Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Ni staili gani nzuri unaweza kuitumia kuishi na mwanamke mwenye kiburi na jeuri

Kuwa mwanaume mkuu, tulishaambiwa tuishi nao kwa akili, ikishindikana kabisa tuunge mkono hoja za Liverpool VPN hakuna kuoa

Ila binafsi mwanamke akizingua nitaenda na biti lake asiponielewa napiga chini
Nimeshaacha mwanamke nimezaa nae watoto wawili, kaolewa kakaa kwenye ndoa mwaka mmoja kaachika sa hv anataka turudiane, nimemwambia haiwezekani kama nikijisikia kuwa na mwanamke nitaoa mwingine lakini sio kurudiana na wewe
Akaniomba tuongeze mtoto na yeye hataki kuolewa tena na mwanaume mwingine tofauti na mimi
Mi nikamwambia kwa hiyo utaishi bila mume mpaka lini si uolewe tu, akanijibu hataki, anataka tuongeze mtoto kisha niwe namuhudumia tu kama kawaida ninavyohudumia watoto pia akijisikia na nyege atanitafuta ila anapendekeza zaidi tufunge ndoa ila mimi niwe namtimizia mahitaji yake ya kimwili tu hata kama kuishi pamoja haiwezekani yeye yupo tayari kuishi kivyake ila awe kama mke mkubwa. Maana tayari ana watoto wangu

Anaongea huvyo mimi namchora tu, maana simuamini hata kidogo, nikamwambia nitakufungulia biashara uiendeleze ili hata ikitokea siku nimekufa ulee familia bila shida, akajibu sawa ila nitahitaji unitimizie na mahutaji yangu ya kimwili kwa hiyo mimi nipo tayari kukuacha ufanye maisha yako ila linapokuja swala la kukutana na wewe tu usiniangushe

Yaani kifupi mwanamke anatumia mbinu zote kurudiana na mimi ila mi mwenyewe ndo sina habari nae
Jitahidi usimamie msimamo wako kaka.... Ninandugu yangu Akipitia kama wewe Kafa kwa Ukimwi alio letewa na uyo mzazi mwenzie
 
Tatizo lako ni kwamba unaCare sana. Wanawake hawapendi watu wa kuwacare sana, jifanye huna time nae, punguza shobo za kuwa wakwanza kumtext,mind mambo yako na ukiwa nae karibu usioneshe uko too interested na yeye just be COOL. Trust me Ataanza kukuchase mwenyewe [emoji95]
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri alafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo orvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue ww kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona
Wakati nimeuliza for guud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Pole unaishi na mwanaume mwenzio na angalia kama una uhuru wa kushika simu yake, kama mtoa shoo ndio basi maex na wengine watamkula utaachia ngazi tu. Hao sifa yao kubwa ni kipaji cha u single mother au kuishi na mazuzu na vighasti tu.
 
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha

Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .

Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.

Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka

Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.

Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
inaonesha hakupendi, anaishi na wewe kwa kukuonea huruma tu inawezekana uliwahi kumsaidia kitu kikubwa au yupo kwako kwa sababu ya maisha tu. Akili za watu kama hao huwa zinarudi ukishapiga chini halafu akakutana na kina william wawili watatu.
 
Back
Top Bottom