Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Amoled ni vioo vya simu, siyo vya TV. TV zinatumia oled. Panels karibu zote za tv za wrgb oled wanatengeneza LG Display na kuwauzia company zoote unazojua wewe. Hisense pia ni wateja wa LG display. Lg nimeshatumia sana. Magic remote ni feature nzuri lakini hiyo peke yake haiwezi nifanya nichague lg, yapo mengi ninayoyaangalia
Nilipokuwa natolea mfano wa amoled nilikuwa naongelea vioo vya simu ,kwamba ikitokea bahati mbaya kimevunjika replacement part ni mara tatu ya bei ya kioo cha lcd ,
 
Nasoma comments kwa umakini sana
Ukianzia Mwanzo wa thread mpaka hapa tayari jibu unalo na tofauti ya hizi tech sijui HD, Qled, 4K Dolby sijui nini nini kwenye upande wa TV tayari una muongozo nzuri ujilipuwe wapi.

Binafsi naona nilijilipuwe na LG ila kuna mdau kanitisha hapo anadai remoti ya LG ikiharibika inauzwa laki mbili, huu nao ni mtihani kwa sisi wenye Watoto ambao bado watundu.
 
Hizi ndio shule nilikuwa nahitaji mpaka kufunguwa huu Uzi.

Mkuu kwa kunisaidia nimebaini LG wako vizuri ingawa hawakuwa mawazoni kwangu kabisa, Sasa nataka nijilipuwe na LG.

Kwa Sasa LG hiyo Qled ya inch 43 inakwenda kwa bei gani na authorized agent au dealer anapatikana wapi?
Lg wana Oled na nano tv, Samsung wao ndio Qled na Macro led.

Bei za 43 ni 800,000-1,300,000
 
LG wana Branch Nairobi, kwa dar tafuta tu duka kubwa linalotoa warranty.
Hizi za nairobi ndio zile zilizoandikwa made in Egypt ? JAPO naona wanaandika spec za kibabe ila Tv ya lg ya egypt na samsung ya south kuna vitu haviko sawa kiukweli mkuu wanatuchakachua ubora
 
Hizi za nairobi ndio zile zilizoandikwa made in Egypt ? JAPO naona wanaandika spec za kibabe ila Tv ya lg ya egypt na samsung ya south kuna vitu haviko sawa kiukweli mkuu wanatuchakachua ubora
Nairobi ni service centre incase kifaa chako kimeharibika ama kuna issue inahitaji utaalamu wao,

Hivi viwanda vya Africa si kwamba vinatengeneza from sceatch, ni mbinu tu za kibiashara, kupunguza kodi na gharama nyengine. Egpty hawatengenezi hizo Oled, Qled, Led na panel nyengine bali wanapachika tu, sasa hapo Quality ya TV itategemea hicho kioo kimetoka wapi, kama Wamechakachua China huko basi inakuwa mbaya ila kama kimetoka Kwa LG wenyewe ujue kitakua kizuri.

Na ni kweli vitu vingi ambavyo vimetengenezwa specific kwa ajili ya Africa havina ubora.
 
Bora nijilipuwe na 43" kwa 800,000/= bure ghali.

Nimeona tofauti ya hizi TV appearance zake.

Je agent au authorized dealers wako wapi kwa Dar?
Wapigie namba hizo hapo chini
👇👇👇
 

Attachments

  • 20230121_111224.jpg
    20230121_111224.jpg
    1.6 MB · Views: 50
Samsung zote ni OG mkuu, hao wanunua Sinsung sio Samsung.

