Ni vitu vipi vinaiangusha Tasnia ya Bongo Movie? Changia Mawazo

Ni vitu vipi vinaiangusha Tasnia ya Bongo Movie? Changia Mawazo

Mi nadhani kabla hatujawalinganisha bongo movie na wakorea, waphilipn, wahindi tuangalie sisi kama tanzania tunalingana na nchii izoo kwenye tasnia ipiii footbal vitasa uchumi tecnologia hawakufika hapo siku moja wameanza lini kuproduce izoo movie zao bongo tumeanza lini turidhike na level yetu huku tukisupportiana kesho tuwebora zaidi
Kuna watu wachache wenye akili na fikra pana zisizo na mihemko, we ni mmoja wao๐Ÿ‘
 
Uwekezaji.
Hakuna aliye tayari kuwekeza vilivyo kwenye hii sekta kwasababu soko la filamu kwa hapa ndani (na Afrika Mashariki kwa ujumla) liko tricky sana, hakuna uhakika wa faida kama wenzetu wa wa Asia Ulaya na Marekani ambao wana masoko kwenye nchi na mabara mbalimbali kama China.

Sababu kubwa ya soko kukosa uhakika ni kwamba hakuna njia ya uhakika ya kuuza kazi za filamu na zikafikia watazamaji kwa asilimia angalau 50%, njia ya uhakika kidogo ni CD ambapo wizi wa kazi umeshamiri.

Pamoja na yote hayo, ukweli ambao haufurahishi ni kwamba "kifo cha Kanumba ni pigo kubwa katika safari ya maendeleo ya soko la filamu nchini"... kwanini? Enzi za uhai wake, Kanumba alianza kujaribu kutafuta mwanga kuhusu matatizo yaliyopo hapo juu.

1. Alianza kujaribu kutanua soko la filamu za Bongo kwa kushirikiana na Wanigeria.
2. Steve alikuwa akifanya uwekezaji mkubwa hasa wa fedha kwenye filamu zake.
3. Aliingia mikataba mbalimbali ya uuzaji wa filamu (nasikia).
Jamaa alikuwa masihi wa Bongo movie (my take).

Akitokea mtu akajaribu akaongoza njia katika kutatua angalau baadhi ya matatizo hayo matatu (investment, soko na udhibiti), kutakuwa na exponential efect kwa ukuaji wa Bongo movie.
 
Mi nadhani kabla hatujawalinganisha bongo movie na wakorea, waphilipn, wahindi tuangalie sisi kama tanzania tunalingana na nchii izoo kwenye tasnia ipiii footbal vitasa uchumi tecnologia hawakufika hapo siku moja wameanza lini kuproduce izoo movie zao bongo tumeanza lini turidhike na level yetu huku tukisupportiana kesho tuwebora zaidi
Utasupport vipi kitu ambacho hata hakina originality, Yani movie zote worldwide ni faking/acting ila bongo movie ni faking inayoonekana ni faking na full copying kazi za watu..
Bongo movie kuna shida mana movie hata ukiangalia bure dk 15 unaishia kuboleka tofauti na ukienda Centrurycinemax kungalia movie unalipa 12,000 na unalidhika kabisa.
 
Ni Story na Director ndo vimeua bongo movie

Na sio budget , technology, wala waigizaji

Kuna movie zilizofanya vizuri ambazo hazina budget kubwa Ila kutokana na mpangilio wa matukio( story ) na maelekezo ya Director movies zikawa Ni [emoji91]
Yes..kama ile series ya Siri ya mtungi...au ile move ya Nairobi half life.

Daah zile ni story za kawaida sana ila ziko poa sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukitaka kujua bongo movie hawana stori za maana cheki hata movie zao kwanza lazima iwe na part 1&2 hata kama huo muda wa kuwa na hizo part hawana..watakacho kifanya ili kuongeza muda.

Ndio utaona mwigizaji anaenda stendi kumpokea mgeni..yani ataanza kuanzia nyumbani hadi stendi atampokea mgeni na wataanza safari ya kurudi hadi nyumbani hadi kuingiza mizigo chumbani.

Humo mote hawaongei chochote zaidi ya kupigwa mziki kwenye gari na kuonyeshwa barabara na mitaa ya dsm...absurd

#MaendeleoHayanaChama
 
Mm nafikir hawana ideas mpyaa yaan contents zao za mapenzi kwisha habari....

Alafu sasa iv mfano wadada wengi unawasikia huku kule wana mwaga mihela ..sasa izo ni dalili za biashara nyingine inawapa pesa .....
 
