ina support kifaa cha 4K kama PS5 zingine zote ni hdmi za kawaida
3. Ukiweka flash yenye movie ya 4k yenye file la MKV au MP4 haichezi
Kwa kifupi Hisense ina support 4k kwenye Youtube tu.
Sony
Sumsang
LG
Zilikuwepo na zitabaki kuwepo ni sawa na useme mwenye iphone na infinix zote ni sawa unapiga na kupokea.
Nimechukua hisense u7h juzi, vyote unavyosema havina ukweli. Hisense zenye vidaa haziwezi kuwa na play store maana play store ni kwa ajili ya android/Google tv. Ina hdmi 4, Mbili ni hdmi 2.1 120hz (mojawapo ni eARC), Mbili ni hdmi 2.0,ina USB 2.0 NA USB 3.0 na nimechomeka hdd hakuna file lolote lililogoma. Sasa sijui wewe umetumia hisense ipi?Hiyo Hisense unayoipigia debe kwana
1. Haina “Play Store”
2. HDMI port moja ndio ina support kifaa cha 4K kama PS5 zingine zote ni hdmi za kawaida
3. Ukiweka flash yenye movie ya 4k yenye file la MKV au MP4 haichezi
Kwa kifupi Hisense ina support 4k kwenye Youtube tu.
Sony
Sumsang
LG
Zilikuwepo na zitabaki kuwepo ni sawa na useme mwenye iphone na infinix zote ni sawa unapiga na kupokea.
Uchumi mdogo kwenye familia na tatizo la kutokujua Elimu ya bidhaa bora ilimradi kuambiwa TV flat laki mbili na nusu nchi 32 ili miradi tv iwepo ya kutazama taarifa ya habari ITV saa mbili usiku[emoji1787][emoji1787][emoji1787] uchumi wa chini ndo upoje mkuu yani kwa mwaka anaweza akaingiza shilingi ngapi?