jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wapi hiyo imeandikwa?
Israel haitambui ukristo Wala uislam Zionist wao kipaombele Chao ni Judaism,
Na Wala HUWEZI shangaa alivyolipua baptist church hospital hapo Gaza.
Sasa niambie,unambariki vip MTU anaemwaga damu YAKO?
Hao ni Wakristo wasiojitambua, wanashindwa kuelewa utume wa Yesu Kristo ulimwenguni. Kwamba Yesu alikuja kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu wote wakiwemo hao wayahudi na wapalestina. Ni ujinga kudhani Mungu yupo kwa ajili ya Waisrael tu.
Kumbuka ni hao hao wayahudi waliomuua Yesu na laana hiyo ya kumkataa Masihi ndo ilipelekea Yerusalem kuharibiwa mwaka 70A.D na jemedari Tito wa dola ya Rumi iliyokuwa inaitawala Israel Kama koloni lake.
Huyo abbas hana tofauti na zitto na CCM [emoji1787]Kweli kabisa
Na Wapalestina wanatakiwa wawe Wamoja maana Mahmoud Abbas ni Kiongozi aliyestaaribika
Hao ni Wakristo wasiojitambua, wanashindwa kuelewa utume wa Yesu Kristo ulimwenguni. Kwamba Yesu alikuja kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu wote wakiwemo hao wayahudi na wapalestina. Ni ujinga kudhani Mungu yupo kwa ajili ya Waisrael tu.
Kumbuka ni hao hao wayahudi waliomuua Yesu na laana hiyo ya kumkataa Masihi ndo ilipelekea Yerusalem kuharibiwa mwaka 70A.D na jemedari Tito wa dola ya Rumi iliyokuwa inaitawala Israel Kama koloni lake.
Ila ni akili kufurahia na kuunga mkono mauaji ya Jumamosi ya tarehe 7? Familia za Israel xilipovamiwa na Hamas na kuuawa na kutekwa?
Je ni sahihi kufurahia mauji ya watu waluokuwa wanaendesha magari yao wasio kuwa na Silaha kuuawa na Hamas?
Je ni sahihi kufurahia mauaji ya watoto wa ki Israel na kuwekwa kwenye Cage kama kuku? Huku wakirekodiwa na kudhihaki.
Je ni Sawa kubaliki kauli zinazotolewa na mataifa ya uarabu kuifuta Israel katika uso wa Dunia?
Vuta picha kama Israel isingekuwa na Irone Dome je leo Israel ingekuwepo? kwa kuzingatia idadi ya makombora yaliyorushwa na Hamas?
Je? Makombora yaliyokuwa yanarushwa kwenda Israel yakazuiliwa na Irone Dome yalikuwa yanalenga military object?
Hakuna anayekubali mauaji ya binadamu, lakini mlitaka Israel akae kimya apigwe tu?
Africa wanakufa watu wangapi kwaajili ya vita? Tumewahi andika nyuzi za kuumia na kulaani kwa kiwango hiki yanayotokea Congo, Somalia, msumbiji, sudan na Nigeria? Au kwasababu ni wa Africa tunaona ni Sawa wao kufa na kuuawa, vifo vya mataifa ya Africa vina tofauti gani na Israel na Palestinians?
Ukweli ni mchungu kuwa kuna dini zinafundisha chuki na ndio chanzo cha ugaidi,
To all that above what are the military target anticipated by Hamas?
It is true kwamba even war has rules, but in battle field things are vice versa.
Wacha OPERATION IRON SWORD IFANYE KAZI KWANI WASIPOJITETEA WATAFUTWA KATIKA USO WA DUNIA.
GOT IT?
Acha mipalestina iuawe, kwanini waanzishe ugomvi wasio kuwa na ubavu nao? Ua kima haoFriends and Enemies,
Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.
Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.
Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.
I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.
Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?
HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.
Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Sasa, which is which,ilitakiwa maneno hayo wa kwanza kuyafuata wawe hao wenyewe Wana wa Israel, sasa wewe hujiulizi why wao walikataa neno Hilo na kumkataa hadi na Jesus Christ?nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
Mwanzo 12:3
Acha mipalestina iuawe, kwanini waanzishe ugomvi wasio kuwa na ubavu nao? Ua kima hao
Upo sahihi mkuu, hii vita ni mwendelezo tuu wa ubeberu wa magharibi kupitia Israel dhidi ya Wapalestina wanyonge.Friends and Enemies,
Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.
Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.
Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.
I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.
Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?
HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.
Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Sasa hii ya kutumia nguvu ndio matokeo yake haya mabaya sana. Wanaoteseka ni raia wasio na hatia kwa strategy za kipumbavu za hamas.Au unataka wawe na siasa kama za Yasser Arafat au Mahmoud Abbas,watu wanauawa wao wanataka negotion table ambayo haijawahi zaa matunda na illegal occupation ikiendelea na vifo vikiongezeka siyo?
Upo sahihi mkuu, hii vita ni mwendelezo tuu wa ubeberu wa magharibi kupitia Israel dhidi ya Wapalestina wanyonge.
Inasikitisha sana kuona 'Arab league' imebakia kimya.
State Department official resigns over Biden’s handling of Israel-Gaza war
Official involved in arms transfers to allies resigns in protest over Biden’s decision to boost military aid to Israel.www.google.com
Israel Siyo Taifa la kuchezea hiyo ni kutokana na fikra zako.
Unapozungumza vitu tumia basi japo ubongo ili ueleweke, before 1948 na tukio la holocaust, Hitler alivyopanga kuangamiza Hiko kizazi choote dunia ilikua pamoja na Jews kama wanadamu wenzao kutokana na attrocities zile walizofanyiwa..
Unaposema eti siyo Taifa la kuchezea,Sasa taifa lipi Lina Haki ya kuchezewa?
Linapokuja suala la uhai binadamu wote ni sawa tuh
Acha uchonganishi hakuna anayefurahia mtu akitolewa uhai ila mbona ulikuwa kimya walipouwawa waisraeli au kisa ni wa kristo
Nakuelewa sana mkuu tena sanaaaaaa. Lakini haya mauaji yanayotokea leo huko Gaza kama isingekuwa issue ya uvamizi wa Hamas je leo tungezungumza haya?You are talking about it like all of these things just started tarehe 7?
IDF kwani kuua wapelestine imeanza Leo?au kwani Hadi HAMAS inaanza kujiform na kuanza operation zake hujui kuwa chanzo chake ni Retaliation kwa forceful occupation ambayo IDF imekuwa inaendelea kuifanya??
So, Israel ndiyo pekee yenye Haki ya kuua wapelestine, wapelestine wakijibu mashambulizi wao ni magaidi siyo?
Au unataka wawe na siasa kama za Yasser Arafat au Mahmoud Abbas,watu wanauawa wao wanataka negotion table ambayo haijawahi zaa matunda na illegal occupation ikiendelea na vifo vikiongezeka siyo?
Dunia haiwezi kuwa hivyo.
Binadamu ni binadamu tu bossy kusemea dini unakosea so ishi kwa kuishi sio kwa kukaririUnaona Sasa,nani kakuambia WAISRAEL ni wakristo?
Mimi siwezi kufurahia muisraeli kuuliwa,hata hao wapelestine waliouliwa hapo hospital tambua kuwa wakristo wapo pia...ila Israel dini Yao ni Judaism na siyo ukristo.
Sio ya kuchezea maana mwenyewe umejionea walichokifanya baada ya ujinga wenu, leo mnaanza kulialia mkitafuta kuhurumiwa.
Binadamu ni binadamu tu bossy kusemea dini unakosea so ishi kwa kuishi sio kwa kukariri
Wewe hutokuja uelewe, tambua wanaoumia na wewe ukishangilia wapo wakristo wenzako pia,nani umeiona anatia HURUMA??
Unashangaza sana, bomu unaambiwa limepigwa kwenye hospital ya kanisa,Sasa iweje unasema Mimi natia huruma?natia huruma kisa waislam wenzangu wameuliwa au wapelestine wameuliwa??
Nachokueleza unaposhangilia,basi utambue waliokufa siyo waislam pekee,na ndug zako wakristo wapo pia...