Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Ni ujinga tu kushangilia mauaji ya Wapalestina kwa kudhani wanaouliwa ni Waislam

Sasa hao HAMAS ni freedom fighters Gani ambao badala ya kuleta uhuru Kwa wapalestina ndo kwanza wanawaletea majanga zaidi ?.Sasa tazama Leo hii wapalestina wanaambiwa watoke kwenye nchi yao na kwenda wanapopajua wao kisa haohao wapigania uhuru wao HAMAS. Hapo hasara Kwa nani?
Kuongea HIVYO ni makosa makubwa sana,Hilo vugu vugu kutulia haikuwa na maana kwamba Hamas waliweka Silaha chini la hasha,kumbuka IDF imekuwa inaendelea na shughuli za illegal occupation kila mara Kwa kustukiza na taarifa zilikuwa zinaripotiwa mara Kwa mara sema mmeamua kuchagua upande wa kushabikia.

Unashangaza kulaani Hamas na kuwaita magaidi huku IDF mkiwaacha na kusema walinda amani wa Israel ni makosa makubwa sana.

Hamas siyo magaidi Kwa kuwa ni taasisi kamili ambayo Ina uwakilishi ndani ya serikali na Ina wabunge wake na utawala wake,unaowaita wewe magaidi ni freedom fighters Kwa wenzako tambua hilo
 
Kiuhalisia kuna uonevu unaoonekana kwa Wapalestina.
Ukiangalia ramani ya zamani Palestina ilikuwa kubwa Israel ndogo
Saivi ukiangalia ramani Israel in 89% Palestina 11% kitu ambacho sio haki
Mtaka yote Kwa pupa hukosa yote. Mwanzoni ugawanyaji ulifanyika Kwa kuzingatia population yao Tena chini ya usimamizi wa UN. Wao hawakutaka kukubali ugawanyaji huo na kuamua kuingia kwenye mapambano ya vita na Israel. Matokeo ya vita nafikiri unayajua mojawapo ni eneo lako linaweza kuongezeka au kupungua kimipaka hiyo itatokana na ushindi au kupigwa .😂😂
 
You are talking about it like all of these things just started tarehe 7?

IDF kwani kuua wapelestine imeanza Leo?au kwani Hadi HAMAS inaanza kujiform na kuanza operation zake hujui kuwa chanzo chake ni Retaliation kwa forceful occupation ambayo IDF imekuwa inaendelea kuifanya??

So, Israel ndiyo pekee yenye Haki ya kuua wapelestine, wapelestine wakijibu mashambulizi wao ni magaidi siyo?

Au unataka wawe na siasa kama za Yasser Arafat au Mahmoud Abbas,watu wanauawa wao wanataka negotion table ambayo haijawahi zaa matunda na illegal occupation ikiendelea na vifo vikiongezeka siyo?

Dunia haiwezi kuwa hivyo.
Mzee ndo kwaaaanza kume kucha kipigo heavy kinakuja yaani nyumba kwa nyumba mlianza wana maliza mpaka Gaza yote itabaki magofu tupu


period!!!.
 
Wewe mkiristo unafurahia waislamu kuuliwa. Lkn jua vita hivi mwisho ushindi upo kwa waislamu
Halijawahi tokea taifa lolote linaloabudu Allah kulishinda katika vita taifa la Israel linaloabudu Yehova . Kama lipo litaje taifa Hilo 😂😂
 
wanaokataa ni wapalestina sio waisrael , mbona Netanyau aliwai ongea kwenye documentary moja , na hata ss ndan ya israel wapo wapalestina $ waarabu wengi tu na lugha ya kiarab inatumika sana bila kikwazo chochote , kamsikilize aliye i kuwa mtoto wa moja wa viongoz wa hamas huko siku za nyuma
Kujenga makazi ya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza kumehusishwa na kuhamishwa kwa Wapalestina na kuongezeka kwa idadi ya wakimbizi. Kuanzia mwanzoni mwa karne ya 20, uhamisho wa Wapalestina kutoka kwenye ardhi yao iliyokuwa ikikaliwa na Waisraeli ulianza kutokea na kuongezeka hasa baada ya Vita vya 1948 (Vita ya Uhuru wa Israel) na Vita vya 1967 (Vita vya Siku Sita).

Baadhi ya Wapalestina walilazimishwa kuhama au wakakimbia makaazi yao kwa sababu za kijeshi au kisiasa, na hivyo kuwa wakimbizi. Idadi kubwa ya wakimbizi Wapalestina wanaishi katika kambi za wakimbizi katika nchi za jirani, kama vile Lebanon na Yordani, au wanajumuisha vizazi vingi vilivyoishi uhamishoni.

Hii imekuwa suala kubwa katika mzozo wa Israeli-Palestina na limesababisha mvutano mkubwa katika jitihada za kutafuta suluhisho la mzozo huo. Uhamisho wa Wapalestina na suala la wakimbizi ni moja ya masuala muhimu yanayozungumziwa katika mazungumzo ya amani na jitihada za kutafuta suluhisho la kudumu.

Kitendo cha kufanya Taifa moja hawa lazima warudi nchini kwao, kitendo cha kurudi itabidi wawe na makazi, watafikia wapi? je wakirudi uoni kabisa Waisrael wakimezwa na kuwa wachache na majority kuwa Wapalestina? hizo story za Netanyau ni sawa na za juzi za kusema Rocket ya Hamas ilifail nakupiga Hospital tu kumbe wao wayahudi ndiyo walipiga.
 