Pili wananunua tv kwa fundi tv sio Dukani. Uliwahi kuona wapi Samsung tv inauzwa laki 2 ama laki 3. Wanapenda vya dezo halfu wanakuja kulaumu brand badala ya kujilaumu wenyewe.
Mkuu punguza ujuaji, aliekwambia Samsung zote OG nani? Kwa zaidi ya 60% Tanzania tunatumia TV za Samsung fake, mwisho wa siku nunua kitu kulingana na uelewa wako lakini kikubwa uongozwe na budget yako

Mtu unakuta ana budget ambayo yeye alipenda kupata TV smart ya inch 43 ila budget yake hawezi kununua Lg, Samsung au Sony kwahiyo asinunue sasa? Uwepo wa makampuni mengi ya bidhaa lengo ni kila mtu apate kitu kulingana na uwezo wake

Ukitaka kujua tz tunapigwa sana we agiza TV China, Unaulizwa unataka Original?high copy au end copy? Na hapo hawamaanishi kwamba hizo copy na high copy zitaandikwa sumsung wala singsung bali zote ni Samsung unazikuta na kila kitu chake kama zilizo zingine

Samsung nchini kwetu nyingi sana zinakuja fake maana washajua kuwa tunapenda Jina ila uwezo wa kununua OG hatuna kwahiyo tunapewa kile ambacho tunaweza afford

Nenda posta Samsung store na model na series alafu omba uoneshwe TV original, we kazana uoneshwe TV original yani urudie tena unataka TV original, alafu icheki na chukua bei kisha Rudi kariakoo karinganishe bei

Hiyo ni option one, option 2 tafuta mtu alie China kisha mpe model ya TV ya Samsung aende Samsung store kisha apewe bei, na huko ndio atakutana na issue ya OG,High copy na end copy alafu usikie bei zao wenyewe uone kama tutaweza nunua

Usiishi Kwa kukariri mkuu, japokuwa Heshima ya Samsung kwenye ubora wa bidhaa zake kila mtu anaujua ila ukweli ni kwamba karibia zaidi ya 70% hawatumii Samsung OG kwa sasa ila wao hawajui tu

Walionunua TV za Samsung miaka ya zamani utagundua kuwa TV zao nyingi hadi leo zinadunda fresh tu, ila njoo Kwa hawa wanaonunua hii miaka ya karibuni ni kisanga Mzee mwenzangu

The same na kampuni zingine expensive kama vile Lg saizi tunapigwa tu kisa trade name, ata Hisense pia zina OG zake na fake zake, Tanzania hivi sasa kumejaa vitu fake, wakati iPhone 14 inatoka Yani china store hakuna ila teyari Tanzania kina bilnass wanaziuza na watu wananunua kama kawaida

Nenda posta au kariakoo Kwa mafundi wakubwa wa TV alafu ulizia ni kampuni gani Kwa sasa zinaongoza Kwa kufa, hadi mwaka Juzi me nipo kariakoo ilikuwa ni Samsung ikifatiwa na LG, Samsung ilikuwa inaongoza kufa kioo na LG ilikuwa inaongeza kuunguza AC

Nasema kariakoo na posta kwa sababu huko ndio walipo wanaotumia hizi kampuni, sio uende Kwa mafundi wetu wa kigogo au Manzese zimejaa TV kampuni za hadhi yao huwezi kuta hizo Samsung na lg wala Sony na ukikuta basi inatumika kama sampo tangu mwaka 2016, utakuta BOSS,Aborder,Zunne,singsung nk
 
Mkuu punguza ujuaji, aliekwambia Samsung zote OG nani? Kwa zaidi ya 60% Tanzania tunatumia TV za Samsung fake, mwisho wa siku nunua kitu kulingana na uelewa wako lakini kikubwa uongozwe na budget yako

Mtu unakuta ana budget ambayo yeye alipenda kupata TV smart ya inch 43 ila budget yake hawezi kununua Lg, Samsung au Sony kwahiyo asinunue sasa? Uwepo wa makampuni mengi ya bidhaa lengo ni kila mtu apate kitu kulingana na uwezo wake

Ukitaka kujua tz tunapigwa sana we agiza TV China, Unaulizwa unataka Original?high copy au end copy? Na hapo hawamaanishi kwamba hizo copy na high copy zitaandikwa sumsung wala singsung bali zote ni Samsung unazikuta na kila kitu chake kama zilizo zingine

Samsung nchini kwetu nyingi sana zinakuja fake maana washajua kuwa tunapenda Jina ila uwezo wa kununua OG hatuna kwahiyo tunapewa kile ambacho tunaweza afford

