Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu

Princess Muro, Dar to Mwanza 2009 iyo masaa 12 kmmmk
 

Leina Tours[emoji28][emoji1430] Dar-Khm saa 12:30 jioni
 
Endelea kukumbatia unachoamini mkuu. Sijawahi panda hayo mabasi lakini kupitia mitandao ya jamii na video mbalimbali nachelea kusema kwamba hayo magari yanavunja sheria mbalimbali za barabarani. Mbaya zaidi ni hilo la Mwendokasi. Kutopata ajali sio kigezo kwamba hizo gari ziko sahihi na zinatii sheria. Cha msingi ni kuomba kwa Mungu yasitokee na wakati mwingine wahusika wakichukua tahadhari.
 
Tatizo sio kampuni, anayesababisha ajali ni madereva, wanatakiwa waachishwe kazi
 
Kuna hawa Wa STL masaa 3 Dodoma- Dar sijui unawazungumziaje hawa mtu anatoka Dar kabla ya saa 1 yupo Mwanza
 

Dar - Mby - 900km
Dar - Mza - 1100km

200km kwa tofauti ya masaa manne unamaanisha nini kusema kwamba amewahi Mkuu?
 
Naunga mkono hoja hawa jamaa wako rafu sana barabarani hasa kwenye kutanua!
 
Dar - Mby - 900km
Dar - Mza - 1100km

200km kwa tofauti ya masaa manne unamaanisha nini kusema kwamba amewahi Mkuu?

Nani amekwambia dar mwz ni km 1100 na dar mbeya ni 900 km?

Nenda kafanye research kwanza. Tanroad wana chat ya bara bara nchi nzima na umbali wa kila mkoa kwenda mkoa mwingine. Tumja google kuitazama.

Acha stori za vijiweni ambazo hazina research

Kwa kukufunza tu Tofaut ya umbali wa dar mwanza stend ya nyegezi na dar mbeya stend ya uyole kwa kusafiri kwa bara bara ni zaidi ya km 300
 
Nani amekwambia dar mwz ni km 1100 na dar mbeya ni 900 km?

Nenda kafanye research kwanza. Tanroad wana chat ya bara bara nchi nzima na umbali wa kila mkoa kwenda mkoa mwingine. Tumja google kuitazama.

Acha stori za vijiweni ambazo hazina research
Nimekuwa nikifanya safari za Mara kwa Mara baina ya hii mikoa Mkuu.
 
Barabara zetu ndo chanzo cha ajali waweke dabo road kwani shida nn.
Mfano gari likifeli breki mlima wa mbalizi ni lzm lirudi kuchinja watu
 
Huyo ALLY's STAR Nlishaapaga sipandi tena. Lilikuwa linatoka MWZ nikapandia GAIRO... Saa 4¼ Usiku nashuka MBZ! Jamaa anaOVERTAKE pale CHALINZE km Baiskeli
 
Watakubeza kuhusu hizo basi, lakini ukweli ndio huo!!!

Mamlaka tunaomba ingilieni kati kuhusu mienendo ya kampuni hizo za usafirishaji. Hii ni pamoja na mabasi mengine yasiyozingatia sheria, kanuni na utaratibu!!!
 
Nikikumbuka nilikua najifunzia kuendesha gari kwenye bus la abiria likiwa na abiria 55 ndani ya bus tena safari ndefu naendesha nusu safari chuma ina gia 8 na hata kupangua gia sijui vizuri nachoka kabisa na nilikua namwaga Moto kinoma
 
Nimeyapanda yote hayo. Mombasa Raha walikuwa wastaarabu sana kwani nili-opt kulipanda kila mara hasa Mwz-Dsm. Ally's nilipanda mara 1 nikasarenda. Bufalo na Ngorika niliyaacha kabisaaa.

Baadae nikahamia Yutong za mwanzo (Golden Intercity Bus) kabisa kutoka Mwz-Dsm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…