Ni vitu vipi vinaiangusha Tasnia ya Bongo Movie? Changia Mawazo

Ni vitu vipi vinaiangusha Tasnia ya Bongo Movie? Changia Mawazo

Tanzania hakuna Film Schools hivyo kutarajia wafanye ubora zaidi ya hapo ni miujiza tu...hizo nchi zote unazozitaja zina Film Schools za kutosha.

Ipo haja ya kuandaa kizazi kipya kuhusu suala zima la filamu.

Watoto wangali Wachanga Wanapaswa kufahamu umuhimu wa screen play na jinsi ya kuzitumia...kwa leo hii ukitaka uwalazimishe hawa waliopo sio kazi rahisi maana wameshakomaa na waliingia kwenye hii tasnia bila kujali sana mambo mengi yanayoijenga tasnia...shortcut ni nyingi na ukiwauliza watakwambia ni ufinyu wa bajeti.

Suala la kuatengeneza Filamu ni gumu tofauti kabisa na wengi tunavyochukulia.
Unakumbuka zamani yale maigizo ya akina Rich, Bishanga etc ya Mambo Haya?! Unakumbuka Dude na yale maigizo yake? Walikuwa vizuri sana mbona?
 
Walisha haribu hao kina wema na Uwoya na wengine kila scene wao ni kuweka mtu mwenye makalio makubwa tu halafu Ray yeye kazi ni kuigiza maisha ya kifahari hawasomi vitabu kupanua akili yani ubunifu hamna kazi kuuza sura tu. Na umalaya.Hopeless
Exactly [emoji1666] [emoji1666]
 
Kanumba ndo alikuwa anaibeba industry ya Bongo Movie,kwahyo kifo chake ndo kiliharibu kila kitu maana Hawa waliobaki Ni wababaishaji tu


kumbe watu wengi tunafuatilia hizi movie tatizo Ubora
Ni za kwetu.. Muda mwingine unaangalia tu kwa bahti mbaya. Unarudi nyumbani Unakuta familia na mgeni wanaangalia, hapo inabidi uzuge tu kama upo nao ili umentain socialization
 
Habari wana JF,

Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?

Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:

1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.

2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.

3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Wanaiga za Ki-Nigeria. Huwa siangalii huo ubunifu duni.
 
Habari wana JF,

Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?

Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:

1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.

2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.

3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Uliona wapi Msanii kwenye Movie au Series role zote anachukuwa yeye😁
😂Story KANUMBA😂Script KANUMBA😁Sound KANUMBA😁Make up KANUMBA
 
Habari wana JF,

Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?

Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:

1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.

2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.

3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
Wanaigana mno ...wote ni mambo ya mapenzi tu hawataki kubuni vitu vingine, sijui hawajawahi kumwona Yombayomba!!
 
Habari wana JF,

Nimejiuliza sana hivi kwanini Movies zetu za kibongo na series zetu hazipendwi kama hao Waturuki, wakorea, wafilipino, wahindi etc?

Kwangu mimi nimepitia tamthiliya na muvi mbali mbali za kibongo na kugundua kasoro zifuatazo:

1. Zinakosa uhalisia ,uhalisia wa kimatukio, wahusika na kiutaalamu.

2. Wanakosea Muendelezo wa matukio, Mtu kavaa hivi akitokea sehemu nyingine unaona kuna tofauti.

3. Teknolojia duni
Ni vitu gani vingine Bongo movies wanakwama tuwasaidie?
UMALAYA
 
Wanapenda sana Uchale, kila Filamu wao Uchale.

Naweza kuwa na hamu ya kutazama Filamu mtandaoni, kila Filamu unayojaribu kuitazama ni Uchale tu, hapo ndio huwa nashindwa mimi.

