nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,940
Ccm wakileta mtu kama Magufuli nitawapa kura yangu,maana sasa hivi hata hakueleweki.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm wakileta mtu kama Magufuli nitawapa kura yangu,maana sasa hivi hata hakueleweki.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
We ni bendera fuata upepo, Azory gwanda ,Aquilina, na Dr ulimboka kungolewa kucha na meno ni Awamu ya nne.1. Ben Sanane
2. Azory Gwanda
3. Wananchi zaidi ya 300 wa MKIRU
4. Kushambuliwa Tundu Lissu
5. Kumteka Mo Dewji
Haifai kabisa kutokea kiongozi dizaini ya yule bwanaCCM walilazimika kumpa madaraka Magufuli kutokana na mazingira ya wakati ule ila walidhani wangeweza kumdhibiti. Magufuli akawashangaza na kuwafumba midomo hata wale ambao walidhani wangekuwa na sauti juu yake. Mmoja wa watu pekee ambaye NADHANI bado alibaki na kauwezo fulani ka kumkemea alikuwa ni Benjamin Mkapa.
Lakini kwa wengine Magufuli alikuwa too much. Si vigogo si nani, wote waliishi kwa hofu wasijue mzee anaweza akaamka na maamuzi gani juu ya maisha yao.
Sasa hivi CCM wako comfortable, Mama ameweza kuwadhibiti watu wa Magufuli. Polepole kamalizwa kisiasa kwa kupewa ubalozi na wengine kama kina Mwigulu ndiyo wanachafuliwa CV zao za kuwamaliza kabisa kisiasa.
Ila ninachoona CCM ni chama kinachotapatapa. Toka 1995 ni chama ambacho ni nusu mfu. Chochote wanachoweza kujishikizia ili waendelee tu kubaki madarakani, wanafanya hivyo. Siyo tena habari za itikadi au principles. Kwa maneno ya Kolimba, ni chama kilichopoteza dira na muelekeo.
Kesho wanaweza kumtengeneza 'Magufuli' mwingine ambaye watajiaminisha wataweza kumdhibiti tofauti ya yule wa nyuma au mazingira yatawalazimisha kumuunga mkono, na watatulazimisha tumkubali. Na kama kawaida yetu, tutakuwa tunarudia makosa ya nyuma bila kujifunza chochote kwa yaliyopita.
We kweli rababendi, Aqwilina ni wakati wa Jk? na Azory gwanda wakati wa Jk!? Ngosha aliharibu kweli akili zenu,mmekuwa mazuzuWe ni bendera fuata upepo, Azory gwanda ,Aquilina, na Dr ulimboka kungolewa kucha na meno ni Awamu ya nne.
Vp mbona jk hujampa Jina baya?
Ebu tueleweshe jinsi taswira ya nchi ilivyoharibiwa kwa mifano halisi pamoja na hasara na faida zake tofauti na sasa!..hapana.
..matendo ya Magufuli hayakuwa yanaendana na mtu ambaye yuko karibu na anashauriwa na Ben Mkapa.
..Magufuli angekuwa anashauriwa na Mkapa asingeharibu taswira ya nchi kimataifa na kidiplomasia kiasi kile.
Kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa - Mwl. JK Nyerere.Na kama kawaida yetu, tutakuwa tunarudia makosa ya nyuma bila kujifunza chochote kwa yaliyopita.
Na wewe inaruhusiwa kuomba hiyo dua, CCM ni janga la kitaifa wote tushiriki kuitokomezaAjabu dua hizo hamzielekezi kwenye kuomba kuondokana na mizizi ya matatizo yetu kama kuondoa ccm au kupata katiba mpya.
We ni bendera data upepo, Azory gwanda ,Aquilina, na Dr ulimboka kungolewa kucha na me ni Awamu ya nne.1. Ben Sanane
2. Azory Gwanda
3. Wananchi zaidi ya 300 wa MKIRU
4. Kushambuliwa Tundu Lissu
5. Kumteka Mo Dewji
Usikurupuke kama Nyumbu. Tafuta recordsWe kweli rababendi, Aqwilina ni wakati wa Jk? na Azory gwanda wakati wa Jk!? Ngosha aliharibu kweli akili zenu,mmekuwa mazuzu
HaiwezekaniCCM walilazimika kumpa madaraka Magufuli kutokana na mazingira ya wakati ule ila walidhani wangeweza kumdhibiti. Magufuli akawashangaza na kuwafumba midomo hata wale ambao walidhani wangekuwa na sauti juu yake. Mmoja wa watu pekee ambaye NADHANI bado alibaki na kauwezo fulani ka kumkemea alikuwa ni Benjamin Mkapa.
