Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hatari ni neno la kisanii linatumika kusifia, sikumaanisha hatari kama hatari yenyewe, sijui niandike vip ili ikae sawaHatari yake ni nini? Marley aliimba ' kitu kimoja kizuri kuhusu muziki ni kuwa, ukikupiga husikii maumivu'
Nipe kazi ya kuwa bodyguard wakoNdio lakini sikosi chenji za kulipia umeme na bill za maji kwahio hizoo ndio zinatufanya tuna vimba mjini soon naajili bodigadi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nataka nikiingia wavuvi kemp wawe wanaenda kwaza kuangalia usalama
Huyu hapa huyu,nampendaa!View attachment 2490385
Mi napenda fts, kutokana na option Kama za kuongeza mkataba,kuhama ligi mbalimbali.Huyu hapa huyu,nampendaa!View attachment 2490385
Sio preference zangu kabisa.Usidharau nyeto K tunda la msimu.
Hujaona kazungumzia kula auHiyo sio starehe..ni Basic needs.
Kuna tofauti ya Basic needs na Basic wants..
Starehe ni basic want.
View attachment 2490315
Kuna la 2023?Mi napenda fts, kutokana na option Kama za kuongeza mkataba,kuhama ligi mbalimbali.
Ni shabiki wa timu na mchezaji yupi??Wine
Nimeacha pombe lkn kunywa wine nimeshindwa kuacha kabisa, kinachotokeaga ni kupumzika kwa weeks kadhaa.
Kuangalia EPL na UEFA 😒
Tv/ move/ music naweza pumzika kwa muda.
Yeah, sema kule hawapati graphics right -mfano kuweka sura za wachezaji halisi. Lilitolewaga play store kutokana na kuonekana itaizidi dream leagueKuna la 2023?
Hiyo yangu zako si ushataja au unataka kunipokonya.Sio preference zangu kabisa.
Hope hujanisemea Mimi, cause I don't like dissesKula nini weye.. hata nanihii inaliwa🙈
Nisamehe we balozi wa chama Cha mkono bao.Hiyo yangu zako si ushataja au unataka kunipokonya.
Hope umeoa, na pombe haileti tabu kwako na jamii yako.
Mh hata mi sijui ila nipo handas, nipo veveNdo yale madude ya kutafuna au??
Chelsea na watu wake… no maraaa waaaaaNi shabiki wa timu na mchezaji yupi??
Nipe kazi ya kuwa bodyguard wako
Kazungumzia kula chakula km starehe yake ndo maana na mimi nikamuuliza kuhusu kujunjana asingeweka kula wala nisingeuliza,,Kula nini weye.. hata nanihii inaliwa🙈
Kama mpirani mi chama ulaya de bruyneNisamehe we balozi wa chama Cha mkono bao.
Si umesema nyeto mzee.Kama mpirani mi chama ulaya de bruyne