Msalimie mwamposa Mkuu,Mimi nikivaa vipedo ww unaumia nini??
Ww mbona unakanyaga mafuta na kuuziwa mchanga wa upako Mimi sijasema kitu?ni Imani yako hiyo lazima niipe heshima yake,unafanya mchezo na kukanyaga mafuta ww.
we mvaa kipedo , jitambue sijataja dhehebu yangu au huo mf ambao mpk ss kwa akili yako fupi bado akili yako haijaona kipi hakipo sawa , yaan nyiny ni kama misukule mnashabikia vitu kidini na mnahisi wengine tupo hivyo , mchanga wa 900M pale taifa aliupaki wap
1kikombe =Tsh 1000
100Kikombe = Th 100,000
1000kikombe = Tsh 1,000,000
10,000Kikombe = Tsh 10,000,000
100,000kikombe =Tsh 100,000,000
900,000Kikombe =Tsh 900,000,000
Je uwanja wa taifa unaeza beba watu laki 9 ambao ndo walienda kununua kikombe cha mchanga ? na waislam mlikaa kimya tuli kama hamjaona ushuz wa mashehe wenu , haws mashehe wenu ndo chanzo cha ugaidi na usikute wanatumiwa na taasisi a ugaidi kuingiza chuki nchini mwetu , angalia mawaidha kwenye daladala za umma hasa temeke -kongowe au mbagala mbande au mbagala to chanika au mbagala to mkuranga , hzi njia za usafairi mabasi yake yana mawaidha ya kichochez sana na ya uongo sana na waislam wenye uelewa wapo kimya wanasubir haya ya palestina waseme wanaonewa wkt walijazana ujinga na kuanzisha vita