Lakini tasnia ya bongo movie ni ya kitambo pia
Sawa ni ya kitambo, hata muziki wetu ni wa kitambo ila sijawahi kuona unashindanishwa na wa mataifa makubwa, mara nyingi unashindanishwa na Kenya, Nigeria au south Africa....lakini movies tu ndo watu wanataka zishindanishwe na wakorea, wazungu...
 
Wanapiga hatua taratibu tuwapongeze hata kama ni wachache.
Tatizo moja ni background music or noise pale inapo funika sauti ya wanao zungumza.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Changamoto ya bongo movie ni
1. Utungaji wa story
2. Mpangilio wa matukio
3. Waigizaji
4. Uhalisia wa matukio
5. Camera/ production equipment
6. Editing skills
7. Investment
8. Time
Good
 
Sawa ni ya kitambo, hata muziki wetu ni wa kitambo ila sijawahi kuona unashindanishwa na wa mataifa makubwa, mara nyingi unashindanishwa na Kenya, Nigeria au south Africa....lakini movies tu ndo watu wanataka zishindanishwe na wakorea, wazungu...
Sawq
 
Habari wana JF,

Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?

Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:

1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.

2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.

3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Tamthiliya za Bongo ni hovyo hazina story za maana zaidi ya kuonyesha mapaja ya akina Wema na Kajala nk
 
Hivi hawa Huba mbona masuala ya mapenzi wameyachukulia simple sana ,uhalisia mdogo ,sasaivi Tima yuko na dev ila dalili za ujauzito wa Jude kibibi anamtaka mtu wake etc...wapo wapo tu kocomplicate matukio
 
Walioshikilia soko la filamu hawataki kuwapa nafasi hao wasomi sababu wanajua ndio anguko lao mazima, nina ushahidi na hilo pia kaangalie kipindi cha Salama na Monalisa utamsikia masikitiko yake.
Hivi msomi anataka kupewa nafasi kivipi badala ya kuitengeneza nafasi yeye mwenyewe mimi nadhani hao wasomi wangeanza hata na short films za dakika 5-10 lazima wataonesha utofauti...
 
Habari wana JF,

Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?

Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:

1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.

2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.

3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Copy and paste
 
Wengi wao hawana ufahamu juu ya mambo mbalimbali ya dunia(issues), pia wengi hawasoni vitabu na machapisho ya waandishi nguli, elimu ndogo hapa ni mchanganyiko wa elimu ya darasani na Ile ya kutembea maeneo tofauti ndani na nje ya nchi... Visa vyao ni mapenzi tu.
Yaani hawasomi tabia za zile characters wanazotakiwa kuziigiza (mfano polisi, mlinzi, mpelelezi nk). Wao wanajifanyia tu na matokeo yake hujui kama filam hii ni ya vichekesho au wako serious.
 
Uwekezaji.
Hakuna aliye tayari kuwekeza vilivyo kwenye hii sekta kwasababu soko la filamu kwa hapa ndani (na Afrika Mashariki kwa ujumla) liko tricky sana, hakuna uhakika wa faida kama wenzetu wa wa Asia Ulaya na Marekani ambao wana masoko kwenye nchi na mabara mbalimbali kama China.

Sababu kubwa ya soko kukosa uhakika ni kwamba hakuna njia ya uhakika ya kuuza kazi za filamu na zikafikia watazamaji kwa asilimia angalau 50%, njia ya uhakika kidogo ni CD ambapo wizi wa kazi umeshamiri.

Pamoja na yote hayo, ukweli ambao haufurahishi ni kwamba "kifo cha Kanumba ni pigo kubwa katika safari ya maendeleo ya soko la filamu nchini"... kwanini? Enzi za uhai wake, Kanumba alianza kujaribu kutafuta mwanga kuhusu matatizo yaliyopo hapo juu.

1. Alianza kujaribu kutanua soko la filamu za Bongo kwa kushirikiana na Wanigeria.
2. Steve alikuwa akifanya uwekezaji mkubwa hasa wa fedha kwenye filamu zake.
3. Aliingia mikataba mbalimbali ya uuzaji wa filamu (nasikia).
Jamaa alikuwa masihi wa Bongo movie (my take).

Akitokea mtu akajaribu akaongoza njia katika kutatua angalau baadhi ya matatizo hayo matatu (investment, soko na udhibiti), kutakuwa na exponential efect kwa ukuaji wa Bongo movi
 
Back
Top Bottom