Nenda posta Samsung store na model na series alafu omba uoneshwe TV original, we kazana uoneshwe TV original yani urudie tena unataka TV original, alafu icheki na chukua bei kisha Rudi kariakoo karinganishe bei

Hiyo ni option one, option 2 tafuta mtu alie China kisha mpe model ya TV ya Samsung aende Samsung store kisha apewe bei, na huko ndio atakutana na issue ya OG,High copy na end copy alafu usikie bei zao wenyewe uone kama tutaweza nunua

Usiishi Kwa kukariri mkuu, japokuwa Heshima ya Samsung kwenye ubora wa bidhaa zake kila mtu anaujua ila ukweli ni kwamba karibia zaidi ya 70% hawatumii Samsung OG kwa sasa ila wao hawajui tu

Walionunua TV za Samsung miaka ya zamani utagundua kuwa TV zao nyingi hadi leo zinadunda fresh tu, ila njoo Kwa hawa wanaonunua hii miaka ya karibuni ni kisanga Mzee mwenzangu

The same na kampuni zingine expensive kama vile Lg saizi tunapigwa tu kisa trade name, ata Hisense pia zina OG zake na fake zake, Tanzania hivi sasa kumejaa vitu fake, wakati iPhone 14 inatoka Yani china store hakuna ila teyari Tanzania kina bilnass wanaziuza na watu wananunua kama kawaida

Nenda posta au kariakoo Kwa mafundi wakubwa wa TV alafu ulizia ni kampuni gani Kwa sasa zinaongoza Kwa kufa, hadi mwaka Juzi me nipo kariakoo ilikuwa ni Samsung ikifatiwa na LG, Samsung ilikuwa inaongoza kufa kioo na LG ilikuwa inaongeza kuunguza AC

Nasema kariakoo na posta kwa sababu huko ndio walipo wanaotumia hizi kampuni, sio uende Kwa mafundi wetu wa kigogo au Manzese zimejaa TV kampuni za hadhi yao huwezi kuta hizo Samsung na lg wala Sony na ukikuta basi inatumika kama sampo tangu mwaka 2016, utakuta BOSS,Aborder,Zunne,singsung nk
Ngoja tuendelee kupigwa maana hamna namna.
 
Mkuu punguza ujuaji, aliekwambia Samsung zote OG nani? Kwa zaidi ya 60% Tanzania tunatumia TV za Samsung fake, mwisho wa siku nunua kitu kulingana na uelewa wako lakini kikubwa uongozwe na budget yako

Mtu unakuta ana budget ambayo yeye alipenda kupata TV smart ya inch 43 ila budget yake hawezi kununua Lg, Samsung au Sony kwahiyo asinunue sasa? Uwepo wa makampuni mengi ya bidhaa lengo ni kila mtu apate kitu kulingana na uwezo wake

Ukitaka kujua tz tunapigwa sana we agiza TV China, Unaulizwa unataka Original?high copy au end copy? Na hapo hawamaanishi kwamba hizo copy na high copy zitaandikwa sumsung wala singsung bali zote ni Samsung unazikuta na kila kitu chake kama zilizo zingine

Samsung nchini kwetu nyingi sana zinakuja fake maana washajua kuwa tunapenda Jina ila uwezo wa kununua OG hatuna kwahiyo tunapewa kile ambacho tunaweza afford

Nenda posta Samsung store na model na series alafu omba uoneshwe TV original, we kazana uoneshwe TV original yani urudie tena unataka TV original, alafu icheki na chukua bei kisha Rudi kariakoo karinganishe bei

Hiyo ni option one, option 2 tafuta mtu alie China kisha mpe model ya TV ya Samsung aende Samsung store kisha apewe bei, na huko ndio atakutana na issue ya OG,High copy na end copy alafu usikie bei zao wenyewe uone kama tutaweza nunua

Usiishi Kwa kukariri mkuu, japokuwa Heshima ya Samsung kwenye ubora wa bidhaa zake kila mtu anaujua ila ukweli ni kwamba karibia zaidi ya 70% hawatumii Samsung OG kwa sasa ila wao hawajui tu

