Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Hii kitu inaweza kusaidia kwa kiasi fulani.
Uhalisia ni kwamba kila mtu atakuwa anatazama maisha yake na jinsi gani apambane kuongeza mali zake.
Prenup ni nzuri lakini itaua ndoa mazima.
Kama mwanamke anaingia ndani ya ndoa akifahamu mali fulani za mume wangu ni za kwake mwenyewe, there’s no way akawa submissive kwa % kubwa.
atafanya juhudi ya kutafuta pesa zake kwa nguvu.
Prenup itakuja kusababisha ndoa zisiwepo kabisa kuliko hali ilivyo sasa.
PreNup ndio ndoa yenyewe.
Hiki kilichopo sasa hivi ni utapeli wa wazi kabisa