Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Njia nzuri ni yeye kukaa kwao(kwake) na weye ukae kwako.Hamna kusumbuana.
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Mimi sio nabii ila inaonekana kamke kako ni kafupi keupe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama ni kweli basi piga chini mapema vinginevyo hutoboi
 
Kuwa mwanaume mkuu, tulishaambiwa tuishi nao kwa akili, ikishindikana kabisa tuunge mkono hoja za Liverpool VPN hakuna kuoa

Ila binafsi mwanamke akizingua nitaenda na biti lake asiponielewa napiga chini.

Nimeshaacha mwanamke nimezaa nae watoto wawili, kaolewa kakaa kwenye ndoa mwaka mmoja kaachika sasa hivi anataka turudiane, nimemwambia haiwezekani kama nikijisikia kuwa na mwanamke nitaoa mwingine lakini sio kurudiana na wewe
Akaniomba tuongeze mtoto na yeye hataki kuolewa tena na mwanaume mwingine tofauti na mimi.

Mimi nikamwambia kwa hiyo utaishi bila mume mpaka lini si uolewe tu, akanijibu hataki, anataka tuongeze mtoto kisha niwe namuhudumia tu kama kawaida ninavyohudumia watoto pia akijisikia na nyege atanitafuta ila anapendekeza zaidi tufunge ndoa ila mimi niwe namtimizia mahitaji yake ya kimwili tu hata kama kuishi pamoja haiwezekani yeye yupo tayari kuishi kivyake ila awe kama mke mkubwa. Maana tayari ana watoto wangu

Anaongea huvyo mimi namchora tu, maana simuamini hata kidogo, nikamwambia nitakufungulia biashara uiendeleze ili hata ikitokea siku nimekufa ulee familia bila shida, akajibu sawa ila nitahitaji unitimizie na mahutaji yangu ya kimwili kwa hiyo mimi nipo tayari kukuacha ufanye maisha yako ila linapokuja swala la kukutana na wewe tu usiniangushe.

Yaani kifupi mwanamke anatumia mbinu zote kurudiana na mimi ila mi mwenyewe ndio sina habari nae.
Akikohoa chapa kibao, akilia chapa kibao, akinuna chapa kibao, akicheka chapa kibao.......
 
Kuwa mwanaume mkuu, tulishaambiwa tuishi nao kwa akili, ikishindikana kabisa tuunge mkono hoja za Liverpool VPN hakuna kuoa

Ila binafsi mwanamke akizingua nitaenda na biti lake asiponielewa napiga chini.

Nimeshaacha mwanamke nimezaa nae watoto wawili, kaolewa kakaa kwenye ndoa mwaka mmoja kaachika sasa hivi anataka turudiane, nimemwambia haiwezekani kama nikijisikia kuwa na mwanamke nitaoa mwingine lakini sio kurudiana na wewe
Akaniomba tuongeze mtoto na yeye hataki kuolewa tena na mwanaume mwingine tofauti na mimi.

Mimi nikamwambia kwa hiyo utaishi bila mume mpaka lini si uolewe tu, akanijibu hataki, anataka tuongeze mtoto kisha niwe namuhudumia tu kama kawaida ninavyohudumia watoto pia akijisikia na nyege atanitafuta ila anapendekeza zaidi tufunge ndoa ila mimi niwe namtimizia mahitaji yake ya kimwili tu hata kama kuishi pamoja haiwezekani yeye yupo tayari kuishi kivyake ila awe kama mke mkubwa. Maana tayari ana watoto wangu

Anaongea huvyo mimi namchora tu, maana simuamini hata kidogo, nikamwambia nitakufungulia biashara uiendeleze ili hata ikitokea siku nimekufa ulee familia bila shida, akajibu sawa ila nitahitaji unitimizie na mahutaji yangu ya kimwili kwa hiyo mimi nipo tayari kukuacha ufanye maisha yako ila linapokuja swala la kukutana na wewe tu usiniangushe.

