cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hapoo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23]Kama ulikuwa humpendi huo muda WA kujibu SMS zake tena ndefu kama hyoo unautoa wapi mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapoo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23]Kama ulikuwa humpendi huo muda WA kujibu SMS zake tena ndefu kama hyoo unautoa wapi mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiShida imeanzia kwenye kusoma degree ya Ualimu, watu wanaosomea Ualimu wana uwezo mdogo wa kufikiri.
I feel your pains,Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yy alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mm nilikuwa naanza first year degree ualimu. Inshort tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya a kuendelea kuonesha drama hii ni sms yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu Ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawah kuwa na hisia na we thus why kipnd chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Sio wanawake yeyote yule akipenda huwa anatulia hapo.Hii inaitwa 'sizitaki mbichi hizi'.
Mwisho wa siku mshindi ni yeye, kama alikula vyako na wewe hujamla in every sense wewe ndio umepigwa.
Halafu ukiona mwanamke ana drama nyingi ujue hakupendi pia. Haw dada zetu wakipenda huwa wanakuwa watiifu mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiuhalisia wewe ndio umeachwa na vipesa vyako umepunwa na mbususu hujachakata.
Hii milio tu inaonesha wewe ndo ulimpenda jambo ambalo sio baya, sema hukutakiwa kuandika hili text lote mtafiti wetu!...Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yy alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mm nilikuwa naanza first year degree ualimu. Inshort tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya a kuendelea kuonesha drama hii ni sms yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu Ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawah kuwa na hisia na we thus why kipnd chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
Wewe bhana, umeona wapi wanaume tuliokamilika tukakosa kupenda ngono kwenye mahusiano? Wewe bhana aidha huyo dem alikubania au ulishindwa kumuomba mzigo subiri waje kukupa muongozo umetuaibisha wanaume!Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawah kuwa na hisia na we thus why kipnd chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
TrueHii inaitwa 'sizitaki mbichi hizi'.
Mwisho wa siku mshindi ni yeye, kama alikula vyako na wewe hujamla in every sense wewe ndio umepigwa.
Halafu ukiona mwanamke ana drama nyingi ujue hakupendi pia. Haw dada zetu wakipenda huwa wanakuwa watiifu mno.
Kwahiyo hata mtu akiandika upumbavu so long amewasema wanawake ndio wanaume wote wamsupport?Mwanangu humu unaweza ukaandika kitu kizuri tu ila kisipowapendeza wanawake kuna wanaume humu ambao mimi huwaita MALEFEE, Hawa ni wanaume ambao mbele ya pisi huwaambii kitu wanaweza hata kukupinga au kufanya sifa yoyote kwa njia yoyote ili wapendwe na madem.
Mkuu akija mpwayungu village hapa kazi unayo aloo, jipangeWakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"
"you're don't deserve my worth.." hapo lazima ajue unatania mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa.
Sasa jana baada ya kuendelea kuonesha drama hii ni SMS yangu nimeyomtumia leo asubuhi je nipo Sahihi hapo.
"Sijawahi kukupenda Hilo tambua, hata pesa na vitu ulivyo kula Toka kwangu ilikuwa ni sehemu ya kufanya uwe sample tu mana nipo nafanya research Yangu juu ya mahusiano.
Licha ya uzuri wako unaosifiwa, sijawahi kuwa na hisia na we thus why kipindi chote cha mahusiano sikutaka ngono na wewe.
Your don't deserve my worth, your narcissist girl.
Ushauri wangu acha kuwa feminist itakusaidia sana umri unakwenda Kila siku angalia usije kosa wachumba kisa njaa na tabia za kisimbe,
Bye bye napeleka now report Yangu ya research Yangu juu ya mahusiano ulikuwa sample yangu nzuri sana"