Walionunua TV za Samsung miaka ya zamani utagundua kuwa TV zao nyingi hadi leo zinadunda fresh tu, ila njoo Kwa hawa wanaonunua hii miaka ya karibuni ni kisanga Mzee mwenzangu

The same na kampuni zingine expensive kama vile Lg saizi tunapigwa tu kisa trade name, ata Hisense pia zina OG zake na fake zake, Tanzania hivi sasa kumejaa vitu fake, wakati iPhone 14 inatoka Yani china store hakuna ila teyari Tanzania kina bilnass wanaziuza na watu wananunua kama kawaida

Nenda posta au kariakoo Kwa mafundi wakubwa wa TV alafu ulizia ni kampuni gani Kwa sasa zinaongoza Kwa kufa, hadi mwaka Juzi me nipo kariakoo ilikuwa ni Samsung ikifatiwa na LG, Samsung ilikuwa inaongoza kufa kioo na LG ilikuwa inaongeza kuunguza AC

Nasema kariakoo na posta kwa sababu huko ndio walipo wanaotumia hizi kampuni, sio uende Kwa mafundi wetu wa kigogo au Manzese zimejaa TV kampuni za hadhi yao huwezi kuta hizo Samsung na lg wala Sony na ukikuta basi inatumika kama sampo tangu mwaka 2016, utakuta BOSS,Aborder,Zunne,singsung nk
Kweli, Samsung huwa linachora limstari flan hivi la pink pembeni
 
Mkuu punguza ujuaji, aliekwambia Samsung zote OG nani? Kwa zaidi ya 60% Tanzania tunatumia TV za Samsung fake, mwisho wa siku nunua kitu kulingana na uelewa wako lakini kikubwa uongozwe na budget yako

Mtu unakuta ana budget ambayo yeye alipenda kupata TV smart ya inch 43 ila budget yake hawezi kununua Lg, Samsung au Sony kwahiyo asinunue sasa? Uwepo wa makampuni mengi ya bidhaa lengo ni kila mtu apate kitu kulingana na uwezo wake

Ukitaka kujua tz tunapigwa sana we agiza TV China, Unaulizwa unataka Original?high copy au end copy? Na hapo hawamaanishi kwamba hizo copy na high copy zitaandikwa sumsung wala singsung bali zote ni Samsung unazikuta na kila kitu chake kama zilizo zingine

Samsung nchini kwetu nyingi sana zinakuja fake maana washajua kuwa tunapenda Jina ila uwezo wa kununua OG hatuna kwahiyo tunapewa kile ambacho tunaweza afford

Nenda posta Samsung store na model na series alafu omba uoneshwe TV original, we kazana uoneshwe TV original yani urudie tena unataka TV original, alafu icheki na chukua bei kisha Rudi kariakoo karinganishe bei

Hiyo ni option one, option 2 tafuta mtu alie China kisha mpe model ya TV ya Samsung aende Samsung store kisha apewe bei, na huko ndio atakutana na issue ya OG,High copy na end copy alafu usikie bei zao wenyewe uone kama tutaweza nunua

Usiishi Kwa kukariri mkuu, japokuwa Heshima ya Samsung kwenye ubora wa bidhaa zake kila mtu anaujua ila ukweli ni kwamba karibia zaidi ya 70% hawatumii Samsung OG kwa sasa ila wao hawajui tu

Walionunua TV za Samsung miaka ya zamani utagundua kuwa TV zao nyingi hadi leo zinadunda fresh tu, ila njoo Kwa hawa wanaonunua hii miaka ya karibuni ni kisanga Mzee mwenzangu

The same na kampuni zingine expensive kama vile Lg saizi tunapigwa tu kisa trade name, ata Hisense pia zina OG zake na fake zake, Tanzania hivi sasa kumejaa vitu fake, wakati iPhone 14 inatoka Yani china store hakuna ila teyari Tanzania kina bilnass wanaziuza na watu wananunua kama kawaida

Nenda posta au kariakoo Kwa mafundi wakubwa wa TV alafu ulizia ni kampuni gani Kwa sasa zinaongoza Kwa kufa, hadi mwaka Juzi me nipo kariakoo ilikuwa ni Samsung ikifatiwa na LG, Samsung ilikuwa inaongoza kufa kioo na LG ilikuwa inaongeza kuunguza AC

