round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Na hii ipo zaidi kwa bongo, simu mpya nyingi zinatoka kwa kuongezewa features ambazo wabongo hawazitumii kabisa au nchi haina miundo mbinu yake. mashahidi ni nyie hata humu jamii forums jukwaa la tech lina wadau wachache,
Matumizi ya simu ni kupiga simu, kuchati, kusikiliza muziki, kurushiana connection, kujiweka filter, n.k. THATS IT !! Nje ya hapo maybe ile mikwara mbuzi ya kutumia kitambi kusafisha screen.
On average unaweza kupata simu medium kwa bajeti ya laki 3 - 5 lakini tunaelewa kuna watu wanataka simu zenye majina ya kampuni kubwa, ziwe na 5G, system za kisasa, camera nzuri, n.k. katika hali kama hii ukiwa na bajeti ya laki 6 hadi milioni 1 unapata mashine ya viwango.
Unanunua simu ya bei mbaya kioo kikipasuka uambiwe milioni 1 jasho linaanza kukutoka, umefosi hapo.
Navyoona hizi simu za milioni 1 na laki kadhaa, milioni 2, milioni 3, n.k. maybe ni kwa celebrities wanaojiongeza kwenye kujibrand, wakuu wa taasisi nyeti wanao mingle international levels, matajiri, n.k.
WATANZANIA WENGI HAWAPIGI HATUA KWASABABU YA TAMAA YA KUISHI MAISHA YANAYOWAZIDI WANAPOPATA VIJISENTI BADALA YA KUWEKEZA & KUSAVE.
Matumizi ya simu ni kupiga simu, kuchati, kusikiliza muziki, kurushiana connection, kujiweka filter, n.k. THATS IT !! Nje ya hapo maybe ile mikwara mbuzi ya kutumia kitambi kusafisha screen.
On average unaweza kupata simu medium kwa bajeti ya laki 3 - 5 lakini tunaelewa kuna watu wanataka simu zenye majina ya kampuni kubwa, ziwe na 5G, system za kisasa, camera nzuri, n.k. katika hali kama hii ukiwa na bajeti ya laki 6 hadi milioni 1 unapata mashine ya viwango.
Unanunua simu ya bei mbaya kioo kikipasuka uambiwe milioni 1 jasho linaanza kukutoka, umefosi hapo.
Navyoona hizi simu za milioni 1 na laki kadhaa, milioni 2, milioni 3, n.k. maybe ni kwa celebrities wanaojiongeza kwenye kujibrand, wakuu wa taasisi nyeti wanao mingle international levels, matajiri, n.k.
WATANZANIA WENGI HAWAPIGI HATUA KWASABABU YA TAMAA YA KUISHI MAISHA YANAYOWAZIDI WANAPOPATA VIJISENTI BADALA YA KUWEKEZA & KUSAVE.