Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Aibu aibu mwanamme mzima anapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini akiwa uchi.

Pathetic and disgusting.

Kinyaa uchafu
We unamjua Al Hussein ni nani? Acha kuwa mnaropoka maneno ya kutunga au hadithi fake
 
We unamjua Al Hussein ni nani? Acha kuwa mnaropoka maneno ya kutunga au hadithi fake
Dume zima tena govi linapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini akiwa uchi.

Kinyaa
 
Hebu leta dalili yako we shoga wa kanisani
160616163030-03-cnnphotos-queer-and-muslim-tease-only.jpg
 
Ushahidi uko wapi kuwa Hamas imeua watoto wadogo Kwa kuwachinja?

Na nani kakueleza tunashangilia Hamas kumwaga damu?pia unazungumzia Hamas kumwaga damu,vip unaacha IDF inayomwaga Damu kila siku ya innocent Palestinian people?
Tuoneshe reply yako walau moja tu iliyolaani mashambulizi ya Hamas yaliyopelekea waisrael zaidi ya 500 kufariki huku wengine wakitekwa na kuzungushwa ndani ya Palestine. Nao bila ajizi wakawa wanashangilia na kudhihaki. Tofauti na hapo huna moral authority ya kuwalaani wana wa Israel.
 
Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.
Yohana 4:22
Kwani hawa wayahudi si ndio waliomliga mijeledi Yesu, inakuwaje tena wabarikiwe hawa wamelaaniwa na Yesu. Yohana 4:22 hapa mmeingizwa chaka, na hayo ni mazara ya Imani bila kishirikisha akili.
 
Ni upumbavu tu kuwakumbatia dp world kisa tu ni waarabu na upumbavu mwingine ni kuwaonea huruma waperestina huku kule [emoji1255] ukibariki uvamizi wa putin.
Wewe kama huwaungi mkono ni wewe, sisi tunawaunga mkono ndugu zetu

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

Qur’an imemaliza kila kitu
 
Teh teh teh,kumbe we ni mfuasi wa mwamposa??

Aah basi kwaheri Mkuu,ningekesha hapa,Sasa kama MTU unamuamin kabisa mwamposa ni Mtume wa Mungu utaweza vipi nielewa Mimi??

Mafuta unayo hapo?
waislam ni watu wa hovyo , mm utoton nliish na waislam hivyo nmekuwa najifunza vingi sana hasa nlipokuwa madrasa , yaan viongoz wa kidin wa kiislam wanawaza dini za kikristo kwenye mafundisho yao muda wote wanazungumzia ukristo kuliko hata uislam wenyew , hii ni tofauti na dini za kikristo , kiufupi hakuna dinin dunian inayosema myaudi ni mungu , huo ni moja ya upumbav mmemezeshwa kama ilivyo ule upumbav wa mwamposa aliuza mchanga kwa tsh 1000 kwa kikombe pale taifa ndan ya siku moja akapata 900M , yaan waislam ni kama hata hesabu hamjuw kila kitu ni NDIO na ndio dini yenu ndo kichaga cha ugaidi maana wapiganaj wanatafutwa misikitin na silaha zinatunzwa humo humo na hamuez hata kosoa kuwa msikiti ni nyumba ya ibada sio kambi ya jeshi , kwa watu wa imani nyingine huez kuta huu uzombi
 
Msalimie mwamposa Mkuu,Mimi nikivaa vipedo ww unaumia nini??

Ww mbona unakanyaga mafuta na kuuziwa mchanga wa upako Mimi sijasema kitu?ni Imani yako hiyo lazima niipe heshima yake,unafanya mchezo na kukanyaga mafuta ww.
we mvaa kipedo , jitambue sijataja dhehebu yangu au huo mf ambao mpk ss kwa akili yako fupi bado akili yako haijaona kipi hakipo sawa , yaan nyiny ni kama misukule mnashabikia vitu kidini na mnahisi wengine tupo hivyo , mchanga wa 900M pale taifa aliupaki wap

1kikombe =Tsh 1000
100Kikombe = Th 100,000
1000kikombe = Tsh 1,000,000
10,000Kikombe = Tsh 10,000,000
100,000kikombe =Tsh 100,000,000
900,000Kikombe =Tsh 900,000,000


Je uwanja wa taifa unaeza beba watu laki 9 ambao ndo walienda kununua kikombe cha mchanga ? na waislam mlikaa kimya tuli kama hamjaona ushuz wa mashehe wenu , haws mashehe wenu ndo chanzo cha ugaidi na usikute wanatumiwa na taasisi a ugaidi kuingiza chuki nchini mwetu , angalia mawaidha kwenye daladala za umma hasa temeke -kongowe au mbagala mbande au mbagala to chanika au mbagala to mkuranga , hzi njia za usafairi mabasi yake yana mawaidha ya kichochez sana na ya uongo sana na waislam wenye uelewa wapo kimya wanasubir haya ya palestina waseme wanaonewa wkt walijazana ujinga na kuanzisha vita
 