Yaani kifupi mwanamke anatumia mbinu zote kurudiana na mimi ila mi mwenyewe ndio sina habari nae.

Piga tu hiyo mbususu mkuu,mbona safi tuu ila USIOE
 
Hapo ndo ataharibu kabisa,
Mwanamke jeuri na kiburi, ukiwa submissive ndo atakufulisha chupi afu tukaeingizie wachawi umerogwa.

Nakazia submissions kwa mtu kama huyo ni kujitaftia kifo,cha msingi afanye mambo yake asimjali wala kumuuliza chochote
 
nunua tv ya flati na exteno jaza muvi za mozombi, nunua vyuma vya mazoezi. ukitoka mishe elekea kwenye mazoezi ukitoka oga cheki muv moja ya mazombi na bia yako saafi, kama kochi ni laini utashtukia umesinzia.

rudia hiyo ratiba x365 days

We jamaa una akili sana
 
Ili umkomeshe Sio si uachane nae tu mkuu!!!
Utaona unamkomesha kumbe mwenzio anaenjoy!!
 
Usiniambie kabisa mwanamke wa namna hiyo. Nimeishi naye kwa miaka nane nilipitia mengi. Kibri, dharau kauli za matusi, kujipangia apendavyo.
Nilipofika hatua ya kuchoka kabisa sikuomba ushauri kwa MTU. Nilibwaga manyanga jumla.

Kwa sasa Nina Amani ya Moyo na afya tele. Najisikia wa furaha haswaaa.
Kutuma matumizi kwa watoto siyo kazi kubwa nitawalea hivyo hivyo nao watakuwa watu wazima.

Unaweza kufa kwa sukari na BP kwa ajili ya MTU ambaye haukuzaliwa naye kwa kisingizio cha watoto et nani atawalea.

Lakini pia kutokana na hasira za Mara kwa Mara unaweza kufanya maamzi mabaya bila kutarajia na ndo hiyo ikawa mbaya zaidi.
Ukichoka tu utaachia. Mwanamke Mjeuri havumiliki maisha yote.
 
Nilipofika hatua ya kuchoka kabisa sikuomba ushauri kwa MTU. Nilibwaga manyanga jumla.

Nadhani hii ndio style pekee ya kuishi na mwanamke mwenye kiburi...

Wengi watazungumzia kuhusu kuvumilia,,, wakisahau hasira za mara kwa mara ndio mwanzo wa Kifo...na hasira ni ngumu kujizuia,, lazima tu utakasirika,,hata usiposema..

Mleta uzi akichoka,, hata kuja kuomba ushauri humu
 
Kupenda pasipo thamani kwangu taabani mi si sawa

–mbio–
 
My friend, unapoona kiburi cha aina hiyo kwa mwanamke wako (hasa kama mwanzo wa mahusiano yenu hakuwahi kukuonyesha) jua kwamba tayari ana mahusiano ya kimapenzi nje!
Hili ndo jibu nilitarajia kuliona......
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Kwa hiki kifungu cha habari nachelea kusema anza kutafta mpenzi mwengine. Fanya hilo haraka sana maana baada ya mwezi mmoja tu utakuja na uzi wa kilio hapa.
Provided that the following conditions are met:
1.Ameanza kiburi ghafla na kukudharau hali ya kuwa awali alikuwa na mapenzi thabiti kwako.

2. Kila ufanyacho anakidiss kana kwamba huns zuri ambalo unafanya na ukimgusa kimahaba anakasirika sana

3. Anajitahidi kukukwepa kadri awezavyo na simu yake anaificha na kajaza password hadi za mafolder🤣 na app za ajabu
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Kama hujawahi kumpiga jaribu kumpiga hawa viumbe wana wadudu vichwani ambao huwa wanatoka ukiwatandika makofi na hawatarudi tena.
 
Back
Top Bottom