Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa

Dawa yake ndogo sana.

Jitume kijana.
 
Daaa mkuu pole Sana, yaani hata wa kwangu yupo hivyohivyo. Mi nilichokifa ya nimempiga mimba ahangaike nayo huko harafu tendo la ndoa hata simuombi tena na yeye anaona kawaida tu
Hakuombi tendo la ndoa na ana mimba? Shituka, kuna vijana wanajipigia kimasihara huko.
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
[/QUOTE


Piga bonge la mtama kabla hajaanguka chini piga mbata moja ya shingo halafu ongezea na banzi moja la uso utakuja kunishukuru
 
N
Daaa mkuu pole Sana, yaani hata wa kwangu yupo hivyohivyo. Mi nilichokifa ya nimempiga mimba ahangaike nayo huko harafu tendo la ndoa hata simuombi tena na yeye anaona kawaida tupK

Daaa mkuu pole Sana, yaani hata wa kwangu yupo hivyohivyo. Mi nilichokifa ya nimempiga mimba ahangaike nayo huko harafu tendo la ndoa hata simuombi tena na yeye anaona kawaida tu
Mkuu naomba mbinu Sasa umemtundika tu mimba nakuacha kuombana tendo la ndoa wewe unaishije au ndio umerudi kwenye nyeto Tena?au umeamua kununua dada poa maana michepuko ya kudumu nayo pasua vichwa
Daaa mkuu pole Sana, yaani hata wa kwangu yupo hivyohivyo. Mi nilichokifa ya nimempiga mimba ahangaike nayo huko harafu tendo la ndoa hata simuombi tena na yeye anaona kawaida tu
Marunde umemtundika mimba na tendo la ndoa ukaachana nalo naomba nipe mbinu mkuu wewe unaishije umekuwa mdau wa nyeto,dada poa au umetafuta michepuko wa kudumu nataka nami nimtundike tu mimba jeuri imuishe
 
Njia ni moja tu 🐒

20220409_150402.jpg
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
risasi saba
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Ohooo!
 
Tatizo lako ni kwamba unaCare sana. Wanawake hawapendi watu wa kuwacare sana, jifanye huna time nae, punguza shobo za kuwa wakwanza kumtext,mind mambo yako na ukiwa nae karibu usioneshe uko too interested na yeye just be COOL. Trust me Ataanza kukuchase mwenyewe [emoji95]
Huu ushauri mzuri kwa Wanawake wenye Viburi na Jeuri sio wale waliojaaliwa Utu na Utulivu.... Wale tuna wa care, tunawapa muda wetu na mapenzi yetu yote.
 
Tatizo lako ni kwamba unaCare sana. Wanawake hawapendi watu wa kuwacare sana, jifanye huna time nae, punguza shobo za kuwa wakwanza kumtext,mind mambo yako na ukiwa nae karibu usioneshe uko too interested na yeye just be COOL. Trust me Ataanza kukuchase mwenyewe [emoji95]
😅😅😅😅 mi ukinifanyia hivi tunaachana kwakweli 🙌🏾
 
Nyie mmelishwa nini, yaani unatuomba msaada kuishi nna mwanamke jeuri[emoji23][emoji1787]

Piga chini huyo kenge
 
Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .
Kabla sijachangia naomba kujua je baada ya huo ubishani usiku huwa unamwomba njiapanda?
 
Hajibu meseji? Huyo sio wako aisee, kama hachepuki basi hiyo kiburi imezidi mipaka. Kama ndoa bado changa piga chini atakuua mapema huyo. Sema nini, inaonekana hauna hela bro
 
Hizi kesi za kuamua kwa kusikiliza upande mmoja Ni ngumu sn,mtoa mada ndoa Ni kuvumiliana hata wewe waweza kuwa na mapungufu lakini ukawa hujajijjua mwenyewe,huku utapata ushauri wa kila aina za kuambiwa changanya nazako
 
Dawa yake ndogo sana.

Jitume kijana.
Kijana anajituma sana,sema anaonekana ni mpole sana kwa Mwanamke wake, yaani unamu sms mtu asubuhi,alafu anakuja kukujibu saa 12 Jioni,tena yeye bado ndiyo anakua mkali!!? Kijana ampige chini faster huyo Mwanamke wake hadi hapo atakapo jirekebisha mwenyewe!!!
 
Back
Top Bottom