Nasema kariakoo na posta kwa sababu huko ndio walipo wanaotumia hizi kampuni, sio uende Kwa mafundi wetu wa kigogo au Manzese zimejaa TV kampuni za hadhi yao huwezi kuta hizo Samsung na lg wala Sony na ukikuta basi inatumika kama sampo tangu mwaka 2016, utakuta BOSS,Aborder,Zunne,singsung nk
Kwenye issue ya Sumsung nakubaliana na wewe mia kwa mia kwa sababu mimi ni shuhuda.

Nina TV Sumsung 32" HD nilinunuwa shillings 700,000/= Kwa authorized dealer wa Sumsung lakini ni zaidi ya miaka 10 Sasa haijawahi kusumbuwa chochote na imepitia suruba Kali lakini fresh kabisa, ujio wa 4k na hizi Qled na Oled ndio vinanifanya nione hapa Sasa sina TV lakini kwa ubora nakubali hii Sumsung HD ya zamani ni OG kabisa ndio maana hata bei niliyonunulia ilikuwa 700,000/= bei ambayo kina skyworth leo unapata 43" smart 4K.
 
Kwenye issue ya Sumsung nakubaliana na wewe mia kwa mia kwa sababu mimi ni shuhuda.

Nina TV Sumsung 32" HD nilinunuwa shillings 700,000/= Kwa authorized dealer wa Sumsung lakini ni zaidi ya miaka 10 Sasa haijawahi kusumbuwa chochote na imepitia suruba Kali lakini fresh kabisa, ujio wa 4k na hizi Qled na Oled ndio vinanifanya nione hapa Sasa sina TV lakini kwa ubora nakubali hii Sumsung HD ya zamani ni OG kabisa ndio maana hata bei niliyonunulia ilikuwa 700,000/= bei ambayo kina skyworth leo unapata 43" smart 4K.
Hizi Samsung za siku hizi Kaka kwakweli zinaumiza tu watu ila tunanunua tu kwa sababu tuna Imani na kampuni ila kwenye ubora ni kisanga

Samsung za siku hizi unashangaa tu simu imeweka mstari ilhali imekaa tu sehemu 1 na wala huna watoto kusema wameigonga au wameipitisha kwenye Kashi kashi zozote

Haya maoni ya Samsung yamebakia kwa sie wazee wa brand, ila kama Una ndugu au rafiki anaeuza TV, hapa naongelea mzoefu mcheki mpe budget yako alafu Mwambie unataka kununua TV anashauri ununue TV gani?

Utashangaa sana majibu atakayokupa, nina uhakika 70% hawezi kukwambia ununue Samsung japokuwa dukani ye anazo
 
Hizi Samsung za siku hizi Kaka kwakweli zinaumiza tu watu ila tunanunua tu kwa sababu tuna Imani na kampuni ila kwenye ubora ni kisanga

Samsung za siku hizi unashangaa tu simu imeweka mstari ilhali imekaa tu sehemu 1 na wala huna watoto kusema wameigonga au wameipitisha kwenye Kashi kashi zozote

Haya maoni ya Samsung yamebakia kwa sie wazee wa brand, ila kama Una ndugu au rafiki anaeuza TV, hapa naongelea mzoefu mcheki mpe budget yako alafu Mwambie unataka kununua TV anashauri ununue TV gani?

Utashangaa sana majibu atakayokupa, nina uhakika 70% hawezi kukwambia ununue Samsung japokuwa dukani ye anazo
Pia watu wafanyabiashara hawakupeleki Samsung sababu ya Margin ni ndogo hasa maneno yenye competition.

Mfano tv ya kichina ni 250,000 wanaweza wakauza 450,000 margin kubwa, ila Samsung wanapata 550,000 wanauza 600,000.

Samsung wapo official kabisa Tanzania, sidhani kama kutoa mstari ni issue, ukiwa na warranty na unajielewa wataitengeneza bure.
 
Back
Top Bottom