Mtu Fodontino
JF-Expert Member
- May 9, 2021
- 351
- 558
Hadi nakufa siji kojoa nimechuchumaa aisee kwamba nipingane na Mungu alivoniumba au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww bibi kizee huna heshimaTunawaelewa misema "Mwaarabu" mnamaanisha Muislam, mkisema Uarabu mnamaanisha "Uislam".
Hivi wewe poyoyo, unaelewa kuwa Waarabu wengi ni Waafrika kuliko kwengine kokote duniani?
Au unajisemea tu hata huelewi maana ya Uarabu?
Sasa nakuuliza swali dogo tu, Sudan ni Waafrika au siyo Waafrika? Misri (Egypt) ni Waafrika au siyo Waafrika?
Muhamedians
Wewe ukiwa nayo inatosha. Fata ilm ninayokupa. Jipime kwa sifa ninazokupa.
Ili iweje?kwani ukirudi kwenu huogi?Waislam wengi hufanya hivo,Kuna sheikh mmoja shuleni kwetu alitusieitiza Sana hili Miaka hiyo
Huyo atakuwa anavaa suruali ilimradi tu lkn sioMleta mada una shida mahali, kifupi tunakaribia kukukosa
Kuna adhabu za kaburi kwa asiyefanya hivyo ( Asiyejisafisha wala kujikinga baada ya kufanya haja ndogo) mie pia ni muumini wa hiloWaislam wengi hufanya hivo,Kuna sheikh mmoja shuleni kwetu alitusieitiza Sana hili Miaka hiyo
Umesomeka Akhy!!!Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.
Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.
Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.
Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.
Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.
Shukrani.
% kubwa wapo hivyoHayo hata kwa mwanamke pia, Si mwanamme tu.
Mijanajike na mijana dume mingi haielewi usafi huo, wao ni kukojoa kwa kusimama tu na hawajioshi kabisa kwa maji, si wanawake wala wanaume. Hawana ustaarabu huo. Wana ustaarabu wa paka kunya mavi kujipaka.
Dalili moja wapo ya kuanza tabia za ushoga ni mtoto wa kiume kuchuchuumaa akitaka kukojoa..na kuosha dushe baada ya kukojoa.Unless unakojoa polini kwenye majani, sehemu yene mchanga mwingi au vile vyoo special vya juu hasa vinavyokuaga stand za mabasi au vyoo vya kulipia au vile vya shimo la moja kwa moja unaweza ukasimama, ila hivi vyoo vya sink na kwengineko ni uchafu mwanaume kukojoa umesemama.
Ukikojoa kwa kusimama Mkojo unaruka na kuingia kwenye nguo, ukutani na chombo cha karibu cha kuhifadhia maji au kunawia.
Pia ni vizuri kuosha zakali yako baada ya kukojoa, sio baada ya kukojoa unaiingiza tu kwenye suluali na kufunga zipu.
Pia hakikisha umemaliza kila kitu ndio unawe na kuiingiza ndani vinginevyo kuna vidogo vidogo vinavyobakia vinakua vinakuja taratibu mwishoni na unaweza usifahamu.
Naomba kuwasilisha
Kuna dini zingine mtu unaweza onekana huna akili kisa imani tu..sasa mkojo wako unakuaje najisi..mana unatembea nao mwilini sawa tu na mavi ukichanwa tumbo hapo ni harufu tupu..manaake na wewe hapo ulipo ni najisi na hufai.Hizi habari tuulize sisi Wanaume wenye dhakari. Nani amekwambia kukojoa kwa kusimama ni urijali ? Urijali haupimwi kwa kukojoa, kuna makhanithi wengi wanakojoa kwa kusimama.
Mimi mara nyingi nakojoa kwa kuchuchumaa kuliko kukojoa kwa kusimama na nikimaliza lazima nioshe Dhakari yangu,ikitokea sina maji basi nitatumia udongo, au mchanga, au majani au jiwe. Hii hutegemeana na mazingira ila kwetu sisi wanaume kukojoa kwa kuchuchumaa ni bora na kunapendeza zaidi kutokana na msingi wa kuepuka kupatikana mabaki ya mkojo katika nguo, sababu mkojo ni najisi.
Ukikojoa kwa kuchuchumaa dhakari inakuwa free sana ina kuwa ime relax mno, na mkojo unatoka katika hali tulivu na murua, kuliko ukiwa umesimama, ukiwa umesimama dhiki inakuwa kubwa na usipo kuwa makini unaweza kuubakiza mkojo.
Wote walio unga mkono kukojoa kwa kuchuchumaa, wanajua wanamaanisha nini na wako sahihi.
Mkojo ni uchafu na hutakwii ubaki nao. Kama huna maji basi tumia udogo, majani au jiwe, yaani kuosha dhakari baada ya kukojoa ni lazima.
Shukrani.
Hata utikise vipi..huwezi maliza mkojo wote ndani ya mrija wa mkojo..labda uingize pamba usafishe.Shida yote hiyo ya nini?? Huwezi kutikisa mpaka tone la mwisho?
Kumjibu Mpumbavu ni matatizo ya akili pia, huwa hatuwajibu wapumbavu. Mpumbavu huwa anapuuzwa kama hivi.Kuna dini zingine mtu unaweza onekana huna akili kisa imani tu..sasa mkojo wako unakuaje najisi..mana unatembea nao mwilini sawa tu na mavi ukichanwa tumbo hapo ni harufu tupu..manaake na wewe hapo ulipo ni najisi na hufai.
Dini ni moja ya ugonjwa wa akili wa wana damu.
#MaendeleoHayanaChama
Sikiliza wewe kiruwazenza!Kuna dini zingine mtu unaweza onekana huna akili kisa imani tu..sasa mkojo wako unakuaje najisi..mana unatembea nao mwilini sawa tu na mavi ukichanwa tumbo hapo ni harufu tupu..manaake na wewe hapo ulipo ni najisi na hufai.
Dini ni moja ya ugonjwa wa akili wa wana damu.
#MaendeleoHayanaChama