Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Jitahidi usimamie msimamo wako kaka.... Ninandugu yangu Akipitia kama wewe Kafa kwa Ukimwi alio letewa na uyo mzazi mwenzie
 
Tatizo lako ni kwamba unaCare sana. Wanawake hawapendi watu wa kuwacare sana, jifanye huna time nae, punguza shobo za kuwa wakwanza kumtext,mind mambo yako na ukiwa nae karibu usioneshe uko too interested na yeye just be COOL. Trust me Ataanza kukuchase mwenyewe [emoji95]
 
Pole unaishi na mwanaume mwenzio na angalia kama una uhuru wa kushika simu yake, kama mtoa shoo ndio basi maex na wengine watamkula utaachia ngazi tu. Hao sifa yao kubwa ni kipaji cha u single mother au kuishi na mazuzu na vighasti tu.
 
inaonesha hakupendi, anaishi na wewe kwa kukuonea huruma tu inawezekana uliwahi kumsaidia kitu kikubwa au yupo kwako kwa sababu ya maisha tu. Akili za watu kama hao huwa zinarudi ukishapiga chini halafu akakutana na kina william wawili watatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…