Haya maneno mbona hatukuyasikia pale HAMAS walikuwa wanawaua wa Israel na kutamka Allah Akbar?
Hebu acheni unafiki bana 😂😂
Hakuna mtu mwenye akili timamu atashangilia kuua watu wasio na hatia
 
1937 Palestina is under colonial government , stoo propaganda
Lazima ushangae akili yako imejaa ushabiki tu naona unaandika magezeti bila data zozote weke ushahidi kama mimi chukua hii upate darsa murua..

By the time Britain conquered Palestine at the end of 1917, it had made several conflicting agreements to gain support from various groups in the Middle East. These included: the Husayn-McMahon Correspondence (1915-1916), a series of letters exchanged during World War I in which the British government agreed to recognize Arab independence after the war in exchange for Husayn ibn Ali, King of Hejaz (c. 1853-1931) launching the Arab Revolt against the Ottoman Empire; the Sykes-Picot Agreement (1916), which divided the Middle East into British and French spheres of influence; and the Balfour Declaration (1917), in which the British government committed itself to a “national home” for the Jewish people.

Before the British occupation, Palestine was part of Ottoman Syria. The British army ruled Palestine until a civil administration was established on 1 July 1920. Britain was granted a Mandate for Palestine on 25 April 1920 at the San Remo Conference, and, on 24 July 1922, this mandate was approved by the League of Nations.

The British were given a "dual mandate", that is, on behalf of Palestine’s inhabitants on the one hand, and on behalf of "international society" on the other. The Balfour Declaration was incorporated into the preamble and second article of the Mandate for Palestine. Britain thus also had a "dual obligation" towards both Arabs and Jews. While the mandate included the main parts of the Balfour Declaration, such as the proclamation of support for a Jewish national home, under the mandate’s terms Britain had an obligation to conduct its policy in Palestine in accordance with the needs of both Jews and Arabs. This included creating political, administrative and economic conditions that would facilitate the independent rule of the communities under British control. These objectives were an integral contradiction in the mandate.

The British determined the borders of Palestine according to other agreements they had made with their allies. For example, they transferred the eastern bank of the Jordan River to the control of Abdullah ibn Husayn (1882-1951) of the Hashemite dynasty and appointed him King of Jordan in recognition of his support during the war.
 
Halijawahi tokea taifa lolote linaloabudu Allah kulishinda katika vita taifa la Israel linaloabudu Yehova . Kama lipo litaje taifa Hilo 😂😂
Kwanini Israel miaka yote anasaidia na America, Uk; France na silaha kubwa wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake?
 
Friends and Enemies,

Al Ahl Baptist church ni hospital ya kanisa ambayo imeanza operation Gaza tokea mwaka 1882,Hospital hiyo imeanzishwa na Church Mission Society Of England kipindi Hiko inatawala Gaza ,baada ya ukoloni 1954 hadi 1982 na kuendelea hospital hiyo imekuwa inaendeshwa na Episcopal church in Jerusalem ikitoa huduma za tiba Kwa wapelestine wakristo,waislam na wengine wengi waishio maeneo Hayo.

Hakuna justification ya aina yoyote katika kuua watu wasio na hatia bila kujali kuwa watu hao ni either WAPALESTINA au WAISRAEL au RACE ya aina yoyote ile,it's just plain and Crystal Clear that it's wrong.

Recently tumeona IDF wakishambulia hospital hiyo huko Gaza na muda mfupi baadae kukana kutohusika na shambulio Hilo ili Hali kila ushahidi unaonekana kuwa ni wao na Sasa wanajutia.

I will never understand this society,soma comments mitandaoni humu,even hapa JF na kwingine watu wanashangilia na kusema Israel ni Taifa la Mungu,hao wapelestine wameanzisha ugomvi wasiouweza so wauwawe tuh hao waislam.

Ndiyo kusema kwamba watu wanadhani kuwa wapelestine ni waislam? thinking that hakuna wakristo na watu wengine ambao wanauawa katika mgogoro huo?

HAMAS imechagua military strategy kama vile ambavyo IDF imechagua Military strategy katika occupation of Land,tukichagua kukemea umwagaji wa damu katika mgogoro huo basi tukemee Hilo on both sides,na kama wazo la two states solution ndiyo litaonekana kuwa ndiyo muaraboini basi jumuiya ya kimataifa Ingepaswa kuweka mkazo katika Hilo.

Damgharau ya kila mwanadamu Ina thamani haijalishi Imani yake, rangi yake wala asili yake.
Umeona tu wanavyoshangilia wapalestina kufa ,lakini waliposhangilia wayahudi kufa hukuona kabisa .
Wapalestina waliofanya mauaji huko Israel ni waislamu, walifanya hivyo kwa malengo ya kidini.
Gharama ya vita ni umwagiji wa damu, hakuna mna.unaweza kuzuia watu kufa.
 
Kwanini Israel miaka yote anasaidia na America, Uk; France na silaha kubwa wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake?
Waisrael wanamsemo wao " kubali kushindwa pambano lakini KAMWE usikubali kushindwa vita" .
HAMAS waliposhinda pambano wakajua wameshinda vita . Kiichofuata wote mashahidi 😂😂😂
 
Waisrael wanamsemo wao " kubali kushindwa pambano lakini KAMWE usikubali kushindwa vita" .
HAMAS waliposhinda pambano wakajua wameshinda vita . Kiichofuata wote mashahidi 😂😂😂
Kilichotokea tunaona nchi za magharibi silaha na jeshi lote linatapigana dhidi ya Hamas wanaotumia silaha za jadi. Hadi leo wanabomoa nyumba na kuua watoto lkn jeshi la hamas halijaguswa. Allah akbar
 
Back
Top Bottom