Lakini kwa wengine Magufuli alikuwa too much. Si vigogo si nani, wote waliishi kwa hofu wasijue mzee anaweza akaamka na maamuzi gani juu ya maisha yao.
Sasa hivi CCM wako comfortable, Mama ameweza kuwadhibiti watu wa Magufuli. Polepole kamalizwa kisiasa kwa kupewa ubalozi na wengine kama kina Mwigulu ndiyo wanachafuliwa CV zao za kuwamaliza kabisa kisiasa.
Ila ninachoona CCM ni chama kinachotapatapa. Toka 1995 ni chama ambacho ni nusu mfu. Chochote wanachoweza kujishikizia ili waendelee tu kubaki madarakani, wanafanya hivyo. Siyo tena habari za itikadi au principles. Kwa maneno ya Kolimba, ni chama kilichopoteza dira na muelekeo.
Kesho wanaweza kumtengeneza 'Magufuli' mwingine ambaye watajiaminisha wataweza kumdhibiti tofauti ya yule wa nyuma au mazingira yatawalazimisha kumuunga mkono, na watatulazimisha tumkubali. Na kama kawaida yetu, tutakuwa tunarudia makosa ya nyuma bila kujifunza chochote kwa yaliyopita.
huo ni ufala..ninaishi, na nimelelewa ktk familia inayozingatia msemo wa , " mgeni njoo mwenyeji apone. "
huo ni ufala
Sasa mbona mliomba Magufuli afe na kuacha kuomba ccm ife? Matokeo yake bado mnaendelea kuangaika na matatizo yenu yaleyale ya siku zote.Na wewe inaruhusiwa kuomba hiyo dua, CCM ni janga la kitaifa wote tushiriki kuitokomeza
Nyie vibaraka wa dikteta nasikia hamlipi tozo na mna maduka na masoko yenu maalum.Sasa mbona mliomba Magufuli afe na kuacha kuomba ccm ife? Matokeo yake bado mnaendelea kuangaika na matatizo yenu yaleyale ya siku zote.
Wewe mwenye akili. Unatumia njia GANI? KuiungANisha "CHADEMA" na "CCM"Vyama ni wanachama ambao ni watu. Huo upya wa vyama unatoka wapi wakati kina Odinga ni walewale kila uchaguzi! Utasikia leo odm, kesho narc, kesho kutwa azimio...
Hivi chadema ingeshinda 2015 kuna mtu mwenye akili angetamba kwamba ccm imeondoshwa madarakani?
Kama hujui kuwa Magufuli alihusika na mauaji hayo basi wewe hufai kuwa Jukwaa la Siasa la JF. Nenda kule Chit Chat na CelebritiesThibitisha.
Alikuwa ni mshamba siyo genius. Genius person asingetumia njia ile aliyoitumia kumuua Tundu Lissu!! Angekuwa genius asingekufa kwa COVID-19.Kama ni kweli basi magufuli alikuwa ni GENIUS
Rabbon huna ubongo wa ku argue humu JF. Soma halafu pita mbali. Aquilina amekufa Januari 2018 wakati yule Kichaa wenu kamnunua Ally Mtulia hivyo basi ukaitishwa uchaguzi mdogo. Azory Gwanda naye aliuliwa Novemba 2018 akiripoti mauaji ya Kibiti.We ni bendera fuata upepo, Azory gwanda ,Aquilina, na Dr ulimboka kungolewa kucha na meno ni Awamu ya nne.
Vp mbona jk hujampa Jina baya?
We unadhani CCM wanategemea the so called 'kura yako?' 😀😀Ccm wakileta mtu kama Magufuli nitawapa kura yangu,maana sasa hivi hata hakueleweki.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Hao uliowataja ni takataka gani1. Ben Sanane
2. Azory Gwanda
3. Wananchi zaidi ya 300 wa MKIRU
4. Kushambuliwa Tundu Lissu
5. Kumteka Mo Dewji