Ni wakati sahihi kwa Serikali kuanzisha sheria za PreNup Kwa Wanaotaka kuingia kwenye Ndoa kupeusha matapeli

Ni wakati sahihi kwa Serikali kuanzisha sheria za PreNup Kwa Wanaotaka kuingia kwenye Ndoa kupeusha matapeli

Acha kukurupuka, kujamiana Ina fanyika kwenye ndoa tu??.
Au ni tendo linalo husisha binadamu
Inamaana jibu lako ni jepesi, kuwa kwenu mnazaana na kujamiiana bila utaratibu wa ndoa. Hakuna haja ya kukwepa kwepa. Jiamini.
 
Inajulikana, ila imani za watu haziamini hili unalosema.

Ndio utapeli huo.
Utapeli wa ndoa umeanzia mbali mno.
Yaani uongouongo, ulaghai,.

Kama Kanisa haliwezi kufungisha au kuvunja ndoa iweje iitwe ndoa ya Kikristo? Kwa sheria ipi?
 
Ndio utapeli huo.
Utapeli wa ndoa umeanzia mbali mno.
Yaani uongouongo, ulaghai,.

Kama Kanisa haliwezi kufungisha au kuvunja ndoa iweje iitwe ndoa ya Kikristo? Kwa sheria ipi?
Kwa sheria ya imani boss. Kwani uwepo wa MUNGU wa kikristo YESU mwana wa MUNGU upo kwa sheria ipi?
 
Mali za mke na mali za mme hazihusiani na mambo ya Upendo. Upendo wowote unaoshirikisha mambo ya mali au kazi huo sio upendo hapo tukazungumza biashara au uwekezaji.
Ndio maana mali za kiswahili za baadhi ya waswahili kama wewe wenye mawazo haya ya kitoto huwa hazifiki mbali tofauti na wahindi na wazungu sababu ni za kiswahili hizo zinakuwa za kibinafsi unakuta mzazi mmoja anajua peke yake mume hajui wala mke hajui wala mtoto hajui namna ya kuendesha hizo business au uwekezaji.Akifa mwenye nazo na kampuni kwa heri watu wanabaki kugombea mirathi kwa sababu upendo wao wanandoa ulikuwa wa ngono kitandani tu hauhusishi mali na uwekezaji Ni upendo wa malaya wawili waliooana kwa ajili ya ngono tu kitandani sio upendo wa ndoa.

Upendo wa ndoa ni zaidi ya ngono kitandani hizo ngono mtu aweza flanya hata na malaya yeyote mabarabarani huko

Hivho unachoongea hapa ni uhusiano wa upendo wa kimalaya sio ndoa
Ndia ni kwa ajiki ya watu wenye akili.timamu na wanaojua ndoa ni nini na upendo wa ndoa ni nini sio mapunguani wa akili kama wewe
 
Nyie wote mnachoshindwa kujua
Philosophy ya ndoa ni ujamaa.....na dunia ipo kwenye level za juu za ucapitalist hapo unategemea nn?
 
Ina sheria zake. Hujawahi sikia amri kumi za MUNGU? ni sheria za kiimani zile na zina adhabu zake, Moto wa milele.

Zile ni Amri za utawala wa Mungu kwa wa Israel. Haihusishi Imani.
Sheria ipo kwaajili ya matendo ya mwili.
Imani ipo rohoni au kwenye nafsi. Huwezi weka SHERIA.

Sheria yoyote inahusu mwîli.
Usiibe, usile tunda la mti wa kati n.k.

Imani ni kama Fikra, huwezi weka sheria kwenye mambo ya nafsi kwa sababu huwezi kuyadhibiti. Huwezi mzuia mtu asifikiri jambo fulani wakati hata akifikiri hautajua.
Huwezi mzuia mtu asiamini au aaminike jambo fulani wakati hata akiamini huwezi jua.

Ni kama upendo hauna sheria.
 
Ndio maana mali za kiswahili za baadhi ya waswahili kama wewe wenye mawazo haya ya kitoto huwa hazifiki mbali tofauti na wahindi na wazungu sababu ni za kiswahili hizo zinakuwa za kibinafsi unakuta mzazi mmoja anajua peke yake mume hajui wala mke hajui wala mtoto hajui namna ya kuendesha hizo business au uwekezaji.Akifa mwenye nazo na kampuni kwa heri watu wanabaki kugombea mirathi kwa sababu upendo wao wanandoa ulikuwa wa ngono kitandani tu hauhusishi mali na uwekezaji Ni upendo wa malaya wawili waliooana kwa ajili ya ngono tu kitandani sio upendo wa ndoa.
Nashukuru umechangia hoja ya PreNup bila ya wewe kujua. PreNup inasaidia pia kujua muendelezo wa mali baada ya kutengana iwe kwa kufa au talaka.
Ni vizuri ungesoma kwanza na kufuatilia hiyo PreNup NI kitu gani kabla hujaja kutoa maoni yako.
Upendo wa ndoa ni zaidi ya ngono kitandani hizo ngono mtu aweza flanya hata na malaya yeyote mabarabarani huko
Hakuna sehemu nimetaja ngono. Hoja ya ngono ipo katika fikra zako jinsi unavyofikiria kuhusu Ndoa
Hivho unachoongea hapa ni uhusiano wa upendo wa kimalaya sio ndoa
Ndia ni kwa ajiki ya watu wenye akili.timamu na wanaojua ndoa ni nini na upendo wa ndoa ni nini sio mapunguani wa akili kama wewe
Akili timamu lazima iongozwe na sheria. Hakuna sheria hakuna akili timamu
 
Zile ni Amri za utawala wa Mungu kwa wa Israel. Haihusishi Imani.
Sheria ipo kwaajili ya matendo ya mwili.
Imani ipo rohoni au kwenye nafsi. Huwezi weka SHERIA.

Sheria yoyote inahusu mwîli.
Usiibe, usile tunda la mti wa kati n.k.

Imani ni kama Fikra, huwezi weka sheria kwenye mambo ya nafsi kwa sababu huwezi kuyadhibiti. Huwezi mzuia mtu asifikiri jambo fulani wakati hata akifikiri hautajua.
Huwezi mzuia mtu asiamini au aaminike jambo fulani wakati hata akiamini huwezi jua.

Ni kama upendo hauna sheria.
Sasa hapa unachanganya mambo ya uhalisia kwenye masuala ya kiimani. Kuna wanaoamini kuwa Israel ni watoto wateule wa MUNGU na vyumbani kwao kuna bendera za Israel.
 
Nyie wote mnachoshindwa kujua
Philosophy ya ndoa ni ujamaa.....na dunia ipo kwenye level za juu za ucapitalist hapo unategemea nn?

Dunia ya kitapeli tuliyonayo bila sheria za kujihami wengi watadhulumiwa
 
Alizaa na nani ??, mkewe alikuwa yupi??
Ni suala la kiimani, usililete kwenye uhalisia. Kiimani Mariam mchumba wa Yusufu alipata mimba kwa uwezo wa MUNGU roho akazaliwa MUNGU mwana. Kiimani, narudia tena, kiimani. Usianze mambo ya uhalisia hapa ya mtoto anapatikanaje.
 
Back
Top Bottom