Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Walishabikia sana humu na kuchekelea, kibao kilipogeuzwa leo wanaanzisha kila aina ya nyuzi za kutafuta huruma.
Israel sio taifa la kuchezea, wenyewe hula kiapo kinachoitwa Samson option, ni kiapo cha hatari sana ambacho inapaswa kufahamishwa, siku hawa na mikanzu yao wataifikisha Israel ukingoni tutaaumia sote ikiwemo Wakristo, Wabudha na madhehebu yote.
Baada ya Hamas kuuwa waisraeli asilimia kubwa ya waislamu walikuja hapa na kushangilia kuwa Hamas wamefanikiwa kwa asilimia 100 na kwamba allah yupo pamoja nao

Baada ya Israel kujibu sasa wanalialia na kulaumu.
wamlaumu allah Alie watuma washambulie waisraeli maana allah anaunga mkono kuwauwa wayahudi.
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Hata two states ni ngumu kutekelezeka, nani atachukua miji ya Jerusalem, Nazareth, Bethelehem? Mipaka ya Israel na Palestine itaanzia wapi na iishie wapi?
 
Baada ya Hamas kuuwa waisraeli asilimia kubwa ya waislamu walikuja hapa na kushangilia kuwa Hamas wamefanikiwa kwa asilimia 100 na kwamba allah yupo pamoja nao

Baada ya Israel kujibu sasa wanalialia na kulaumu.
wamlaumu allah Alie watuma washambulie waisraeli maana allah anaunga mkono kuwauwa wayahudi.

Ni Lin wakristo mlio wengi mmesimama kupinga umwagaji damu unaofanywa na WAISRAEL dhidi ya wapelestine ingawa hata Ikiwa ndani ya wapelestine Kuna wakristo wengi?

Na wengi mkisema kwamba Israel ni Taifa Teule la Mungu?
 
Hata two states ni ngumu kutekelezeka, nani atachukua miji ya Jerusalem, Nazareth, Bethelehem? Mipaka ya Israel na Palestine itaanzia wapi na iishie wapi?

Before 1948 nani alikuwa anaikalia mipaka hiyo,Haina ugumu wowote,ila ni hila za watu wenye maslahi Yao hususan USA na UE Countries
 
Kwanini asinge sema Dunia kwa ujumla ilaani vita hiyo asingetaja dini Kuna vitu hata kama ni mwanadini inabidi usiweke udini
Yeye ni kiongozi wa nchi ya JAMHURI YA KIISLAMU YA IRANI. Pigia neno ya KIISLAMU. NAtaka nimsikie PAPA nae akisema WAKIRISTU WOTE DUNIANI wawasaidie wapalestina
 
"tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides"

Naunga mkono Hoja , natamani FaizaFoxy asome huu Uzi ili ili ajifunze kuona thamani ya uhai wa watu na sio kushabikia vita watu wauane.
 
That's right,kwanza nimekueleza WAISRAEL siyo wakristo.

Pili nimekueleza WAISRAEL wamepiga bomu katika hospital inayomilikiwa na wakristo wapelestine,na siyo waislam.

Tatu nakueleza kuwa hakuna anaeshangilia MAUAJI,ila tunachokuelza Israel imekuwa inayafanya hayo tokea creation ya Taifa Hilo mwaka 1948,Hamas imeanza mwaka 1987 baada ya kuona umwagaji damu ya Israel umekuwa hauna mwisho kwao tambua Hilo.
Sasa wapalestina ndio wachokozi huwa
 
Waarabu wakitaka waonewe huruma basi waikubali demokrasia ya kweli inayoruhusu mapenzi ya jinsia moja, taifa teule la israeli linakubali mashoga na wasagaji kwanini waarabu wanakataa kuhalalisha hayo mambo wapewe sapoti na wazungu, HUU NDIO UHALISIA WA MASHARIKI YA KATI.
 
Ila waarabu walishangilia mauaji ya kikatili ya Waisrael, sahv wenyewe ndo wanalia,
Kitendo cha kigaidi Hamas walofanya cha kuua familia na watu wasio na hatia wakashangilia na kuipongeza Hamas kwa ujemedali wao, sahv wao ndo wakulia hvyo kweli
 
Tukiwamaliza wavaa kubazi wa palestina tunaanza kuwasaka na hawa wakina sefu bin jumaa wa huku kidongo chekundu, yaani mpaka muishe wote wahuni nyinyi
 
Sitetei uuaji ila ni bora kuangalia pande zote mbili
 
Ila waarabu walishangilia mauaji ya kikatili ya Waisrael, sahv wenyewe ndo wanalia,
Kitendo cha kigaidi Hamas walofanya cha kuua familia na watu wasio na hatia wakashangilia na kuipongeza Hamas kwa ujemedali wao, sahv wao ndo wakulia hvyo kweli
Walianza wao Tena viongozi wa kiarabu waliwasifu sana Leo Leo shambulio linatokea kwenye parking ya Magali hospital wanasema limeua watu 500+ Ili wapate huruma
 
Hakika Tanzania ni nchi ya kiistaarabu sana pamoja na viongozi wake waandamizi Mwalimu jk Nyerere na shekhe AA Karume.