Islam takes no responsibility Kwa yeyote anaeutumia Kwa maslahi yake what so ever,Kwa sababu uislam ni dini iiliyokamilika yenye Sheria na taratibu zake,utakuwa chizi eti MTU aje kwako afanye matukio ya uovu kisha aseme uislam ndiyo umemtuma naww uamini Hiko pasi na kufuatilia kuwa uislam wenyewe unasema nini katika Hilo,Sasa huo utakuwa upuuzi uislam uje kuwa answerable Kwa kila matendo maovu ya watu,Tena zama hizo za kuchafuliwa uislam ulishapita nashangaa ww Bado unaishi kwenye fikra HIZO.
mmewai kemea yanayofanywa na hao jamaa ? uslam ni dini ya kinafiki sana , walipovamia israel na kuua raia mlishangilia na kusema allah ndo kawafanikishia hayo ila leo mnasema uislam hauhusiki hapo je dini yenu ya uislam haipo chini ya allah? TTZO LAKO UNAANDIKA VITU NA KUSAHAU
 
Mlimpiga Risasi tundu lissu mkasema amejipiga mwenyewe na wenzako wengine walisema mbowe na chadema ndiyo wamempiga lissu na Israel nao wametumia mfano huu wa kupiga hospital alafu baadae wanasingizia HAMAS ndiyo wamehusika na mauaji......ule uchungu upo nao moyoni mwako dhidi ya Palestine ndiyo uchungu uliopo moiyoni mwa wapinzani dhidi ya CCM.

Kwakifupi CCM yako haina tofauti na Israel dhidi ya wapalestina
Daah!!! Maumivu kwa zamu
 
Huo sio mgogoro wa kidini bali ni;
1. Mgogoro wa raslimali kama ardhi, gesi, mafuta nk.
2. Uzalendo utaifa na kupenda sana nchi yako
3. Wakubwa wana maslahi hapo ndo maana huwa hauishagi

Kipi kifanyike? Acha israel na palestina ziungane iwe nchi moja
Wakiungana marekan wakale wapi Na wakiungana ndo mwisho wa dunia
 
Ushahidi uko wapi kuwa Hamas imeua watoto wadogo Kwa kuwachinja?

Na nani kakueleza tunashangilia Hamas kumwaga damu?pia unazungumzia Hamas kumwaga damu,vip unaacha IDF inayomwaga Damu kila siku ya innocent Palestinian people?
Sawa Kama Palestine/Hamas walianzisha mtanange,kujibiwa siyo kosa
 
mmewai kemea yanayofanywa na hao jamaa ? uslam ni dini ya kinafiki sana , walipovamia israel na kuua raia mlishangilia na kusema allah ndo kawafanikishia hayo ila leo mnasema uislam hauhusiki hapo je dini yenu ya uislam haipo chini ya allah? TTZO LAKO UNAANDIKA VITU NA KUSAHAU
magaidi yalijisif sana humu jf yakisema allah akbar leo hamas wamejificha mashimoni kama vipanya, allah naye kala kona kila akiitwa kauchuna.....
 
unaongea kama Kaburu wa Afrika Kusini, unajua kwamba hiyo argument yako Wazungu AK wanasema hivyo hivyo kwamba walipokuja walikuta mapori na hawakukuta mtu wakafyeka mapori na kujenga mji ndiyo waafrika wakaibuka ktk porini na kusema ni nchi yao hiyo argument ilijustify apartheid system ambapo mtu mweusi kama wewe ulikuwa daraja la tatu hata waarabu unaowatukana humu walikuwa daraja la pili AK waliwekwa juu yako btw unajua nani alisapoti apartheid AK ? Ni Wayahudi, akina Cecil Rhodes walioanzisha Rhodesia ni Wayahudi na walitumia argument kama yako kukandamiz waafrika mpaka Mandela anatoka jela alikuwa kwenye terrorist list ya all western nations USA $ Co.

Isitoshe unajua kwamba mkoa wote wa Kilimajaro, Arusha mpaka Nairobi ni masai land? Sasa je unafikiri ni sawa leo hii wamasai kuwafukuza wachaga Kilimanjaro na kudai ardhi yao? Ni sawa wamasai kuitaka nairobi yote kwamba ni yao?
unamtukana nabii issa hakuwai kuwepo , kwamba hao watu ndo wanarud kwa mara ya kwanza hawakuwai kuwepo hapo ? waislam mtajibu mengu kwa mungu wenu siku ya qyama
 
Back
Top Bottom