Ni ujinga kununua simu ya zaidi ya milioni kama haina cha ziada katika shughuli zako unless you are rich , simu nyingi ≤ milioni 1 zinajotosheleza.

Ni ujinga kununua simu ya zaidi ya milioni kama haina cha ziada katika shughuli zako unless you are rich , simu nyingi ≤ milioni 1 zinajotosheleza.

Ukifika page ya 3 huko wanaume wenye iphone wataanza kuchambwa
20250311_033449.jpg
 
Na hii ipo zaidi kwa bongo, simu mpya nyingi zinatoka kwa kuongezewa features ambazo wabongo hawazitumii kabisa au nchi haina miundo mbinu yake. mashahidi ni nyie hata humu jamii forums jukwaa la tech lina wadau wachache,

Matumizi ya simu ni kupiga simu, kuchati, kusikiliza muziki, kurushiana connection, kujiweka filter, n.k. THATS IT !! Nje ya hapo maybe ile mikwara mbuzi ya kutumia kitambi kusafisha screen.

On average unaweza kupata simu itayokidhi matumizi yako kwa bajeti ya laki 3 - 5 lakini tunaelewa kuna watu wanataka simu zenye majina makubwa, zisiwe outdated sana, camera nzuri, n.k. katika hali hio bajeti ya laki 6 hadi milioni 1 unaweza kupata mashine ya viwango.

Unanunua simu ya bei mbaya kioo kikipasuka uambiwe milioni 1 jasho linaanza kukutoka, umefosi.

Navyoona hizi simu za milioni 1 na laki kadhaa, milioni 2, milioni 3, n.k. maybe ni kwa celebrities wanaojiongeza kwenye kujibrand, wakuu wa taasisi nyeti wanao mingle international levels, matajiri, n.k.

WATANZANIA WENGI HAWAPIGI HATUA KWASABABU YA TAMAA YA KUISHI MAISHA YANAYOWAZIDI WANAPOPATA VIJISENTI BADALA YA KUWEKEZA & KUSAVE.
Uko sahihi wala hujakosea uko sahihi kabisa ila waigizaji wa maisha watakupinga na kukuita una wivu.
Mimi shughuli zangu zinahitaji simu muda mwingi so nikanunua simu ya laki 6 ina features zote muhimu ninazozihitaji kuanzia spidi yake iko vizuri,Camera iko vizuri haina ukungu hata kidogo na ina uwezo wa kuzoom kitu kutoka umbali wowote na kuicapture.
Sasa mtu unamiliki simu ya milioni 3 halafu umepanga kwenye geto la elfu 40 ni kwa nini hiyo pesa usingenunua kiwanja uanze ujenzi polepole.
 
Kwa hoja yako akitokea mwingine akasema hata simu ya laki tatu haifai. Kwanini ununue simu ya laki tatu? Simu ya elfu themanini inatosha anakuwa sahihi.
 
Na hii ipo zaidi kwa bongo, simu mpya nyingi zinatoka kwa kuongezewa features ambazo wabongo hawazitumii kabisa au nchi haina miundo mbinu yake. mashahidi ni nyie hata humu jamii forums jukwaa la tech lina wadau wachache,

Matumizi ya simu ni kupiga simu, kuchati, kusikiliza muziki, kurushiana connection, kujiweka filter, n.k. THATS IT !! Nje ya hapo maybe ile mikwara mbuzi ya kutumia kitambi kusafisha screen.

On average unaweza kupata simu itayokidhi matumizi yako kwa bajeti ya laki 3 - 5 lakini tunaelewa kuna watu wanataka simu zenye majina makubwa, zisiwe outdated sana, camera nzuri, n.k. katika hali hio bajeti ya laki 6 hadi milioni 1 unaweza kupata mashine ya viwango.

Unanunua simu ya bei mbaya kioo kikipasuka uambiwe milioni 1 jasho linaanza kukutoka, umefosi.

Navyoona hizi simu za milioni 1 na laki kadhaa, milioni 2, milioni 3, n.k. maybe ni kwa celebrities wanaojiongeza kwenye kujibrand, wakuu wa taasisi nyeti wanao mingle international levels, matajiri, n.k.

WATANZANIA WENGI HAWAPIGI HATUA KWASABABU YA TAMAA YA KUISHI MAISHA YANAYOWAZIDI WANAPOPATA VIJISENTI BADALA YA KUWEKEZA & KUSAVE.
Usipangie wenzio, ishi kwa uwezo wako. Milioni ni pesa kama ilivyo 100,000 au 10,000 kwa mwingine.

Acha anunue hata ya bilioni akaweke ndani bila kuitumia.

Hujawahi ona mtu ananunua nguo ya 5,000 halafu anavaa mara moja au havai kabisa anagawa au anadekia? Vivyo hivyo na mwenye kipato kikubwa anaweza nunua nguo ya 500,000 kisha asivae. Sembuse simu?

