Ni wakati sasa benki zitanue 'ukomo' wa kutoa pesa kwenye ATMs, milioni moja haitoshi

Ni wakati sasa benki zitanue 'ukomo' wa kutoa pesa kwenye ATMs, milioni moja haitoshi

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ndugu zangu!

Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.

Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.

Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.

Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMs, na 'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA [emoji39]

Nasema uongo ndugu zangu?
 
Semenya bana. Yani mmatumbi akikamata chenji ni shida napiga picha tu wanaokuzunguka

IMG_20210629_140029.jpg
 
KCB wanaruhusu zaidi ya 1M kutoka ATM. Nadhani na CRDB as well. Fika kwenye tawi lililo karibu yako kwa maelezo zaidi huku "masharti na vigezo vikizingatiwa"
 
Ukitaka kutoa nyingi ingia bank watakupa kiwango unacho kitaka, sasa kama mwizi kaiba kadi yangu ya ATM na kiwango kimewekwa 5 million. Unadhania hali itakuwaje ya alie ibiwa kadi ya atm yake?


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Sio benki zote mkuu acha kugeneralise mi nipo stanbinc tunatoa zaidi ya M 1
 
Kaka mkubwa unaweza kuwa na kundi la wadogo zako mmepata dharula, pesa ipo, lakini ATM limit ikasumbua.

Nakumbuka kuna siku miaka kama 10 imepita nilikuwa nakwenda Zenj na kundi la wadogo zangu. Sasa hapo mimi nimerudi likizo nimekuwa kama mgeni tena jijini kwangu Dar. Tukawa na safari ya utalii wa ndani Zanzibar.Nikawa nawahimiza tuwahi kwenda bandarini. Wao wanasema tuna muda, mbona unakuwa kama umesahau Dar ndogo hii.

Nikawaambia sitaki tuchelewe. Nikaambiwa haina noma.

Long story short, tumeondoka nyumbani, tukakutana na foleni barabarani. By the time tunafika bandarini tukawa tumechelewa meli. Na tunatakiwa kwenda Zanzibar usiku huo huo.

Tukaulizia options, tukaambiwa hapo ni kuwahi airport kupanda ndege tu.

Tukafika Dar airport kupiga mahesabu nauli kwa wote ikawa kama laki tano.

You can imagine watu wangekuwa wamezidi mara mbili nauli ingekuwa zaidi ya milioni, hela ipo, halafu unashindwa kuitumia.

Naelewa kuna rationale ya kuweka hii limit, mfano kama mtu anafanya wizi kwenye ATM asiibe zaidi ya milioni. Lakini, kama mtu ana hela nyingi na biashara nyingi, awe na uwezo wa ku evaluate risk, akiikubali risk awe na option yana kuongeza limit.

Nafikiri benki nyingi zina option hiyo.
 
KCB wanaruhusu zaidi ya 1M kutoka ATM. Nadhani na CRDB as well. Fika kwenye tawi lililo karibu yako kwa maelezo zaidi huku "masharti na vigezo vikizingatiwa"
MASHARTI NA VIGEZO JUU YA PESA YANGU!. HAKIKA KUNA SHIDA MAHALA
 
Ndugu zangu!

Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.

Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.

Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.

Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMS, na
'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA.[emoji39]

Nas2ema uongo ndugu zangu?
Meko ni shetani
 
Ndugu zangu!

Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.

Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.

Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.

Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMS, na
'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA.[emoji39]

Nasema uongo ndugu zangu?
Ndugu zangu!

Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.

Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.

Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.

Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMS, na
'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA.[emoji39]

Nasema uongo ndugu zangu?
CRDB hio ilishapitwa na wakati tunatoa tu hata 2M+
 
Kaka mkubwa unaweza kuwa na kundi la wadogo zako mmepata dharula, pesa ipo, lakini ATM limit ikasumbua.

Nakumbuka kuna siku miaka kama 10 imepita nilikuwa nakwenda Zenj na kundi la wadogo zangu. Sasa hapo mimi nimerudi likizo nimekuwa kama mgeni tena jijini kwangu Dar. Tukawa na safari ya utalii wa ndani Zanzibar.Nikawa nawahimiza tuwahi kwenda bandarini. Wao wanasema tuna muda, mbona unakuwa kama umesahau Dar ndogo hii.

Nikawaambia sitaki tuchelewe. Nikaambiwa haina noma.

Long story short, tumeondoka tukakutana na foleni barabarani. By the time tunafika bandarini tukawa tumechelewa meli. Na tunatakiwa kwenda Zanzibar usiku huo huo.

Tukaulizia options, tukaambiwa hapo ni kuwahi airport kupanda ndege tu.

Tukafika Dar airport kupiga mahesabu nauli kwa wote ikawa kama laki tano.

You can imagine watu wangekuwa wamezidi mara mbili nauli ingekuwa zaidi ya milioni, hela ipo, halafu unashindwa kuitumia.

Naelewa kuna rationale ya kuweka hii limit, mfano kama mtu anafanya wizi kwenye ATM asiibe zaidi ya milioni. Lakini, kama mtu ana hela nyingi na biashara nyingi, awe na uwezo wa ku evaluate risk, akiikubali risk awe nanoption yana kuongeza limit.

Nafikiri benki nyingi zina option hiyo.
Simbanking by haikuwepo? Ukiwa na simbanking ukifika ukomo kwenye ATM unaendelea kuchakata miamala kuhamisha Mobile Mpesa etc
 
MASHARTI NA VIGEZO JUU YA PESA YANGU!. HAKIKA KUNA SHIDA MAHALA
Mkuu,

Hela yako lakini inawezekana kukawa na masharti ya kibenki ya wewe kuelimishwa na kukubali risk kwamba unavyozidisha kiwango cha kutoa hela, ndivyo unavyozidisha uwezekano wa kuibiwa hela nyingi ikiwa mwizi kapata card na PIN yako.
 
Simbanking by haikuwepo? Ukiwa na simbanking ukifika ukomo kwenye ATM unaendelea kuchakata miamala kuhamisha Mobile Mpesa etc
Mkuu hapo mimi ndiyo kwanza nimekuja likizo bongo ndiyo kwanza hata line ya simu nimeipata muda mchache tu, na kumbuka hapo miaka kama 10 iliyopita mambo hayakuwa kama sasa.

Yani kupata sim card tu ilikuwa story ndefu iliyohusisha false advertising kibao, mpaka hapo mzee mzima ninatumia hela zangu za kwenye benki za kimataifa kuziunga na simu za bongo kimbembe. So ATM was the most convenient way.
 
Mkuu hapo mimi ndiyo kwanza nimekuja likizo bongo ndiyo kwanza hata line ya simu nimeipata muda mchache tu, na kumbuka hapo miaka kama 10 iliyopita mambo hayakuwa kama sasa.

Yani kupata sim card tu ilikuwa story ndefu iliyohusisha false advertising kibao, mpaka hapo mzee mzima ninatumia hela zangu za kwenye benki za kimataifa kuziunga na simu za bongo kimbembe. So ATM was the most convenient way.
Sasa hivi tunashukuru mambo yanaenda
 
Back
Top Bottom