binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Watuache kabisa wasituguseπ yangu juzi tu imenunuliwa 3M laki 6 na elfu 50.
Hamna ujinga wowote, Tuvumiliane wakuu.
Hata kama haumudu, kuna mtu atamudu kwa ajili yako.Hazigawiwi bure kwahiyo mtu akiwq nayo ujue anazo za kumudu simu husika
Ndio ndioπ π nimekupata kwa uzuri kabisa simu ya gharama ni nzuri asikudanganye mtu, mi nilipoteza hii nilihaha vibaya muno, naulizwa unataka ipi ya 2025, halafu nijishaue kisa kuna mjf mmoja kasema ni ujinga bla bla bla blaaaaaπππHata kama haumudu, kuna mtu atamudu kwa ajili yako.
π
Kama simu inakuingia pesa, ahhh we nunua tu, ni sehemu ya mtajiKatika vitu sitojutia ni kununua simu ya 2.5M ikaja niingizia 30M
after 2yrs
na simu ipo na ukali wake ule ule
πππ Ila ujumbe umefikaWivuuuu mama wivu
Hayo nimetalia maanani, kwa watu wanaotaka simu zenye majina makubwa bado wanaweza kupata mashine kali kwa β€ milioniHiyo ni kweli lakini fanya ufanyavyo hakikisha hautumii Infinix, Tecno, Redmi, oppo na simu zingine zenye majina ya ajabu ajabu.
Wachana na uongo muone πMweeeeeh yaani milioni ninunue simuπββοΈπββοΈπββοΈ
Tecno tu ze wolidi. Haka kasimu kangu nilinunua laki, ila kuna muda hadi naiota, ndio iwe milioniπββοΈπββοΈπββοΈ
Vitu vya gharama vinamaana kwa wenye mpunga ila sio wewe kapuku unaforce ili uonekane na wewe unazo huo ni ujingaMmeshawahi vaa saa ya gharama au vyeni hivi vya silver au Gold. Wote mliocomment kwamba sio issue simu ya gharama. Mkijipa majibu hapo . Utajua nini maana ya kitu cha gharama kizuri.
Hajawapangia maisha ila ameongelea kua huo ni uzwazwaKumpangia mtu maisha kama vile anatumia pesa zako ni utoto na ushamba, mtu hata akiamua kununua simu ya milioni 2 na analala kwenye godoro na mkeka ni maisha yake wewe hayakuhusu, usione mawazo yako wewe ni bora kuliko ya wengine kila mmoja na maisha yake
Bro laki yangu inaniuma hadi leoπππWachana na uongo muone π
Kama mhusika hajadhulumu wala kuiba, utampangiaje namna ya kutumia fedha yake mwanangu? Heri anayenunua simu kuliko ngono akaishia ukimwiNa hii ipo zaidi kwa bongo, simu mpya nyingi zinatoka kwa kuongezewa features ambazo wabongo hawazitumii kabisa au nchi haina miundo mbinu yake. mashahidi ni nyie hata humu jamii forums jukwaa la tech lina wadau wachache,
Matumizi ya simu ni kupiga simu, kuchati, kusikiliza muziki, kurushiana connection, kujiweka filter, n.k. THATS IT !! Nje ya hapo maybe ile mikwara mbuzi ya kutumia kitambi kusafisha screen.
On average unaweza kupata simu itayokidhi matumizi yako kwa bajeti ya laki 3 - 5 lakini tunaelewa kuna watu wanataka simu zenye majina makubwa, zisiwe outdated sana, camera nzuri, n.k. katika hali hio bajeti ya laki 6 hadi milioni 1 unaweza kupata mashine ya viwango.
Unanunua simu ya bei mbaya kioo kikipasuka uambiwe milioni 1 jasho linaanza kukutoka, umefosi.
Navyoona hizi simu za milioni 1 na laki kadhaa, milioni 2, milioni 3, n.k. maybe ni kwa celebrities wanaojiongeza kwenye kujibrand, wakuu wa taasisi nyeti wanao mingle international levels, matajiri, n.k.
WATANZANIA WENGI HAWAPIGI HATUA KWASABABU YA TAMAA YA KUISHI MAISHA YANAYOWAZIDI WANAPOPATA VIJISENTI BADALA YA KUWEKEZA & KUSAVE.