Usipangie watu na kulazimisha ukomo wako wa kipato na mawazo ndio iwe kiwango (standard) ya wengine kuishi.
 
Watz ni wanoko sana msipangie watu maisha arooo,
hamna mtu asiyependa vtu vzuri sema ni kwamba watu hawana hela , sasa utanunuaje simu ya million 3 wakat kwako maisha tia maji tia maji , kwanza kwa michongo ya sa hv kumiliki simu mpak tatu ni jambo la kawaida sana na hapo unatakiwa uwe na simu yenye ram super efficiency , simu za namna hii haziuziwi kwa pesa ya ngama… utafelisha michongo
 
Ikiwa unatumia simu katika hayo mambo uliyoyataja hata ya 100K inatosha Sana .
 
Na hii ipo zaidi kwa bongo, simu mpya nyingi zinatoka kwa kuongezewa features ambazo wabongo hawazitumii kabisa au nchi haina miundo mbinu yake. mashahidi ni nyie hata humu jamii forums jukwaa la tech lina wadau wachache,

Matumizi ya simu ni kupiga simu, kuchati, kusikiliza muziki, kurushiana connection, kujiweka filter, n.k. THATS IT !! Nje ya hapo maybe ile mikwara mbuzi ya kutumia kitambi kusafisha screen.

On average unaweza kupata simu itayokidhi matumizi yako kwa bajeti ya laki 3 - 5 lakini tunaelewa kuna watu wanataka simu zenye majina makubwa, zisiwe outdated sana, camera nzuri, n.k. katika hali hio bajeti ya laki 6 hadi milioni 1 unaweza kupata mashine ya viwango.

Unanunua simu ya bei mbaya kioo kikipasuka uambiwe milioni 1 jasho linaanza kukutoka, umefosi.

Navyoona hizi simu za milioni 1 na laki kadhaa, milioni 2, milioni 3, n.k. maybe ni kwa celebrities wanaojiongeza kwenye kujibrand, wakuu wa taasisi nyeti wanao mingle international levels, matajiri, n.k.

WATANZANIA WENGI HAWAPIGI HATUA KWASABABU YA TAMAA YA KUISHI MAISHA YANAYOWAZIDI WANAPOPATA VIJISENTI BADALA YA KUWEKEZA & KUSAVE.
Kazi ya pesa ni kutumia, kama ipo tumia tu mkuu...
 
Sinywi pombe
Sivuti sigara
Sina mzuka na mpira
Sina micheuko

Ila kwenye simu huniambii kitu.

Hiyo inamaanisha kwamba kila mtu ana kitu chake anachokipenda na kinachommaliziaga pesa, ndiyo maana mm na ww huenda tuna maisha sawa regardless ww una simu ya laki 3 na mm nina ya milioni 2.
 
As long they can afford, Let them buy.

Kuna kifirst year nilikua naluka nacho, Kimuonekano tu kinaonekana kinastrugle kuishi lkn kinalazimisha ndugu zake wakinunulie iphone 12.
 
Uko sahihi wala hujakosea uko sahihi kabisa ila waigizaji wa maisha watakupinga na kukuita una wivu.
Mimi shughuli zangu zinahitaji simu muda mwingi so nikanunua simu ya laki 6 ina features zote muhimu ninazozihitaji kuanzia spidi yake iko vizuri,Camera iko vizuri haina ukungu hata kidogo na ina uwezo wa kuzoom kitu kutoka umbali wowote na kuicapture.
Sasa mtu unamiliki simu ya milioni 3 halafu umepanga kwenye geto la elfu 40 ni kwa nini hiyo pesa usingenunua kiwanja uanze ujenzi polepole.
Aina gani hiyo mkuu?
 
Wivu + umaskini tuu

Hata mwenye passo humuona anayeendesha Nissan terra , Toyota fortuner, ford everest anachezea hela 😀😀😀

Jikune mkono unapofika tafadhali
 
hamna mtu asiyependa vtu vzuri sema ni kwamba watu hawana hela , sasa utanunuaje simu ya million 3 wakat kwako maisha tia maji tia maji , kwanza kwa michongo ya sa hv kumiliki simu mpak tatu ni jambo la kawaida sana na hapo unatakiwa uwe na simu yenye ram super efficiency , simu za namna hii haziuziwi kwa pesa ya ngama… utafelisha michongo
Mimi nikiwa na simu ya milioni 3 lakini nakula mlo mmoja au nalala chini inakuhusu nini wewe?? Husika na maisha yako yangu hayakuhusu
 
A23 ya 350k ila bado kuna wadau wansema jamaa anafuja pesa
 
Mkuu umeanza lini kupangia watu simu za kununua

Ata kama hatuna nyumba ila flagship ni muhimu
 
Back
Top Bottom