Kwa mtazamo wangu kwa ukanda wetu wa Afrika Mashariki, Kenya wapo juu. Michezo yao imetulia
 
Exactly
emoji1666.png
emoji1666.png
Wanapenda sana Uchale, kila Filamu wao
Walisha haribu hao kina wema na Uwoya na wengine kila scene wao ni kuweka mtu mwenye makalio makubwa tu halafu Ray yeye kazi ni kuigiza maisha ya kifahari hawasomi vitabu kupanua akili yani ubunifu hamna kazi kuuza sura tu. Na umalaya.Hopeless
Hao mastaa wetu kama Ray hawezi kuigiza mazingira ya kijijini, hata akijaribu hata fanana nayo..... Wanigeria wapo mbali sana... Unakuta wimbo wa kinigeria haujui kinachoimbwa lakini ukiangalia video unajua maana ya wimbo.... ... OGOPA SANA NCHI INAYOFUATA MAWAZO YA WANASIASA MBALI NA MAWAZO YA WATAALAM
Uchale.

Naweza kuwa na hamu ya kutazama Filamu mtandaoni, kila Filamu unayojaribu kuitazama ni Uchale tu, hapo ndio huwa nashindwa mimi.

Kwa mtazamo wangu kwa ukanda wetu wa Afrika Mashariki, Kenya wapo juu. Michezo yao iim
 
Kanumba ndo alikuwa anaibeba industry ya Bongo Movie,kwahyo kifo chake ndo kiliharibu kila kitu maana Hawa waliobaki Ni wababaishaji tu
Naye hakuwa Bora kivile...... Directors hawakutambua character yake... Kanumba alikuwa Half Comedian character na movie zote ilibidi aigize hvyo.... Sema Kila zama zinashetani wake
 
Filamu ni kama kuandika kitabu unahitaji kufanya research kubwa sana kabla hujatengeneza stori yako. Filamu nyingi za kibongo zinakosa uhalisia sababu watu wengi hawafanyi hili na hakuna ubunifu. Tumeweka mapenzi mbele zaidi kuliko kitu chochote kile. Pia suala la bajeti limekuwa mtihani mkubwa sana ndio maana utaona movie nyingi watu wanafanya nje ya nyumba maana hata kukodisha tu taa ni mtihani. Pia stori nyingi huendana na bajeti, uharaka wa kutoa hiyo filamu na kukosekana kwa usimamizi mzuri. Kuna watu wanaanza kutengeneza filamu lakini hana stori, ataipata wakati yupo site. Tunahitaji umakini sana kwenye sekta hii la sivyo itakuwa ni maigizo yasiyo na vichekesho ndani yake
 
Shida vigezo vyao kwa waigizaji..ni mataakle makubwa..usombe shombe..usharobaro..uchawa..ujuaji..uongeaji hovyo.


Hawaangalii kipajii uwezo..hawawekezi akili muda na fedha..hawasomi vitabu kiufupi hawajifunzi.

Wanachojua ni mapenzi na uchawi kila bongo movie huwa inacheza humo hawajawahi toka nje ya uwanda huo..yani wako na akili finyu sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni Story na Director ndo vimeua bongo movie

Na sio budget , technology, wala waigizaji

Kuna movie zilizofanya vizuri ambazo hazina budget kubwa Ila kutokana na mpangilio wa matukio( story ) na maelekezo ya Director movies zikawa Ni 🔥
 
Kusema la haki turudi kule kwa Musa banzi uchawi ndo tunajua movie ziliuza sana mpak vibanda umiza ila now kingereza cha ugoko kingi hamna maana mapenzi huwezi angalia na wazazi mara ya kwisho kuangalia bongi movie ni ile ya kanumba uncle jj inaanza yuko kweny mkutano anaongea then anafukuzwa tangu hapo sijaangalia ile seriously Tena movie

Naangalia YouTube ila movie Kama girl friend ya zamani Maisha na muziki ila haina sauti kule
Mkuu uko sahihi kabisa maana hizi za sasa hivi sio kabisa mtu anajifanya mtoto wa kishua wakati kwao mpaka anaingia kaburini hajawahi kuliona hata sofa mbuzi hawa We unamtizama Romyjons eti nae muigizaji hujakaa vizuri mara sijui Ben kinyaiya unategemea nini?
 
Ni za kwetu.. Muda mwingine unaangalia tu kwa bahti mbaya. Unarudi nyumbani Unakuta familia na mgeni wanaangalia, hapo inabidi uzuge tu kama upo nao ili umentain socialization
Hahahaaa
 
Back
Top Bottom