Japo rais wa Uganda na Majeshi yake walivamia Tanzania na kuwaua Raia wasio na hatia wala silaha mikononi Bado Baba wa Taifa la Tanzania aliesema "Tunapigana na Nduli Idd Amini Dada na Majeshi yake wala hatupigani na waganda".

Ivo miundombinu ya Uganda ililindwa pamoja na wananchi wake nao pia iliwalinda adi ikafika wakawa wanaunga mkono Majeshi ya Tanzania.

TANZANIA oyeeeee...…...💪💪💪 CCM oyeeeee......💪💪💪💪 UJAMAA NA KUJITEGEMEA udumu udumu udumu milele daima na Fikra sahihi za Mwalimu zidumu zidumu zidumu milele daima MAMA SAMIA oyeeeee Miaka Mitano Niyako tena wewe na CCM yetu pendwa Cha Dume cha ukombozi wa Bara la AFRICA
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Ushabiki ni kitu cha kawaida kwenye pande mbili zinazozozana na mambo ya dini ya huyu wala dini ya yule haihusiani.

Mfano Russia na Ukraine wote ni wakristo ila kila upande una mashabiki wake bila kujali mambo ya dini.
 
Israel na palestina ni magaidi wauaji hawana uteule wowote ule.

Ni wahalifu wa kivita kama ilivyo Urusi na Ukraine..

Ni mpumbavu tu, Ana amini Israel na palestina ni mataifa ya Mungu.

Kwanza, Mungu huyo hayupo.
Hakuna vita Kati ya Israeli na palestine,kuna vita ya Israel na Hamas na Hezbolla
 
Huo ndo ujinga wenyewe tunaousema Sasa,Kwa watu wenye akili Zao timamu wakisoma wanaona kabisa unaonekana chizi, mgogoro huo ni WA ardhi au wa dini?

Wapi WAISRAEL wamekuambia wanapigana na uislam ?Umekazana kuqoute hivyo vifungu vyako ukiamini kuwa unaweza justify unachokizungumza,hizo siyo Aya za. Quran,na fabrications tuh na zipo kibao mtandaoni hata ukigoogle unaziona na kucopy na kupaste,Tena siyo hizo tuh,zipo hadi ambazo zinauhusisha uislam na mambo mengine meengi ya hovyo watu wanatengeneza,Sasa wewe kuzichukua hizo na kuziweka hapa ni kuzidi kuonesha ujinga wako tuh Kwa watu wanaotambua.

Andika kwamba Qur an verse flan,sura flan unasema hivi na hivi na hivi ili tuone unaelewa kweli Hiko unachokisema,ila ukifanya HIVYO maana yake ni kudhihirisha ujinga wako tuh

Ni mgogoro unaongozwa na mizuka ya kidini maana hata ukiona wengi mnavyotokwa povu humu ni kwa ajili ya pumba zenu za kuabudu muarabu, mlishabikia kuona HAMAS wanaua watu wasiokua na hatia leo mnakuja na hizi insha na nadharia.
 
" Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya palestina kwa kudhani wanaouliwa ni waislamu "
Nyie ni wanafiki sana na waongo watu wadini nyingine mfano wayahudi walivyouawa na hammas na watoto kutekwa hatukuona mkishtumu wala kukemea bali mlifurahi na kuwapongeza hammas,urusi ilipoivamia Ukraine na kurumisha makombora na kuua waukraine tuliona kometi zenu mkiipongeza urusi eti piga mashoga,waislamu wakiuana wenyewe kwa wenyewe mfano somalia,alshabab,bokoharamu, Sudan,huko Pakistan hadi mabomu yanategwa msikitini hamlalamiki kwanini mnailalamikia Israel inapojilinda?hii inaonyesha chuki dhidi ya wayahudi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Urusi iliivamia Ukraine na kuwaua waukraine wengi mfano huko Bucha, Lyman raia wa Ukraine wasio na hatia walikufa nyie wafia dini mlimuunga mkono Putin mkafikiri mnamkomoa marekani leo mnauchungu na Palestine kupitia hammas iliyeanzisha uchokozi wakuwaua na kuwateka wayahudi wasio na hatia leo mnalilia Palestine inaonewa kama sio unafiki

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damu ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Wakristo tuandamane kulaani hili kanisa la Baptist kwa kuliweka najisi kanisa takatifu kwa kukaribisha na kuhifadhi magaidi.

Wakristo tumeaibishwa na kudhalilishwa kwa kitendo hiki cha magaidi kuhifadhiwa kwenye nyumba ya bwana na kupelekea laana na najis.

I FIRMLY STAND WITH ISRAEL.

FaizaFoxy Adiosamigo Chifu Sanze Alwaz
 
Back
Top Bottom