Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #81
Bandiko la hospital litakuhusu.Tuma cv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandiko la hospital litakuhusu.Tuma cv
Movies zipo za kutosha, sema nikutajie mkuuNaweza kusema pombe ndo starehe yangu maana hata nisipokua nadooh naweza ipata.
Hata nikiwa na 5k, sioni starehe ya chap zaidi ya gambe.
Movie napenda saaana ila gharama yake na haidumu muda mrefu, gaming ni nzuri na nafanya sometimea ila inakula muda na kuweka upweke.
Papuchi siwezi kuiweka hapa kama mdau hapo juu alivosema hiyo ni basic need, ukiona umeanza kuiweka kama starehe basi ujana wako una tabu sana sana.
Nakutambukisha kwa mwenyekiti wako dronedrake1. Kupiga nyeto
2. Kupiga nyeto
2. Kupiga nyeto
4. Kula papuchi
5. Kula papuchi
NB: mimi ni senior jobless
Starehe yangu ni basic need,, usiniulize swali lingine tafadhaliWewe starehe yako nini Kapisikali??
Basic needs kama zipi..?? Inasemekana zimeongezeka sio tatu tenaStarehe yangu ni basic need,, usiniulize swali lingine tafadhali
Bandiko la hospital litakuhusu.
Hata mimi najua hilo mkuu tatizo ni muda wa kuzicheki na bando ndo mchawi mkuu.Movies zipo za kutosha, sema nikutajie mkuu
Sitaki maswali zaidi ujueBasic needs kama zipi..?? Inasemekana zimeongezeka sio tatu tena
Tafuta 3000 nenda kwa wenye library, waambie we ni mwenzao hivyo unataka mzigo.Hata mimi najua hilo mkuu tatizo ni muda wa kuzicheki na bando ndo mchawi mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpira wa ulaya - mimi na manchester united ni kama hadithi ya romeo na juliett.
Kuliko kwenda kutupa hela bar, We nisaidie hata hela ya msosi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fanya ivyo sasa au nikutoe upunguze stress.
DaaahMbona kujunjana haimo[emoji15], ujue imebidi nione aibu
Wakubwa mna faidi sana nadhani huyo mtot si mwingine bali ni Rushyna MANARAKumwagilia moyo kwa kiasi huku nikiwa na mtoto mzuri pembeni yangu 😋
Kuliko kwenda kutupa hela bar, We nisaidie hata hela ya msosi,
Sex is over rated.Duniani hakuna starehe kama kypeleka moto
Sielewi kabisa mkuu, we nisave bhanaAhaha ushakosea mkuu ukipewa offa chukua af shida zingine utazisema uko mbele