Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Ni usafi mwanaume kukojoa kwa kuchuchumaa na kisha kutawadha baada kumaliza

Mwanaume mzima nikojoe nimechuchumaa kwa kisingizio cha usafi ni ujinga mkubwa na kumkosoa Mwenyezi Mungu aliyeniumba hivi nilivyo.Kila kiumbe kimeumbwa kwa namna yake yakutoa haja sasa leo binadamu anakuja kujifanya ni msafi sana hadi kutaka kurekebisha alivyoumbwa.Kama hakuna wanyama wengine wa kiume wanaochuchumaa wakikojoa wewe mwanaume binadamu kufanya hivyo nikumkosoa aliyekuumba.Mungu angekua anachukia mkojo kiasi icho asingeshindwa kutuumba tusiwe tunakojoa au angetuumba tuwe tunakojoa kama jinsia ya kike wanavyofanya.
 
Tunawaelewa misema "Mwaarabu" mnamaanisha Muislam, mkisema Uarabu mnamaanisha "Uislam".

Hivi wewe poyoyo, unaelewa kuwa Waarabu wengi ni Waafrika kuliko kwengine kokote duniani?

Au unajisemea tu hata huelewi maana ya Uarabu?

Sasa nakuuliza swali dogo tu, Sudan ni Waafrika au siyo Waafrika? Misri (Egypt) ni Waafrika au siyo Waafrika?
Na ww bibi kizee huna heshima

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Waislam wengi hufanya hivo,Kuna sheikh mmoja shuleni kwetu alitusieitiza Sana hili Miaka hiyo
Ili iweje?kwani ukirudi kwenu huogi?
Yaani unaogopa matone ya mkojo kulukia nguo!vipi kuhusu jasho linalotiririka mwili mzima,maana jasho na mkojo,contents zake ni zile zile,na huu utaratibu ni WA kijinga na unpractical sana,unless Uludi zama za mawe uwe unaishi jangwani au mbungani,sehemu kama kariakoo Dar,Darajani Zenj,stand zote za mikoa,utachuchumaa wapi?yaani uwe kwenye mishe mbugani,uchuchumae kukojoa?hizi akili zingine bwana,
 
naongezea , ukiwa unakojoa mara kwa mara kwa kuchuchumaa inaimalisha mishipa ya uume ya kukusaidia kwenye tendo, asa ww kijana wa miaka 30 uogope kuchuchuma kisa utakuwa choko basi kuna ulakini na urijali wako.
 
Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.

Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.

Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.

Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.

Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.

Shukrani.
Umesomeka Akhy!!!
Wanaopinga wengi ni upande wa pili maana kila mafundisho yanayotokana na uislamu lazima wapinge hata kama yana faida vipi, najisi imezungumziwa hata kwenye Biblia ila wao hawajali wanapotezea tu so usitegemee watoe mchango postive.
 
Hayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.

Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
% kubwa wapo hivyo
 
Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.

Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.

Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.

Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.

Naomba kuwasilisha
Dalili moja wapo ya kuanza tabia za ushoga ni mtoto wa kiume kuchuchuumaa akitaka kukojoa..na kuosha dushe baada ya kukojoa.

Hakika muda si mrefu utaaza kupelekewa moto mana tayari umeanza tabisa za kike kike.

Hata wanyama wanaochuchumaa ili kukojoa ni wanyama wa kike tu.

Sasa wewe mtoto wa kiume unaanzaje kuchuchumaa kama sio kujiandaa kupelekewa moto.

Chamsingi usafi wa boxa vaa moja kwa siku pia hakikisha una nawa mikono baada ya kutoka chooni hiyo inatosha sana.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.

Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.

Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.

Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.

Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.

Shukrani.
Kuna dini zingine mtu unaweza onekana huna akili kisa imani tu..sasa mkojo wako unakuaje najisi..mana unatembea nao mwilini sawa tu na mavi ukichanwa tumbo hapo ni harufu tupu..manaake na wewe hapo ulipo ni najisi na hufai.

Dini ni moja ya ugonjwa wa akili wa wana damu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Shida yote hiyo ya nini?? Huwezi kutikisa mpaka tone la mwisho?
Hata utikise vipi..huwezi maliza mkojo wote ndani ya mrija wa mkojo..labda uingize pamba usafishe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna dini zingine mtu unaweza onekana huna akili kisa imani tu..sasa mkojo wako unakuaje najisi..mana unatembea nao mwilini sawa tu na mavi ukichanwa tumbo hapo ni harufu tupu..manaake na wewe hapo ulipo ni najisi na hufai.

Dini ni moja ya ugonjwa wa akili wa wana damu.

#MaendeleoHayanaChama
Kumjibu Mpumbavu ni matatizo ya akili pia, huwa hatuwajibu wapumbavu. Mpumbavu huwa anapuuzwa kama hivi.

Shukrani.
 
huku vidude vinauzwa visaidie jinsia KE kukojoa imesimama, huku jinsi ME inaanza kukojoa imechuchumaa, Kila kitu kiko hoves
 
Kuna dini zingine mtu unaweza onekana huna akili kisa imani tu..sasa mkojo wako unakuaje najisi..mana unatembea nao mwilini sawa tu na mavi ukichanwa tumbo hapo ni harufu tupu..manaake na wewe hapo ulipo ni najisi na hufai.

Dini ni moja ya ugonjwa wa akili wa wana damu.

#MaendeleoHayanaChama
Sikiliza wewe kiruwazenza!

Kwahiyo unamaanisha kuwa hata mtoto wako akinya kwenye meza ya chakula. Utaacha mavi hapo hapo.
 
Back
Top Bottom