Ni upi utaratibu wa kumrudisha mke asiye na nidhamu nyumbani kwa wazazi wake?

Jamaa yupo zama za ujima, ndio nikajiuliza angekua kaoa mtumishi angemwambia acha kazi rudi kwenu
 
Mahakama gani?
 
Mtume kwao akasalimie akifika tu nenda kwao waeleze wazazi atakaa hapo mwaka mzima mpaka ajifunze adabu baada ya mwaka mfuate ,waambie wazazi hautaki upatanisho umetoa adhabu ,muda wa adhabu ukiisha utamfuata.
 
Nidhamu gani akafundishwe kwao au labda anatoa papa kwa manyamela
 
Duh yaani badala ya kua mpole kwanza apate ndoa ,mahari tu ndo anazingua hivyo?

We usiende kwanza kanisani,tulia kabisa
 
Jmn muwe mnawapotezea kabisa hao wanawake
Ukirudi home ht chakula alichopika,huli
 
Toka tu kama alivyokuambia...kaanze life kwingine

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Hapana,,,huyu jamaa muoga.Ikitokea kabadilisha reason ya kumrudisha kwao,,,wew shikilia msimamo wako,ili mradi ni kweli hukumtaka kinyume na maumbile.Yaan hadi kiapo nk. Kukubali kishingo upande ni kujiwashia moto wa tanuri mwenyew, coz akifika huko home atakutesa zaidi.
 
Labda kama umeoa mwanamke anayekutegemea wewe 100%, ila kama umeoa mfanyakazi au mwenye biashara zake unamrudishaje kwao ( hiyo ni logic ya zamani)

Wewe useme tuu mnaachana
Hata angekua ni Makamu wa Raisi anapaswa kurudushwa kwao kwasababu ulimlipia mahali na kumuoa. Hivyo akipata tatizo wewe ndie utakae ulizwa,so hakikisha unamrudisha kwao atake asitake.
 
Mamake mwanamke mcharuko bado unaishi naye tu? Hicho kiburi anakufanyia usikute kapata msaidizi wako, anakufanyia vituko makusudi ili umuache na jamaa aje kuishi humo ndani mwenu akichukua nafasi yako. Hapa ni kumwambia tu ukweli kuwa nimekuchoka, naomba tuachane na mtoto nitamtunza kwa kukupa hela za matumizi kila mwezi. Japo atashituka ila ni muhimu umbwage mapema asije kukuua kwa pressure na stress, hakuna kitu kibaya kama kuishi na mwenza akupaye stress maishani, utakufa mapema.
 
Mkuu mwamba kishamuonya sana Mimi naona yupo sahihi kumtimua kuhusu ma ex zake kumla unaweza Kuta hata Sasa hv analiwa akiwa kwa mumewe enough is enough amtoe mbio
 
Just relax, jifanye bwege kwa muda, akienda kusalimia kwao,mnunulie mpaka zawadi za kupeleka kwao, akifika kwao na wewe unaenda ndani ya wiki hiyo kuwaambia Toto lenu nimelishindwa, Toto lenu hilo hapo
 
Kwa hali ya mwanamke kama huyo, kumtoa Fanya hivi ...

Mwanaume ingia gharama kanunue kuku wa kiswahili, mchele, ndiz ,mpikie mkeo.
Kuleni malizeni salama, mkimaliza mwambie nataka tufanye safari tukawasabahi wazee, nae atakubali kwasababu umemfanyia kitu Cha tofauti af bila kuonyesha uzaifu.

Mkifika kwa wazee wake, bila kupoteza muda itisha kikao Cha zarula.
Mwanaume ongea changamoto zako unazozipata kwa mkeo na wazee wakupe ufumbuzi.
Hapa Pana mambo mawil Moja changamoto itatuliwe hapo hapo Yani mkitoka hapo mnaenda kuanza ukuras mpy
Pili wewe mwanaume unaomba kulingana na ww unavyoona mkeo akae kwa muda lamda wiki akikir kua sawa na mmewe bas utarudi kumchukua.

Lah ugum bado upo piga chini
 
Hata angekua ni Makamu wa Raisi anapaswa kurudushwa kwao kwasababu ulimlipia mahali na kumuoa. Hivyo akipata tatizo wewe ndie utakae ulizwa,so hakikisha unamrudisha kwao atake asitake.
Kwahiyo mfano yeye ni nesi ameajiriwa Dar kwao ni mtwara, utamuambia acha kazi kakae kwa wazazi wako mtwara? Ama ni kutengana tuu kila mtu aishi kivyake, hiyo ya kurufishana nyumbani ni kwa wanawake wa nyumbani
 
Mtume kwao akasalimie akifika tu nenda kwao waeleze wazazi atakaa hapo mwaka mzima mpaka ajifunze adabu baada ya mwaka mfuate ,waambie wazazi hautaki upatanisho umetoa adhabu ,muda wa adhabu ukiisha utamfuata.
Kwahiyo kama umeoa mwalimu mmekutania Dodoma, kwao kilimanjaro ataacha kazi akae kwao kilimanjaro mwaka mzima?

Hamna logic hapo
 
Kwahiyo kama umeoa mwalimu mmekutania Dodoma, kwao kilimanjaro ataacha kazi akae kwao kilimanjaro mwaka mzima?

Hamna logic hapo
kama anafanya kazi akatafute pa kukaa , hapo shida ni nini
 
Ujinga kabisa huu aisee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…