Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Wapi hiyo imeandikwa?

Israel haitambui ukristo Wala uislam Zionist wao kipaombele Chao ni Judaism,

Na Wala HUWEZI shangaa alivyolipua baptist church hospital hapo Gaza.

Sasa niambie,unambariki vip MTU anaemwaga damu YAKO?

nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Mwanzo 12:3
 

Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Yohana 4:22
 

Walimkataa ila yesu aliuliwa na serikali ya warumi,soma historia vzr.
 

You are talking about it like all of these things just started tarehe 7?

IDF kwani kuua wapelestine imeanza Leo?au kwani Hadi HAMAS inaanza kujiform na kuanza operation zake hujui kuwa chanzo chake ni Retaliation kwa forceful occupation ambayo IDF imekuwa inaendelea kuifanya??

So, Israel ndiyo pekee yenye Haki ya kuua wapelestine, wapelestine wakijibu mashambulizi wao ni magaidi siyo?

Au unataka wawe na siasa kama za Yasser Arafat au Mahmoud Abbas,watu wanauawa wao wanataka negotion table ambayo haijawahi zaa matunda na illegal occupation ikiendelea na vifo vikiongezeka siyo?

Dunia haiwezi kuwa hivyo.
 
Acha mipalestina iuawe, kwanini waanzishe ugomvi wasio kuwa na ubavu nao? Ua kima hao
 
nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Mwanzo 12:3
Sasa, which is which,ilitakiwa maneno hayo wa kwanza kuyafuata wawe hao wenyewe Wana wa Israel, sasa wewe hujiulizi why wao walikataa neno Hilo na kumkataa hadi na Jesus Christ?

Hawakumuamini,na hadi Leo hawamtaki,wao ni Judaism ndiyo Imani Yao kuu,yana maana Gani maandiko hayo kama hata wahusika wanaosemwa wabarikiwe hawayataki??

Hilo linahitaji hata kwenda kindargatten school kulielewa?
 

Israel sasa yashambulia makanisa baada ya kushambulia Misikiti na hospitali Ghaza​

 
Upo sahihi mkuu, hii vita ni mwendelezo tuu wa ubeberu wa magharibi kupitia Israel dhidi ya Wapalestina wanyonge.

Inasikitisha sana kuona 'Arab league' imebakia kimya.

 
Au unataka wawe na siasa kama za Yasser Arafat au Mahmoud Abbas,watu wanauawa wao wanataka negotion table ambayo haijawahi zaa matunda na illegal occupation ikiendelea na vifo vikiongezeka siyo?
Sasa hii ya kutumia nguvu ndio matokeo yake haya mabaya sana. Wanaoteseka ni raia wasio na hatia kwa strategy za kipumbavu za hamas.
 
Acha uchonganishi hakuna anayefurahia mtu akitolewa uhai ila mbona ulikuwa kimya walipouwawa waisraeli au kisa ni wa kristo
 

Arab league haiwez fanya chochote Kwa sababu ya maslahi ya kiuchumi...

Mind that serikali ya marekani Jews Wana Influence kubwa sana, that's why unaona support kubwa Israel anaipata kutoka Kwa USA na nchi za ulaya.

Ila ukweli dunia inaufahamu.
 

Sio ya kuchezea maana mwenyewe umejionea walichokifanya baada ya ujinga wenu, leo mnaanza kulialia mkitafuta kuhurumiwa.
 
Acha uchonganishi hakuna anayefurahia mtu akitolewa uhai ila mbona ulikuwa kimya walipouwawa waisraeli au kisa ni wa kristo

Unaona Sasa,nani kakuambia WAISRAEL ni wakristo?

Mimi siwezi kufurahia muisraeli kuuliwa,hata hao wapelestine waliouliwa hapo hospital tambua kuwa wakristo wapo pia...ila Israel dini Yao ni Judaism na siyo ukristo.
 
Nakuelewa sana mkuu tena sanaaaaaa. Lakini haya mauaji yanayotokea leo huko Gaza kama isingekuwa issue ya uvamizi wa Hamas je leo tungezungumza haya?
 
Unaona Sasa,nani kakuambia WAISRAEL ni wakristo?

Mimi siwezi kufurahia muisraeli kuuliwa,hata hao wapelestine waliouliwa hapo hospital tambua kuwa wakristo wapo pia...ila Israel dini Yao ni Judaism na siyo ukristo.
Binadamu ni binadamu tu bossy kusemea dini unakosea so ishi kwa kuishi sio kwa kukariri
 
Sio ya kuchezea maana mwenyewe umejionea walichokifanya baada ya ujinga wenu, leo mnaanza kulialia mkitafuta kuhurumiwa.

Wewe hutokuja uelewe, tambua wanaoumia na wewe ukishangilia wapo wakristo wenzako pia,nani umeiona anatia HURUMA??

Unashangaza sana, bomu unaambiwa limepigwa kwenye hospital ya kanisa,Sasa iweje unasema Mimi natia huruma?natia huruma kisa waislam wenzangu wameuliwa au wapelestine wameuliwa??

Nachokueleza unaposhangilia,basi utambue waliokufa siyo waislam pekee,na ndug zako wakristo wapo pia...
 
Binadamu ni binadamu tu bossy kusemea dini unakosea so ishi kwa kuishi sio kwa kukariri

That's right,kwanza nimekueleza WAISRAEL siyo wakristo.

Pili nimekueleza WAISRAEL wamepiga bomu katika hospital inayomilikiwa na wakristo wapelestine,na siyo waislam.

Tatu nakueleza kuwa hakuna anaeshangilia MAUAJI,ila tunachokuelza Israel imekuwa inayafanya hayo tokea creation ya Taifa Hilo mwaka 1948,Hamas imeanza mwaka 1987 baada ya kuona umwagaji damu ya Israel umekuwa hauna mwisho kwao tambua Hilo.
 

Ndio maana nikasema acheni kuwachokonoa wale watu, maana wanapojibu mashambulizi yenu wanapiga bila kuchagua mnasababisha na watu wa madhehebu mengine waliopo katikati yenu wanaumia, mjifunze kukaa kwa amani na madhehebu yote acheni kulazimisha ugomvi kwa kila dhehebu.

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…