Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Ndugu zangu!
Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.
Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.
Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.
Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMs, na 'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA [emoji39]
Nasema uongo ndugu zangu?
Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.
Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.
Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.
Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMs, na 'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA [emoji39]
Nasema uongo ndugu zangu?